Invigilator
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 3,219
- 6,080
Shukran sana Boss!!.
Itakuwa ni kichaga mkuu..huyo mzungu alikuwa anatumia lugha gani mpaka akaweza kuelewana na hao wanakijiji?
Niliwauliza kama wamepata kusikia habari za watu weupe wanaokaa huko kupita milima na mwitu mnene wa miiba, wakanicheka tu.
Lakini baadaye mwanamke mzee sana alikuja akaniambia ya kuwa alipokuwa mtoto mdogo sana, babu yake alimwambia ya kuwa alipokuwa kijana, babu yake yeye alilivuka lile jangwa na milima, akaupenya mwitu ule mnene wa miiba, akaona watu weupe waliokuwa wakikaa katika nyumba za mawe.
Lakini wakati ule aliosimulia Yule mwanamke mzee ulikuwa zamani za miaka kadiri ya mia mbili na hamsini, na habari hazikuwa dhahiri sana lakini hata hivyo, habari zilikuwa zimetajwa tena, na nilipofikiri, niliona hakika habari nyingine tulizokwisha zisikia ni za kweli, nikakaza nia yangu lazima niigundue siri hii.
Wakati huo, sikusikia namna kusudi langu litakavyotimizwa kwa njia iliyokuwa kama muujiza.
Basi, tulianza kuwasaka wale mabata ambao walizidi kulikaribia lile genge, na mwishowe tulipeleka mtumbwi nyuma ya chungu ya takataka kadiri ya mwendo wa yadi arobaini kutoka mahali walipokuwapo, na Sir Henry aliitwaa bunduki yake ya marisaa, akailenga, akapiga wawili shingoni, wakafa.
Mara wale wengine waliopata thelathini au zaidi waliondoka kwa kishindo kikubwa na walipofanya hivyo alipiga tena, na mwingine alianguka amevunjika mbawa.
Basi, tulikwenda tukawaokota wale wawili waliouawa, tukaanza kumsaka Yule aliyeangushwa akawahi kupita juu ya chungu ya takataka na kuingia katika maji wazi tena.
Kwa kuwa tuliona shida kupenya zile taka taka kwa mtumbwi wetu, nilimwambia Yule Mkazi aliyebaki, ambaye nilijua kuwa anaweza kuogelea vizuri, apige mbizi chini ya chungu ile ya takataka akamkamate Yule bata, maana nilijua hakuna mamba katika ziwa hilo, naye hawezi kudhurika.
Basi, yeye aliona kama ni mchezo tu akajitosa majini akamfuata Yule bata, na alipokuwa akimfuatia alilikaribia lile genge.
Mara nilimwona anaacha kuogelea kumfuata Yule bata, akaanza kupiga yowe ya kuwa anachukuliwa na maji na kweli tuliona yakuwa ingawa anaogelea kwa nguvu zake zote, lakini anavutwa kulikaribia lile genge.
Tulipiga kafi kwa nguvu tukapenya ile chungu ya takataka, tukamfuata kadiri tulivyoweza, lakini ingawa tulikwenda upesi sana, yeye alichukuliwa upesi zaidi kulikaribia lile genge.
Mara niliona mbele yetu kadiri ya nchi kumi na nane juu ya uso wa maji, liko tao kama ni mlango wa kuingilia pango linalopenya lile genge.
Basi, maskini mtumishi wetu alikuwa anavutwa na maji kuliendea pango lile kwa nguvu nyingi.
Nilipoliona lile pango, yeye alikuwa mbali nalo kadiri ya futi sitini, na sisi mbali kadiri ya futi mia moja na ishirini, na mtumbwi wetu ulikuwa unavutwa kasi bila sisi kutumia nguvu nyingi.
Alishindana kwa uhodari sana, nikadhani tutaweza kumuokoa, lakini mara niliona kuwa uso wake ya kuwa amekata tamaa , na mbele ya macho yetu alivutiwa katika lile pango akatoweka.
Mara ile he! Niliona kama kwamba mtumbwi wetu umeshikwa na mkono wenye nguvu nyingi mno na kuvutwa kwa nguvu isiyoweza kushindika kuliendea lile genge.
Sasa tuliona hatari iliyo mbele yetu, tukavuta kafi kwa nguvu ili tujiokoe tusivutwe katika maji yaliyokuwa yakizungukazunguka mbele ya mdomo wa pango.
Lakini juhudi yetu ilikuwa bure, na mara ile tulikuwa tunavutwa kuliendea lile pango kama mshale unaotoka kwenye upinde, nikafikiri tumekwisha potea.
Lakini kwa bahati sikushikwa na mfadhaiko, nikalia, ‘’Laleni chini!’’ nikajitupa chini katika mtumbwi, na wote walikuwa na akili kufanya vilevile.
Sasa tulisikia sauti ya kukwaruza, na mtumbwi ulisukumwa chini mpaka maji yalianza kuingia juu ya mbavu zake, nikafikiri huu ndiyo mwisho wetu, lakini kwa ghafla sauti ile ilikoma, nikaona kuwa mtumbwi ungali unaendele mbele.
Nilikigeuza kichwa changu kidogo sikuthubutu kukiinua nikatazama juu. Kwa mwangaza kidogo uliokuwako, niliona tumo pangoni, na juu yake ni mwamba wenye umbo la tao.
Baada ya kupita dakika, kama tano sikuweza kuliona, maana mwangaza ulitoweka, tukawa katika giza tupu.
Basi, kwa muda wa saa moja hivi tulilala, wala hatukuthubutu kuviinua vichwa vyetu visije vikapiga mwamba wa juu, nasi hata kusema hatukuweza kusema kwa sababu sauti ya maji yaliyokuwa yakipita kasi ilizimeza sauti zetu.
Na kwa kweli hatukuwa na moyo wa kusema, hali tumeshikwa na mashaka kwa hatari tuliyomo, na hofu ya kufa wakati wowote ama kwa kutupwa kwa nguvu kando ya pango, ama kuvutiwa chini katika maji yanayozunguka zunguka kwa nguvu, ama kusongwa kwa kutokuweza kuvuta pumzi.
Basi, namna hizi za kufa na nyingine nyingi zilipita katika fikra zangu nilipokuwa nimelala chini katika mtumbwi, nilisikiliza sauti kubwa ya maji yaliyokuwa yakienda kasi, sipajui wapi. Kweli hali zetu ilizipoozesha akili zangu, nikaanza kufikiri nimeshikwa na jinamizi la kutisha sana.
teh teh teh teh.Itakuwa ni kichaga mkuu..
Naaam, taratiibu naitafunaSURA YA NANE
Basi, vita vilikwisha. Mahali mbele ya mlango mkubwa wa boma palikuwa pa kutisha sana. Mauaji yalikwisha na mlango ulikuwa umezibwa kwa maiti.
Sisi tulipigana tukiwa na watu thelathini, na katika hao, kumi na watano tu waliobaki hai. Basi, tulipanda mlimani kwa shida na maumivu, na pale mlangoni Bibi Mackenzie alikuwa anatungojea analia kwa ajili ya hofu ya mambo yaliyokuwa yametokea.
Nikasimulia habari za vita kwa maneno machache lakini Yule mtoto Flossie ambaye alikuwa amekwisha fika nyumbani salama amekwisha mwambia mengine.
Tukaingia nyumbani tukavua nguo zetu, tukaganga majeraha. Nafurahi kusema ya kuwa mimi sikujeruhiwa, na Sir Henry na Bwana Good waliumia kidogo tu. Lakini Bwana Mackenzie aliumia vibaya sana.
Tulipokwisha kula chakula cha asubuhi, tulilala, wala hatukuamka tena mpaka wakati wa chakula cha mchana, kisha, tuliwakusanya watu wote wanaume, na wanawake, na vijana, waje kwenye mauaji ya asubuhi ili kuzika maiti. Tukazitupa maiti za Wajivuni katika mto Tana.
Basi, tulipoitupa maiti ya mwisho mtoni, mambo mabaya ya asubuhi ya kuishambulia kambi ya Wajivuni yalikwisha.
Nipo nayo bado,sipo nyuma hata kidogoNiliwauliza kama wamepata kusikia habari za watu weupe wanaokaa huko kupita milima na mwitu mnene wa miiba, wakanicheka tu.
Lakini baadaye mwanamke mzee sana alikuja akaniambia ya kuwa alipokuwa mtoto mdogo sana, babu yake alimwambia ya kuwa alipokuwa kijana, babu yake yeye alilivuka lile jangwa na milima, akaupenya mwitu ule mnene wa miiba, akaona watu weupe waliokuwa wakikaa katika nyumba za mawe.
Lakini wakati ule aliosimulia Yule mwanamke mzee ulikuwa zamani za miaka kadiri ya mia mbili na hamsini, na habari hazikuwa dhahiri sana lakini hata hivyo, habari zilikuwa zimetajwa tena, na nilipofikiri, niliona hakika habari nyingine tulizokwisha zisikia ni za kweli, nikakaza nia yangu lazima niigundue siri hii.
Wakati huo, sikusikia namna kusudi langu litakavyotimizwa kwa njia iliyokuwa kama muujiza.
Basi, tulianza kuwasaka wale mabata ambao walizidi kulikaribia lile genge, na mwishowe tulipeleka mtumbwi nyuma ya chungu ya takataka kadiri ya mwendo wa yadi arobaini kutoka mahali walipokuwapo, na Sir Henry aliitwaa bunduki yake ya marisaa, akailenga, akapiga wawili shingoni, wakafa.
Mara wale wengine waliopata thelathini au zaidi waliondoka kwa kishindo kikubwa na walipofanya hivyo alipiga tena, na mwingine alianguka amevunjika mbawa.
Basi, tulikwenda tukawaokota wale wawili waliouawa, tukaanza kumsaka Yule aliyeangushwa akawahi kupita juu ya chungu ya takataka na kuingia katika maji wazi tena.
Kwa kuwa tuliona shida kupenya zile taka taka kwa mtumbwi wetu, nilimwambia Yule Mkazi aliyebaki, ambaye nilijua kuwa anaweza kuogelea vizuri, apige mbizi chini ya chungu ile ya takataka akamkamate Yule bata, maana nilijua hakuna mamba katika ziwa hilo, naye hawezi kudhurika.
Basi, yeye aliona kama ni mchezo tu akajitosa majini akamfuata Yule bata, na alipokuwa akimfuatia alilikaribia lile genge.
Mara nilimwona anaacha kuogelea kumfuata Yule bata, akaanza kupiga yowe ya kuwa anachukuliwa na maji na kweli tuliona yakuwa ingawa anaogelea kwa nguvu zake zote, lakini anavutwa kulikaribia lile genge.
Tulipiga kafi kwa nguvu tukapenya ile chungu ya takataka, tukamfuata kadiri tulivyoweza, lakini ingawa tulikwenda upesi sana, yeye alichukuliwa upesi zaidi kulikaribia lile genge.
Mara niliona mbele yetu kadiri ya nchi kumi na nane juu ya uso wa maji, liko tao kama ni mlango wa kuingilia pango linalopenya lile genge.
Basi, maskini mtumishi wetu alikuwa anavutwa na maji kuliendea pango lile kwa nguvu nyingi.
Nilipoliona lile pango, yeye alikuwa mbali nalo kadiri ya futi sitini, na sisi mbali kadiri ya futi mia moja na ishirini, na mtumbwi wetu ulikuwa unavutwa kasi bila sisi kutumia nguvu nyingi.
Alishindana kwa uhodari sana, nikadhani tutaweza kumuokoa, lakini mara niliona kuwa uso wake ya kuwa amekata tamaa , na mbele ya macho yetu alivutiwa katika lile pango akatoweka.
Mara ile he! Niliona kama kwamba mtumbwi wetu umeshikwa na mkono wenye nguvu nyingi mno na kuvutwa kwa nguvu isiyoweza kushindika kuliendea lile genge.
Sasa tuliona hatari iliyo mbele yetu, tukavuta kafi kwa nguvu ili tujiokoe tusivutwe katika maji yaliyokuwa yakizungukazunguka mbele ya mdomo wa pango.
Lakini juhudi yetu ilikuwa bure, na mara ile tulikuwa tunavutwa kuliendea lile pango kama mshale unaotoka kwenye upinde, nikafikiri tumekwisha potea.
Lakini kwa bahati sikushikwa na mfadhaiko, nikalia, ‘’Laleni chini!’’ nikajitupa chini katika mtumbwi, na wote walikuwa na akili kufanya vilevile.
Sasa tulisikia sauti ya kukwaruza, na mtumbwi ulisukumwa chini mpaka maji yalianza kuingia juu ya mbavu zake, nikafikiri huu ndiyo mwisho wetu, lakini kwa ghafla sauti ile ilikoma, nikaona kuwa mtumbwi ungali unaendele mbele.
Nilikigeuza kichwa changu kidogo sikuthubutu kukiinua nikatazama juu. Kwa mwangaza kidogo uliokuwako, niliona tumo pangoni, na juu yake ni mwamba wenye umbo la tao.
Baada ya kupita dakika, kama tano sikuweza kuliona, maana mwangaza ulitoweka, tukawa katika giza tupu.
Basi, kwa muda wa saa moja hivi tulilala, wala hatukuthubutu kuviinua vichwa vyetu visije vikapiga mwamba wa juu, nasi hata kusema hatukuweza kusema kwa sababu sauti ya maji yaliyokuwa yakipita kasi ilizimeza sauti zetu.
Na kwa kweli hatukuwa na moyo wa kusema, hali tumeshikwa na mashaka kwa hatari tuliyomo, na hofu ya kufa wakati wowote ama kwa kutupwa kwa nguvu kando ya pango, ama kuvutiwa chini katika maji yanayozunguka zunguka kwa nguvu, ama kusongwa kwa kutokuweza kuvuta pumzi.
Basi, namna hizi za kufa na nyingine nyingi zilipita katika fikra zangu nilipokuwa nimelala chini katika mtumbwi, nilisikiliza sauti kubwa ya maji yaliyokuwa yakienda kasi, sipajui wapi. Kweli hali zetu ilizipoozesha akili zangu, nikaanza kufikiri nimeshikwa na jinamizi la kutisha sana.
Naam mkuu shukranSURA YA TISA
Zilipopita siku saba, tulikuwa tumekaa tukila chakula cha jioni mezani mwa mission. Tulikuwa tukihuzunika sana, maana kesho yake na mapema tutaagana na rafiki zetu wema akina Mackenzie, na kuendelea katika safari yetu.
Hatukusikia wala kuona tena habari za Wajivuni, na kwa kweli isipokuwa kwa mikuki miwili mitatu iliyoachwa katika majani nje ya boma la ng’ombe, na maganda machache ya risasi, hakuna alama iliyobaki kuonyesha kuwa vita vikali vimepiganwa huko.
Bwana Mackenzie alikuwa anaendelea vizuri katika kupona kwa sababu ni mtu wa kiasi; na wale waliojeruhiwa walikuwa nao wanaendelea vizuri isipokuwa mtu mmoja aliyekufa kwa sababu jeraha lake lilioza.
Tena, watu wa Bwana Mackenzie walikuwa wamekwisha toka pwani, kwa hiyo walitosha sasa kuilinda nyumba yake.
Basi kwa kuwa mambo yalikuwa hivi, ingawa tulikaribishwa tukae siku nyingi zaidi, lakini tuliona lazima tuendelee mbele, kwanza mpaka mlima Kenya, kisha, katika nchi isiyojulikana, kutafuta taifa lile la watu weupe tuliokusudia kuligundua.
Tulikuwa tumefanya shauri la kuchukua punda kumi na wawili katika safari yetu badala ya wapagazi kuichukua mizigo yetu na sisi pia ikitokea haja.
Sasa tulikuwa na Wakazi wawili tu waliobaki kuwa watumishi, wala hatukuweza kupata wenyeji wengine kufuatana nasi kuiendea nchi isiyojulikana tuliyokusudia kuigundua na nani aliweza kuwalaumu walipokataa?
Basi, ilipopata saa moja asubuhi tulikuwa tumekwisha pakia mizigo yetu, na wakati wa kuagana ulifika.
Tuliona huzuni nyingi tulipoagana na rafiki zetu, na hasa tulipoagana na Yule mtoto mdogo Flossie, naye alilia sana.
Basi, baada ya kupeana mikono mara nyingi na kuagana na wenyeji wa huko, tuliondoka, nahii ilikuwa mara ya mwisho kuiona ile nyumba ya mission. Lakini mara nyingi nawakumbuka wale akina Mackenzie.
Basi, tuliendelea bila kupingwa sana mpaka tulipofika chini ya mlima Kenya, kisha tulilipita ziwa linalokaa peke yake liitwalo Baringo, na huko Mkazi mmoja katika wale wawili waliosalia alikufa.
Aliumwa na nyoka aitwaye pofu aliyemkanyaga, na ingawa tulijaribu tuwezavyo kumwokoa lakini hatukuweza.
Kisha tuliendelea kadiri ya maili mia moja na hamsini mpaka mlima mzuri mwingine wenye theluji juu ya kilele chake, uitwao Lekakisera, ambao mpaka wakati huo kadiri nijuavyo, haujafikiwa na Mzungu yeyote.
Tulipofika hapo tulipumzika muda wa siku kumi na nne, ndipo tulipoondoka tena, tukapita katika mwitu wa nchi iitwayo Elgumi, usio na njia wala watu, Katika mwitu huo wako tembo wengi zaidi kuliko niliopata kuona wakati wote wa maisha yangu.
Wanyama wakubwa hawa walikuwako kila mahali, nao hawakusumbuliwa na wanadamu. Hatukupiga wengi.
Kwanza kwa sababu hatukutaka kuzitupa bure risasi zetu ambazo zilikuwa zinaanza kupungua, maana punda mmoja aliyetwikwa mzigo wa risasi alichukuliwa na maji ya mto mmoja uliofurika, tena kwa sababu hatukuweza kuchukua pembe zao.
Nasi hatukutaka kuua kwa ajili ya kupenda tu. Basi, tuliwaacha isipokuwa wawili watatu tuliowapiga ili kujiinda. Wanyama wa kila namna pia walikuwako katika mwitu huo wa Elgumi.
Pamoja mkuuNaam mkuu shukran
Mkuu sura ya saba umerukaSURA YA NANE
Basi, vita vilikwisha. Mahali mbele ya mlango mkubwa wa boma palikuwa pa kutisha sana. Mauaji yalikwisha na mlango ulikuwa umezibwa kwa maiti.
Sisi tulipigana tukiwa na watu thelathini, na katika hao, kumi na watano tu waliobaki hai. Basi, tulipanda mlimani kwa shida na maumivu, na pale mlangoni Bibi Mackenzie alikuwa anatungojea analia kwa ajili ya hofu ya mambo yaliyokuwa yametokea.
Nikasimulia habari za vita kwa maneno machache lakini Yule mtoto Flossie ambaye alikuwa amekwisha fika nyumbani salama amekwisha mwambia mengine.
Tukaingia nyumbani tukavua nguo zetu, tukaganga majeraha. Nafurahi kusema ya kuwa mimi sikujeruhiwa, na Sir Henry na Bwana Good waliumia kidogo tu. Lakini Bwana Mackenzie aliumia vibaya sana.
Tulipokwisha kula chakula cha asubuhi, tulilala, wala hatukuamka tena mpaka wakati wa chakula cha mchana, kisha, tuliwakusanya watu wote wanaume, na wanawake, na vijana, waje kwenye mauaji ya asubuhi ili kuzika maiti. Tukazitupa maiti za Wajivuni katika mto Tana.
Basi, tulipoitupa maiti ya mwisho mtoni, mambo mabaya ya asubuhi ya kuishambulia kambi ya Wajivuni yalikwisha.
Aisee, hatari sanaNiliwauliza kama wamepata kusikia habari za watu weupe wanaokaa huko kupita milima na mwitu mnene wa miiba, wakanicheka tu.
Lakini baadaye mwanamke mzee sana alikuja akaniambia ya kuwa alipokuwa mtoto mdogo sana, babu yake alimwambia ya kuwa alipokuwa kijana, babu yake yeye alilivuka lile jangwa na milima, akaupenya mwitu ule mnene wa miiba, akaona watu weupe waliokuwa wakikaa katika nyumba za mawe.
Lakini wakati ule aliosimulia Yule mwanamke mzee ulikuwa zamani za miaka kadiri ya mia mbili na hamsini, na habari hazikuwa dhahiri sana lakini hata hivyo, habari zilikuwa zimetajwa tena, na nilipofikiri, niliona hakika habari nyingine tulizokwisha zisikia ni za kweli, nikakaza nia yangu lazima niigundue siri hii.
Wakati huo, sikusikia namna kusudi langu litakavyotimizwa kwa njia iliyokuwa kama muujiza.
Basi, tulianza kuwasaka wale mabata ambao walizidi kulikaribia lile genge, na mwishowe tulipeleka mtumbwi nyuma ya chungu ya takataka kadiri ya mwendo wa yadi arobaini kutoka mahali walipokuwapo, na Sir Henry aliitwaa bunduki yake ya marisaa, akailenga, akapiga wawili shingoni, wakafa.
Mara wale wengine waliopata thelathini au zaidi waliondoka kwa kishindo kikubwa na walipofanya hivyo alipiga tena, na mwingine alianguka amevunjika mbawa.
Basi, tulikwenda tukawaokota wale wawili waliouawa, tukaanza kumsaka Yule aliyeangushwa akawahi kupita juu ya chungu ya takataka na kuingia katika maji wazi tena.
Kwa kuwa tuliona shida kupenya zile taka taka kwa mtumbwi wetu, nilimwambia Yule Mkazi aliyebaki, ambaye nilijua kuwa anaweza kuogelea vizuri, apige mbizi chini ya chungu ile ya takataka akamkamate Yule bata, maana nilijua hakuna mamba katika ziwa hilo, naye hawezi kudhurika.
Basi, yeye aliona kama ni mchezo tu akajitosa majini akamfuata Yule bata, na alipokuwa akimfuatia alilikaribia lile genge.
Mara nilimwona anaacha kuogelea kumfuata Yule bata, akaanza kupiga yowe ya kuwa anachukuliwa na maji na kweli tuliona yakuwa ingawa anaogelea kwa nguvu zake zote, lakini anavutwa kulikaribia lile genge.
Tulipiga kafi kwa nguvu tukapenya ile chungu ya takataka, tukamfuata kadiri tulivyoweza, lakini ingawa tulikwenda upesi sana, yeye alichukuliwa upesi zaidi kulikaribia lile genge.
Mara niliona mbele yetu kadiri ya nchi kumi na nane juu ya uso wa maji, liko tao kama ni mlango wa kuingilia pango linalopenya lile genge.
