Hafikishwi kileleni afanyeje?

Hafikishwi kileleni afanyeje?

Hapo ndipo mnaponichosha mimi........wewe ile formula ya shake well before use uliiacha wapi......?.......umefanikiwa kunichosha sana.......

Unamaanisha nini dada?
 
Unamaanisha nini dada?

Namaanisha kwamba.......kabla hujatumia kitu.......hakikisha kipo ktk ubora unaoutaka.........sio badae uje kulialia.......wakati muda wa kukifahamu vizuri ulikua nao.......
Sijui umenielewa........?
 
Jaman mbona mnatukana tu, kasema shida yake tayar
 
Preta

Jaman kuna bint anaelekea kwenye hilo tatizo, tumejaribu mshaur lakn wapi!!! hatak kabisa kushake na jamaa anatembeza mtaan kama kawa!! cjui faida yake nini?
 
Last edited by a moderator:
jaman kuna bint anaelekea kwenye hilo tatizo, tumejaribu mshaur lakn wapi!!! hatak kabisa kushake na jamaa anatembeza mtaan kama kawa!! cjui faida yake nini?

Mwambieni ashake shake........
 
Shake well before use, ndoa ngumu sana, lazima ujitahidi kuleta vitu vipya... we unalala tu unategemea utiwe uridhike?
 
Tafuta kazi ya kando pigwa mti wa haja wewe NOTHING IS SWEETER THAN SEX sasa kama hupati hizo utamu wangoja nini hapa duniani...
haya ndo madhara ya kuolewa bila kucheki kama yaliyomo yamo!!!

Hivi kumbe ndio maana ya yaliomo yamo..

Waswahili wana maneno sana. Ndio maana nawapendaga
 
au hajakupiga kitu cha 0712au 0713 pole ila jaribu kumweleza kwamba huo mtandao unatumia pia sio tu voda pekee atakuelewa maana kama umetembea na wengi hio kitu lazima ilikwanguliwa tuuu....
 
Tafuta kazi ya kando pigwa mti wa haja wewe NOTHING IS SWEETER THAN SEX sasa kama hupati hizo utamu wangoja nini hapa duniani...
haya ndo madhara ya kuolewa bila kucheki kama yaliyomo yamo!!!

hata wanaume pia tunapata shida jaman,unaoa mtu analala kama gogo!!shake well b4 use ina hold kwa jinsia zote!!
 

Kama unatumia hiyo dawa ya putulu nakuomba uache ndugu yangu.. Utapotea ndugu yangu hiyo dawa ina madhara makubwa... Rafiki yangu alikuwa anaitumia sana hii dawa ametumia takribani miaka 3 sasa hivi ni ------- hawezi kusimamisha tena. Kama ulikuwa unaitumia nakuomba uache. Kama una matatizo ya nguvu za kiume dawa yake ni kula vzr vyakula vyenye virutubisho na kufanya mazoezi sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom