Na humu msimulizi mkuu ni Makumazahn wakati nasoma hiki kitabu miongo miwili na nusu iliyopita nilikuwa nadhania ni vitu vya uhalisia teh.Sir Henry (inkubu )yeye ni mshiriki tu mtunzi anaitwa Richard haggard aliandika riwaya hii mwaka wa1885.
Na humu msimulizi mkuu ni Makumazahn wakati nasoma hiki kitabu miongo miwili na nusu iliyopita nilikuwa nadhania ni vitu vya uhalisia teh.Sir Henry (inkubu )yeye ni mshiriki tu mtunzi anaitwa Richard haggard aliandika riwaya hii mwaka wa1885.
mwenzio yupo sahihi..mwandishi wa riwaya hii anaitwa henry haggard rider.Sir Henry (inkubu )yeye ni mshiriki tu mtunzi anaitwa Richard haggard aliandika riwaya hii mwaka wa1885.
Walete mkuu!! We zishushe tu hata tatutukatambua ya kuwa mto ulikuwa chini ya ardhi, na sasa umetokea tena, nao unapita katikati ya magenge marefu kadiri ya futi elfu mbili kwenda juu.
Juu sana tuliona mbingu ni nyeupe, lakini hapo tulipo ni nusu giza, kama katika chumba kilichofungwa milango na madirisha wakati wa mchana. Inaendelea ilipoishia...
Kando ya maji palikuwa na ukingo upana wa yadi saba au nane wenye mawe yaliyoviringana kwa kusukumwa na maji.
Basi, tulikusudia kuteremka hapa ili tupumzike kidogo baada ya hatari zote zilizotupata, na kuvinyoosha viungo vyetu.
Mahali hapa palikuwa pa kutisha sana, lakini panafaa kupumzikia katika hatari na vitisho vya mto, na kutupa nafasi ya kupanga vizuri vitu vilivyomo mtumbwini.
Basi, tulichagua mahali, tukaupweleza mtumbwi kwa shida, kisha tukateremka katika mawe yale.
Bwana Good alishuka ukingoni kwanza, akasema kwa sauti kubwa, ‘’Lo, ama mahali hapa pabaya mno! Panatosha kumtia mtu kifafa,’’ akacheka.
Mara ile sauti kubwa ilikariri maneno yake, ikayazidisha mara nyingi sana. ‘’Kifafa ho!ho!ho!- Kifafa ho!ho!ho!’’ na sauti nyingine ikaitikia juu sana katika genge, ‘’Kifafa! Kifafa! Kifafa!’’ na sauti ilifuata, sauti ikachanganyika pamoja na sauti ya kucheka, mpaka mahali pote palilia, kisha ikatulia tena ghafla kama ilivyoanza.
Umslopogaas akasema kwa utulivu, ‘’Ah! Naona ya kuwa mashetani wako hapa, na kweli mahali hapa paonekana kama ni mahali pa mashetani.’’ Nilijaribu kueleza ya kuwa sauti zile tulizozisikia ni mwangwi tu, lakini hakusadiki.
Akasema, ‘’La mimi naweza kuutambua mwangwi niusikiapo. Mmoja ulikaa karibu na nyumba yangu huko katika nchi ya Umla na vijana wa kike walizoea kuongea nao. Lakini kama huu ni mwangwi, basi ule wa kwetu ulikuwa mtoto wa mwangwi tu! La, la, ni mashetani.
Lakini hata hivi naona si mashetani kitu,’’ akanusa tumbako, ‘’wanaweza kukariri maneno ya mtu, lakini hawawezi kusema maneno yao wenyewe, tena, hawathubutu kujionyesha’’. Akanyamaza, kama kwamba anawadharau mashetani hao.
Baada ya hayo tuliongea kwa sauti ya kunong’ona, maana tulichukizwa kusikia kila neno tunalolisema linatupwa huko na huko kama mpira katika mchezo.
Lakini hata sauti za kunong’ona zilitambaa katika magenge kama sauti za siri, mpaka zilipofifia kama mivumo ya upepo.
Mara tulipotua juu ya mawe yale, tuliyaosha na kuyaganga majeraha yetu ya kuunguzwa moto kadiri tulivyoweza.
Tulikuwa na mafuta kidogo kwa taa yetu, kwa hivi hatukuweza kuyatumia kuyatibu majeraha yetu, basi, tulimnyonyoa bata mmoja, tukatumia mafuta ya kidari chake, yakatufaa sana.
Kisha, tuliviweka vitu vyetu vizuri katika mtumbwi, tukaanza kula, nasi tulikuwa na njaa sana ya chakula, maana tulikuwa tumezirai kwa muda wa saa nyingi, na sasa ilipata saa sita.
Basi, tulikaa tukaanza kula nyama baridi, lakini tulikuwa dhaifu tukataka tutapika, tena, vichwa vilituuma kwa ajili ya taabu za usiku.
Halafu kidogo. Niligeuka nitazame nyuma yangu, nimevutwaa na sauti niliyosikia kama kwamba kitu kinatambaa juu ya mawe, nikaona kaa mkubwa sana wa maji baridi amekaa juu ya mwamba. Alikuwa mkubwa sana kama bata watano kiasi cha bata wakawaida.
Mnyama huyu wa kuchukiza alikuwa na macho yaliyotokeza, yakawa kama yananiangalia, tena, alikuwa na mikono mirefu na magando makubwa sana.
Basi, hapo wanyama wengi kama huyo walitoka kila upande, labda walivutwa na harufu ya chakula, wakatoka nyuma ya mawe na katika matundu ya mwamba.
Wengine walitukaribia sana. Mara ile mmoja alimuuma Bwana Good kwa nguvu sana, akalia kwa sauti kubwa, kisha kwa mara nyingine tena mwangwi uliirudiarudia sauti ile.
Umslopogaas alilitwaa shoka lake akamvunja Yule kaa, na mara ile Yule kaa alilia kwa sauti kubwa, na mwangwi uliirudisha sauti yake iliyo chukiza sana. Mara akaanza kutoa povu kinywani, na wengi wengine wakaja kutoka kila mahali.
Wale walipoona ya kuwa mwenzao ameumia, walimrukia wakaanza kumraruararua kwa magando yao makubwa, wakavitia vipande vya nyama yake vinywani mwao.
Basi, tulishika vitu vyovyote tulivyoweza kupata, tukaanza kupigana nao. Walizidi kujazana tele, wakatoa harufu mbaya sana.
Kila tulipomuua mmoja, wenziwe walimrukia wakamraruararua na huku akitoa povu kinywani mwake tena kila walipopata nafasi walituuma na sisi pia, wakajaribu kuiba chakula chetu.
Mmoja mkubwa sana alimrukia bata mmoja tuliyemnyonyoa, akajaribu kumchukua, na mara ile wengi sana walijitupa juu yake wakaanza kulialia na kutoa povu vinywani wakaila nyama yake na huku wakiraruana pia.
Basi, hapa Bwana Good akasema, ‘’Haraka tuondoke hapa au kweli tutashikwa na wazimu.’’
Basi, tuliusukuma mtumbwi wetu ambao ulizungukwa na wanyama hao wengi sana, tukaushusha mtoni, tukaingia ndani, tukatoka pale tukawaacha wanyama hao wanalialia na kutoa povu linalo nuka vibaya.
Umslopogaas akasema, ‘’Wale ni mashetani wa mahali hapa.’’ Na sisi tulielekea kuyakubali maneno yake.
Sir Henry akasema, ‘’Na sasa tutafanya nini?’’ Nikajibu, ‘’Tuache mtumbwi uchukuliwe na maji tu.’’ Basi, tukauacha uchukuliwe tangu mchana hata jioni, wala hatuna habari kuwa usiku unaingia kwa sababu ya giza la mahali hapo, mpaka Bwana Good alipoonyesha juu tukaona nyota angani.
Basi, kwa kuwa hatuna la kufanya, tulikaa tukiiangalia ile nyota, na mara ilitoweka, na giza likazidi tena, tukaanza kusikia muungurumo wa maji tena, nikaguna nikasema, ‘’Tumeingia chini ya ardhi tena.’’ Nikaangaza taa.
Ndiyo, bila shaka, tumekwisha ingia chini tena tukaweza kuona mwamba wa juu ya mto. Basi usiku mwingine wa hatari na hofu ukaanza.
Sitaweza kuyaeleza mambo yaliyotokea tutachoshana tu, basi, yatosha kusema ya kuwa ilipopata karibu na saa sita ya usiku, tulipiga mwamba uliotokeza katikati ya mto, tukawa karibu kupinduka na kutoswa majini.
Lakini tuliwahi kuutoa mtumbwi na kuendelea tena. Basi, hivi saa zilipita mpaka karibu na saa tisa.