Basi, maskini mtumishi wetu alikuwa anavutwa na maji kuliendea pango lile kwa nguvu nyingi.
Nilipoliona lile pango, yeye alikuwa mbali nalo kadiri ya futi sitini, na sisi mbali kadiri ya futi mia moja na ishirini, na mtumbwi wetu ulikuwa unavutwa kasi bila sisi kutumia nguvu nyingi.
Alishindana kwa uhodari sana, nikadhani tutaweza kumuokoa, lakini mara niliona kuwa uso wake ya kuwa amekata tamaa , na mbele ya macho yetu alivutiwa katika lile pango akatoweka.
Mara ile he! Niliona kama kwamba mtumbwi wetu umeshikwa na mkono wenye nguvu nyingi mno na kuvutwa kwa nguvu isiyoweza kushindika kuliendea lile genge.
Sasa tuliona hatari iliyo mbele yetu, tukavuta kafi kwa nguvu ili tujiokoe tusivutwe katika maji yaliyokuwa yakizungukazunguka mbele ya mdomo wa pango.
Lakini juhudi yetu ilikuwa bure, na mara ile tulikuwa tunavutwa kuliendea lile pango kama mshale unaotoka kwenye upinde, nikafikiri tumekwisha potea.
Lakini kwa bahati sikushikwa na mfadhaiko, nikalia, ‘’Laleni chini!’’ nikajitupa chini katika mtumbwi, na wote walikuwa na akili kufanya vilevile.
Sasa tulisikia sauti ya kukwaruza, na mtumbwi ulisukumwa chini mpaka maji yalianza kuingia juu ya mbavu zake, nikafikiri huu ndiyo mwisho wetu, lakini kwa ghafla sauti ile ilikoma, nikaona kuwa mtumbwi ungali unaendele mbele.
Nilikigeuza kichwa changu kidogo sikuthubutu kukiinua nikatazama juu. Kwa mwangaza kidogo uliokuwako, niliona tumo pangoni, na juu yake ni mwamba wenye umbo la tao.
Baada ya kupita dakika, kama tano sikuweza kuliona, maana mwangaza ulitoweka, tukawa katika giza tupu.
Basi, kwa muda wa saa moja hivi tulilala, wala hatukuthubutu kuviinua vichwa vyetu visije vikapiga mwamba wa juu, nasi hata kusema hatukuweza kusema kwa sababu sauti ya maji yaliyokuwa yakipita kasi ilizimeza sauti zetu.
Na kwa kweli hatukuwa na moyo wa kusema, hali tumeshikwa na mashaka kwa hatari tuliyomo, na hofu ya kufa wakati wowote ama kwa kutupwa kwa nguvu kando ya pango, ama kuvutiwa chini katika maji yanayozunguka zunguka kwa nguvu, ama kusongwa kwa kutokuweza kuvuta pumzi.
Basi, namna hizi za kufa na nyingine nyingi zilipita katika fikra zangu nilipokuwa nimelala chini katika mtumbwi, nilisikiliza sauti kubwa ya maji yaliyokuwa yakienda kasi, sipajui wapi. Kweli hali zetu ilizipoozesha akili zangu, nikaanza kufikiri nimeshikwa na jinamizi la kutisha sana.
Ipo mkuu sijairukaMkuu sura ya saba umeruka
Shukurani mkuuBasi, hapa wenzetu waliamka wanatweta kwa joto, tukaona ni lazima tuzivue nguo zetu, isipokuwa Umslopogaas aliyekuwa amevaa ngozi.
Joto likazidi mno, na jasho lilitutoka kama maji yanavyo miminika. Baada ya kupita nusu saa tena, ingawa tulikuwa tupu, tuliona shida kuvumilia joto kwa jinsi lilivyozidi.
Nikauchovya mkono wangu majini, nikautoa haraka, nikataka kupiga kelele, maana maji yalikuwa moto sana, karibu kuchemka.
Sir Henry akasema kuwa, labda tunapita juu ya mahali penye moto wa volcano chini yake, nami nadhani alisema kweli na hasa kwa sababu ya mambo yaliyotokea baadaye.
Sasa taabu yetu ilizidi hata nashindwa kuieleza, maana hatukutoka jasho tena kwa sababu jasho lote limekwisha kututoka, na sasa tumelala tu chini mtumbwini, tukauacha uchukuliwe na maji tukajiona kama kwamba tu makaa ya moto.
Ngozi yetu ilianza kupasuka, na damu ilipigana katika mishipa ya vichwa vyetu. Basi, mambo yaliendelea hivyo hivyo kwa muda, ndipo mto ulipopinda kidogo, nikamsikia Sir Henry anatoa sauti ya kushtuka, nikatazama mbele nikaona jambo la ajabu na la kufadhaisha kabisa.
Kadiri ya nusu ya maili mbele yetu, na kwa upande wa kushoto wa katikati ya mto, tuliona nguzo ya moto mweupe unabubujika katika mto na kupanda juu kadiri ya futi hamsini, ulikuwa ukiupiga mwamba wa juu na kutawanyika mpaka kuwa mkubwa sana, kadiri ya futi arobaini kuuzunguka, kisha ukarudishwa chini kama matao.
Nguzo hii ya moto ilionekana kama kwamba ni ua kubwa ajabu la moto linalotoa katika maji meusi ya mto.
Chini, nguzo ilifanana na kikonyo cha ua, kimenyoka vizuri, na unene wake ulipata futi moja au zaidi na matao ya juu yake yalifanana na majani ya ua kubwa la moto. Nani anayeweza kueleza jinsi lilivyokuwa zuri na lakutisha! Hakika mimi siwezi.
Ingawa tuko mbali kadiri ya yadi mia tano, moto huo uliliangaza pango zima kama kwamba ni mchana. Basi, tulipelekwa mbele kasi kuiendea nguzo hiyo ya moto, na moto ulimeka kwa ukali kuliko tanuru yoyote iliyowashwa na mwanadamu.
Sir Henry akalia, ‘’Peleka mtumbwi kuume, Quatermain… kuume!’’ na mara ile nilimwona ameanguka chini katika mtumbwi amezirai. Bwana Good naye alizirai pia. Walilala wale kama kwamba wamekwisha kufa.
Umslopogaas na mimi tu ndiyo tuliokuwa na fahamu zetu. Sasa tulikaribia zaidi, kadiri ya yadi hamsini tu, nikaona kichwa cha Yule Mzulu kinainamia mbele katika mikono yake. Yeye naye amekwisha zirai, na mimi nimebaki peke yangu.
Sikuweza kuvuta pumzi moto mkali ulikuwa umenikausha kabisa. Mwamba wote uliozunguka mto, pale moto ulipokuwapo, ulikuwa unameka wekundu na mti wa mtumbwi wetu ukataka kuungua.
Nikaona manyoya ya bata mmoja katika wale tuliowaua yanasinyaa na kuungua lakini sikukubali kushindwa.
Nilijua ya kuwa mimi nikishindwa, basi tutakuwa tumekwisha, maana tutapita katika mwendo wa yadi tatu au nne wa moto ule na kuangamia kwa maumivu makali kabisa.
Basi, nilitia kafi majini ili kuupinda mtumbwi wetu upite mbali na moto kadiri nilivyoweza, nikaizuia kwa nguvu. Macho yangu yalikuwa kama yanatoka kichwani, na ingawa niliyafumba, niliweza kuuona mwangaza mkali wa moto.
Sasa tulikuwa karibu kuukabili; ulinguruma kama moto wa jehanamu, na maji yaliyozunguka yalikuwa yanachemka kwa hasira sana.
Nukta tano zaidi zilipita. Basi, tumeupita nikasikia muungurumo wake nyuma yangu.
Ndipo na mimi pia nilipoanguka chini mtumbwini, nimezirai.
Nilipopata akili zangu tena, niliona upepo unaupepea uso wangu. Nikayafumbua macho yangu kwa shida, nikatazama juu.
Juu, juu sana, niliona mwangaza, ingawa giza lilinizunguka pande zote. Ndipo nilipopata fahamu, nikatazama.
Mtumbwi ungali unaelea katika mto, na katika mtumbwi, chini, wenzangu wamelala tupu. Nikawaza, ‘’Je, wamekwisha kufa nini? Je, niko peke yangu katika mahali hapa pa kutisha’’ Sikujua.
Ndipo nilipoanza kuona kiu imenishika. Niliuchovya mkono wangu majini, nikauvutia ndani tena kwa haraka sana na huku ninalia. Maana karibu ngozi yote ilikuwa.
Imebabuka. Lakini maji yalikuwa baridi sana, badaye nikayatwa nikanywa sana, nikajimiminia maji.
Mwili wangu ulikuwa kama kwamba unapapa maji kama kiambaza kinavyopapa mvua baada ya wakati wa jua kali lakini pale nilipoungua palinichoma mno.
Ndipo nilipowakumbuka wenzangu, nikajivuta karibu nao kwa shida nyingi, nikawanyunyuzia maji, nikafurahi sana, maana walianza kuamka kwanza Umslopogaas, halafu na wale wengine.
Kisha, na wao walikunywa maji mengi. Sasa walianza kuona baridi kinyume kabisa cha hali yetu ya karibuni tukaanza kuvaa kadiri tulivyoweza, maana tulikuwa tumeungua sana.
Tulipokuwa tukifanya hivyo, Bwana Good alionyesha namna ubavu wa kushoto wa mtumbwi ulivyoungua kwa moto.
Moto ule wa kutisha ulikuwa nini sijabata kujua, lakini nadhani haukosi uko ufa ardhini chini ya mto, na moto ule unatoka katikati ya dunia.
Mara tulipovaa nguo na kupata nguvu kidogo, tulianza kujaribu kutambua tuko wapi sasa. Nilisema ya kuwa niliweza kuona mwangaza kwa juu sana, na tulipoutazama, tulitambua kuwa ni mbingu.
tukatambua ya kuwa mto ulikuwa chini ya ardhi, na sasa umetokea tena, nao unapita katikati ya magenge marefu kadiri ya futi elfu mbili kwenda juu.
Juu sana tuliona mbingu ni nyeupe, lakini hapo tulipo ni nusu giza, kama katika chumba kilichofungwa milango na madirisha wakati wa mchana.
Tuvumiliane tu! life la mzee baba siyo mchezo.Siku mbili hizi kimyaaa, pamoja lakini.
SURA YA KUMI
Mbele, mbele tukaendelea mbio sana, tunavutwa na mkondo wenye nguvu hata halafu nilisikia sauti ya maji imepungua sana, nikafahamu ni kwa sababu iko nafasi zaidi na sauti imeenea.
Basi, nilijiinua pole pole na kwa uangalifu sana mpaka nikafanikiwa kupiga magoti, nikaunyosha mkono wangu juu, nisiweze kugusa kitu. Kisha, nilitwaa kafi nikaiinua juu, nisiguse kitu.
Tena, nililipeleka upande wa kuume na wa kushoto, lakini sikuweza kugusa kitu ila maji tu. Ndipo nilipokumbuka ya kuwa ipo taa na debe la mafuta katika mtumbwi, nikapapasa papasa huku na huko mpaka nikavipata, nikawasha kiberiti kwa uangalifu, nikaiwasha taa.
Nikatazama, nikamwona Bwana Good amelala chali anatazama juu tu, na Sir Henry amekiegemeza kichwa chake ubavuni mwa mtumbwi, na mkono wake umo majini akijaribu kuupima mwendo wa maji.