Sir Henry na Bwana Good walikuwa wamelala, wamechoka kabisa, na Umslopogaas akawa amekaa mbele ameshika pondo, na mimi, nilikuwa nikiuongoza mtumbwi.
Mara nilimsikia Umslopogaas anatoa sauti, na mara ile nilisikia sauti ya kucharuka kama kwamba kitu kinapenya katika matawi ya miti, nikaona ya kuwa mtumbwi wetu unapenya kwa nguvu katika miti na matawi yanayotambaa.
Kisha, nikaona upepo mzuri unaupepea uso wangu, nikajua kuwa tumetoka tena katika chini ya ardhi na sasa tunaelea juu ya maji wazi.
Sikuweza kuona kitu kwa macho yangu kwa sababu ya giza la usiku, lakini nilifurahi kuona tumekwisha toka katika mto ule wa kutisha. Basi, nilikaa nikivuta hewa nzuri katika mapafu yangu, nikayangoja mapambazuko kwa saburi nilivyoweza.
Hapa matumaini ya uhai yanaanza kupatikana. Tiririka tupo pamoja.tukatambua ya kuwa mto ulikuwa chini ya ardhi, na sasa umetokea tena, nao unapita katikati ya magenge marefu kadiri ya futi elfu mbili kwenda juu.
Juu sana tuliona mbingu ni nyeupe, lakini hapo tulipo ni nusu giza, kama katika chumba kilichofungwa milango na madirisha wakati wa mchana. Inaendelea ilipoishia...
Kando ya maji palikuwa na ukingo upana wa yadi saba au nane wenye mawe yaliyoviringana kwa kusukumwa na maji.
Basi, tulikusudia kuteremka hapa ili tupumzike kidogo baada ya hatari zote zilizotupata, na kuvinyoosha viungo vyetu.
Mahali hapa palikuwa pa kutisha sana, lakini panafaa kupumzikia katika hatari na vitisho vya mto, na kutupa nafasi ya kupanga vizuri vitu vilivyomo mtumbwini.
Basi, tulichagua mahali, tukaupweleza mtumbwi kwa shida, kisha tukateremka katika mawe yale.
Bwana Good alishuka ukingoni kwanza, akasema kwa sauti kubwa, ‘’Lo, ama mahali hapa pabaya mno! Panatosha kumtia mtu kifafa,’’ akacheka.
Mara ile sauti kubwa ilikariri maneno yake, ikayazidisha mara nyingi sana. ‘’Kifafa ho!ho!ho!- Kifafa ho!ho!ho!’’ na sauti nyingine ikaitikia juu sana katika genge, ‘’Kifafa! Kifafa! Kifafa!’’ na sauti ilifuata, sauti ikachanganyika pamoja na sauti ya kucheka, mpaka mahali pote palilia, kisha ikatulia tena ghafla kama ilivyoanza.
Umslopogaas akasema kwa utulivu, ‘’Ah! Naona ya kuwa mashetani wako hapa, na kweli mahali hapa paonekana kama ni mahali pa mashetani.’’ Nilijaribu kueleza ya kuwa sauti zile tulizozisikia ni mwangwi tu, lakini hakusadiki.
Akasema, ‘’La mimi naweza kuutambua mwangwi niusikiapo. Mmoja ulikaa karibu na nyumba yangu huko katika nchi ya Umla na vijana wa kike walizoea kuongea nao. Lakini kama huu ni mwangwi, basi ule wa kwetu ulikuwa mtoto wa mwangwi tu! La, la, ni mashetani.
Lakini hata hivi naona si mashetani kitu,’’ akanusa tumbako, ‘’wanaweza kukariri maneno ya mtu, lakini hawawezi kusema maneno yao wenyewe, tena, hawathubutu kujionyesha’’. Akanyamaza, kama kwamba anawadharau mashetani hao.
Baada ya hayo tuliongea kwa sauti ya kunong’ona, maana tulichukizwa kusikia kila neno tunalolisema linatupwa huko na huko kama mpira katika mchezo.
Lakini hata sauti za kunong’ona zilitambaa katika magenge kama sauti za siri, mpaka zilipofifia kama mivumo ya upepo.
Mara tulipotua juu ya mawe yale, tuliyaosha na kuyaganga majeraha yetu ya kuunguzwa moto kadiri tulivyoweza.
Tulikuwa na mafuta kidogo kwa taa yetu, kwa hivi hatukuweza kuyatumia kuyatibu majeraha yetu, basi, tulimnyonyoa bata mmoja, tukatumia mafuta ya kidari chake, yakatufaa sana.