Lakini mwangaza ulipomwangazia Umslopogaas nilitaka kucheka. Nilisahau kusema ya kuwa tulichukua pande la nyama iliyopikwa, basi , tulipojitupa chini katika mtumbwi tusipigwe na mwamba wa juu, kichwa cha Umslopogaas kilifika karibu na ile nyama, na mara alipoizoea hali yetu aliona njaa.
Basi, hapo alilitwaa shoka lake akakata kipande cha nyama, na sasa anaila kwa raha. Alieleza baadaye, ya kuwa, katika kwenda safari ndefu, hupenda kushiba kwanza!
Wenzangu walipoona nimeiwasha taa, tulianza kufanya shauri juu ya hali zetu kadiri tulivyoweza.
Kwanza kwa shauri la Bwana Good tulizifunga kafi mbili pamoja, tukazisimamisha ka mlingoti katika omo la mtumbwi ili tupate habari mara ile ikiwa mwamba wa juu kama sehemu nyingi ni fupi kwa kimo tusije tukajigonga.
Ilikuwa dhahiri ya kuwa tumo katika mto unaopita chini ya ardhi unaochukua maji ya ziwa yanapozidi.
Mito ya namna hiyo ipo katika nchi nyingi, lakini nadhani wasafiri wachache wamepata bahati mbaya ya kusafiri ndani yake.
Kwa mwangaza wa taa yetu tuliweza kufahamu ya kuwa mto ni mpana, maana nuru ya taa haikuweza kufika mpaka mwisho wa kando zake.
Mara kwa mara mkondo wa maji ulituchukua karibu na ng’ambo hii au hii, tukaona ni mwamba ambao, kadiri tulivyoweza kuona, unafanya namna ya tao kiasi cha futi ishirini na tano ju yetu.
Ingawa mwamba ulikuwa juu hivyo, tuliona ni afandali tuweke mtu mmoja mbele katika mtumbwi ashike zamu, ana taa na podo tayari kuzia mtumbwi usisetwe kando ya mto, wala kupigwa na mwamba ukiwa mmoja unatokeza mahali.
Kwa kuwa Umslopogaas tayari amekula, yeye alishika zamu ya kwanza, hapo tulikula nyama kidogo tu, maana hatujui chakula chetu kitachukua muda gani.
Ndipo tulipochangamka kidogo, nikatoa shauri langu ya kuwa hali yetu si hali ya kukata tamaa kabisa, ila labda mto huu utoweke kabisa katikati ya dunia, kama walivyosema wale wenyeji.
Kama hautoweki, basi lazima utatokea mahali, labda upande wa pili wa milima, na kama ni hivyo, basi hatuna budi kujiokoa maisha yetu mpaka tufike huko.
Lakini Bwana Good alisema labda tutapatikana na hatari na vitisho vingi sana au labda mto huu utatambaa chini ya ardhi mpaka ukauke, na kama ni hivyo, basi ajali yetu itakuwa mbaya kabisa.
Basi, Sir Henry, ambaye siku zote ni mchangamshi, na kwa kweli yu kama nguzo yenye nguvu wakati wa shida, akasema, ‘’Basi, imetupasa tuamini kuwa mambo yatatokea vizuri, au kujitengeneza tuwe tayari ikiwa yatatokea vibaya.
Tumetoka katika shida nyingi pamoja, nami nadhani tutatoka katika shida hii pia.
Ilikuwa karibu saa sita tulipovutiwa chini ya ardhi, na mtu wa zamu ya kwanza aliwekwa saa nane, tukapatana ya kuwa kila zamu itakuwa kwa muda wa saa tano.
Umslopogaas na Bwana Good walishika zamu ya kwanza. Basi, ilipofika saa moja ya usiku, Sir Henry na mimi tulishika zamu, na wale wawili wengine walilala.
Kwa muda wa saa tatu mambo yalikwenda vizuri ndipo nilipoanza kuona joto linazidi. Kwanza sikufikiri neno lakini baada ya kupita nusu saa tena niliona joto linazidi sana, nikamwita Sir Henry, nikamuuliza kama na yeye anaona joto, au kama ni mimi tu ninayeona hivyo. Akajibu, ‘’Ndiyo, jasho linanitoka kwa wingi sana.’’

Daah, salute sana kwa Sir Henry, anaandika aisee uyu mzee.Basi, hapa wenzetu waliamka wanatweta kwa joto, tukaona ni lazima tuzivue nguo zetu, isipokuwa Umslopogaas aliyekuwa amevaa ngozi.
Joto likazidi mno, na jasho lilitutoka kama maji yanavyo miminika. Baada ya kupita nusu saa tena, ingawa tulikuwa tupu, tuliona shida kuvumilia joto kwa jinsi lilivyozidi.
Nikauchovya mkono wangu majini, nikautoa haraka, nikataka kupiga kelele, maana maji yalikuwa moto sana, karibu kuchemka.
Sir Henry akasema kuwa, labda tunapita juu ya mahali penye moto wa volcano chini yake, nami nadhani alisema kweli na hasa kwa sababu ya mambo yaliyotokea baadaye.
Sasa taabu yetu ilizidi hata nashindwa kuieleza, maana hatukutoka jasho tena kwa sababu jasho lote limekwisha kututoka, na sasa tumelala tu chini mtumbwini, tukauacha uchukuliwe na maji tukajiona kama kwamba tu makaa ya moto.
Ngozi yetu ilianza kupasuka, na damu ilipigana katika mishipa ya vichwa vyetu. Basi, mambo yaliendelea hivyo hivyo kwa muda, ndipo mto ulipopinda kidogo, nikamsikia Sir Henry anatoa sauti ya kushtuka, nikatazama mbele nikaona jambo la ajabu na la kufadhaisha kabisa.
Kadiri ya nusu ya maili mbele yetu, na kwa upande wa kushoto wa katikati ya mto, tuliona nguzo ya moto mweupe unabubujika katika mto na kupanda juu kadiri ya futi hamsini, ulikuwa ukiupiga mwamba wa juu na kutawanyika mpaka kuwa mkubwa sana, kadiri ya futi arobaini kuuzunguka, kisha ukarudishwa chini kama matao.
Nguzo hii ya moto ilionekana kama kwamba ni ua kubwa ajabu la moto linalotoa katika maji meusi ya mto.
Chini, nguzo ilifanana na kikonyo cha ua, kimenyoka vizuri, na unene wake ulipata futi moja au zaidi na matao ya juu yake yalifanana na majani ya ua kubwa la moto. Nani anayeweza kueleza jinsi lilivyokuwa zuri na lakutisha! Hakika mimi siwezi.
Ingawa tuko mbali kadiri ya yadi mia tano, moto huo uliliangaza pango zima kama kwamba ni mchana. Basi, tulipelekwa mbele kasi kuiendea nguzo hiyo ya moto, na moto ulimeka kwa ukali kuliko tanuru yoyote iliyowashwa na mwanadamu.
Sir Henry akalia, ‘’Peleka mtumbwi kuume, Quatermain… kuume!’’ na mara ile nilimwona ameanguka chini katika mtumbwi amezirai. Bwana Good naye alizirai pia. Walilala wale kama kwamba wamekwisha kufa.
Umslopogaas na mimi tu ndiyo tuliokuwa na fahamu zetu. Sasa tulikaribia zaidi, kadiri ya yadi hamsini tu, nikaona kichwa cha Yule Mzulu kinainamia mbele katika mikono yake. Yeye naye amekwisha zirai, na mimi nimebaki peke yangu.
Sikuweza kuvuta pumzi moto mkali ulikuwa umenikausha kabisa. Mwamba wote uliozunguka mto, pale moto ulipokuwapo, ulikuwa unameka wekundu na mti wa mtumbwi wetu ukataka kuungua.
Nikaona manyoya ya bata mmoja katika wale tuliowaua yanasinyaa na kuungua lakini sikukubali kushindwa.
Nilijua ya kuwa mimi nikishindwa, basi tutakuwa tumekwisha, maana tutapita katika mwendo wa yadi tatu au nne wa moto ule na kuangamia kwa maumivu makali kabisa.
Basi, nilitia kafi majini ili kuupinda mtumbwi wetu upite mbali na moto kadiri nilivyoweza, nikaizuia kwa nguvu. Macho yangu yalikuwa kama yanatoka kichwani, na ingawa niliyafumba, niliweza kuuona mwangaza mkali wa moto.
Sasa tulikuwa karibu kuukabili; ulinguruma kama moto wa jehanamu, na maji yaliyozunguka yalikuwa yanachemka kwa hasira sana.
Nukta tano zaidi zilipita. Basi, tumeupita nikasikia muungurumo wake nyuma yangu.
Ndipo na mimi pia nilipoanguka chini mtumbwini, nimezirai.
Nilipopata akili zangu tena, niliona upepo unaupepea uso wangu. Nikayafumbua macho yangu kwa shida, nikatazama juu.
Juu, juu sana, niliona mwangaza, ingawa giza lilinizunguka pande zote. Ndipo nilipopata fahamu, nikatazama.
Mtumbwi ungali unaelea katika mto, na katika mtumbwi, chini, wenzangu wamelala tupu. Nikawaza, ‘’Je, wamekwisha kufa nini? Je, niko peke yangu katika mahali hapa pa kutisha’’ Sikujua.
Ndipo nilipoanza kuona kiu imenishika. Niliuchovya mkono wangu majini, nikauvutia ndani tena kwa haraka sana na huku ninalia. Maana karibu ngozi yote ilikuwa.
Imebabuka. Lakini maji yalikuwa baridi sana, badaye nikayatwa nikanywa sana, nikajimiminia maji.
Mwili wangu ulikuwa kama kwamba unapapa maji kama kiambaza kinavyopapa mvua baada ya wakati wa jua kali lakini pale nilipoungua palinichoma mno.
Ndipo nilipowakumbuka wenzangu, nikajivuta karibu nao kwa shida nyingi, nikawanyunyuzia maji, nikafurahi sana, maana walianza kuamka kwanza Umslopogaas, halafu na wale wengine.
Kisha, na wao walikunywa maji mengi. Sasa walianza kuona baridi kinyume kabisa cha hali yetu ya karibuni tukaanza kuvaa kadiri tulivyoweza, maana tulikuwa tumeungua sana.
Tulipokuwa tukifanya hivyo, Bwana Good alionyesha namna ubavu wa kushoto wa mtumbwi ulivyoungua kwa moto.
Moto ule wa kutisha ulikuwa nini sijabata kujua, lakini nadhani haukosi uko ufa ardhini chini ya mto, na moto ule unatoka katikati ya dunia.
Mara tulipovaa nguo na kupata nguvu kidogo, tulianza kujaribu kutambua tuko wapi sasa. Nilisema ya kuwa niliweza kuona mwangaza kwa juu sana, na tulipoutazama, tulitambua kuwa ni mbingu.
tukatambua ya kuwa mto ulikuwa chini ya ardhi, na sasa umetokea tena, nao unapita katikati ya magenge marefu kadiri ya futi elfu mbili kwenda juu.
Juu sana tuliona mbingu ni nyeupe, lakini hapo tulipo ni nusu giza, kama katika chumba kilichofungwa milango na madirisha wakati wa mchana.
Sir Henry (inkubu )yeye ni mshiriki tu mtunzi anaitwa Richard haggard aliandika riwaya hii mwaka wa1885.Daah, salute sana kwa Sir Henry, anaandika aisee uyu mzee.
Azidi kupumzika kwa amani