Kisha, tuliviweka vitu vyetu vizuri katika mtumbwi, tukaanza kula, nasi tulikuwa na njaa sana ya chakula, maana tulikuwa tumezirai kwa muda wa saa nyingi, na sasa ilipata saa sita.
Basi, tulikaa tukaanza kula nyama baridi, lakini tulikuwa dhaifu tukataka tutapika, tena, vichwa vilituuma kwa ajili ya taabu za usiku.
Halafu kidogo. Niligeuka nitazame nyuma yangu, nimevutwaa na sauti niliyosikia kama kwamba kitu kinatambaa juu ya mawe, nikaona kaa mkubwa sana wa maji baridi amekaa juu ya mwamba. Alikuwa mkubwa sana kama bata watano kiasi cha bata wakawaida.
Mnyama huyu wa kuchukiza alikuwa na macho yaliyotokeza, yakawa kama yananiangalia, tena, alikuwa na mikono mirefu na magando makubwa sana.
Basi, hapo wanyama wengi kama huyo walitoka kila upande, labda walivutwa na harufu ya chakula, wakatoka nyuma ya mawe na katika matundu ya mwamba.
Wengine walitukaribia sana. Mara ile mmoja alimuuma Bwana Good kwa nguvu sana, akalia kwa sauti kubwa, kisha kwa mara nyingine tena mwangwi uliirudiarudia sauti ile.
Umslopogaas alilitwaa shoka lake akamvunja Yule kaa, na mara ile Yule kaa alilia kwa sauti kubwa, na mwangwi uliirudisha sauti yake iliyo chukiza sana. Mara akaanza kutoa povu kinywani, na wengi wengine wakaja kutoka kila mahali.
Wale walipoona ya kuwa mwenzao ameumia, walimrukia wakaanza kumraruararua kwa magando yao makubwa, wakavitia vipande vya nyama yake vinywani mwao.
Basi, tulishika vitu vyovyote tulivyoweza kupata, tukaanza kupigana nao. Walizidi kujazana tele, wakatoa harufu mbaya sana.
Kila tulipomuua mmoja, wenziwe walimrukia wakamraruararua na huku akitoa povu kinywani mwake tena kila walipopata nafasi walituuma na sisi pia, wakajaribu kuiba chakula chetu.
Mmoja mkubwa sana alimrukia bata mmoja tuliyemnyonyoa, akajaribu kumchukua, na mara ile wengi sana walijitupa juu yake wakaanza kulialia na kutoa povu vinywani wakaila nyama yake na huku wakiraruana pia.
Basi, hapa Bwana Good akasema, ‘’Haraka tuondoke hapa au kweli tutashikwa na wazimu.’’
Basi, tuliusukuma mtumbwi wetu ambao ulizungukwa na wanyama hao wengi sana, tukaushusha mtoni, tukaingia ndani, tukatoka pale tukawaacha wanyama hao wanalialia na kutoa povu linalo nuka vibaya.
Umslopogaas akasema, ‘’Wale ni mashetani wa mahali hapa.’’ Na sisi tulielekea kuyakubali maneno yake.
Sir Henry akasema, ‘’Na sasa tutafanya nini?’’ Nikajibu, ‘’Tuache mtumbwi uchukuliwe na maji tu.’’ Basi, tukauacha uchukuliwe tangu mchana hata jioni, wala hatuna habari kuwa usiku unaingia kwa sababu ya giza la mahali hapo, mpaka Bwana Good alipoonyesha juu tukaona nyota angani.
Basi, kwa kuwa hatuna la kufanya, tulikaa tukiiangalia ile nyota, na mara ilitoweka, na giza likazidi tena, tukaanza kusikia muungurumo wa maji tena, nikaguna nikasema, ‘’Tumeingia chini ya ardhi tena.’’ Nikaangaza taa.
Ndiyo, bila shaka, tumekwisha ingia chini tena tukaweza kuona mwamba wa juu ya mto. Basi usiku mwingine wa hatari na hofu ukaanza.
Sitaweza kuyaeleza mambo yaliyotokea tutachoshana tu, basi, yatosha kusema ya kuwa ilipopata karibu na saa sita ya usiku, tulipiga mwamba uliotokeza katikati ya mto, tukawa karibu kupinduka na kutoswa majini.
Lakini tuliwahi kuutoa mtumbwi na kuendelea tena. Basi, hivi saa zilipita mpaka karibu na saa tisa.
Sir Henry na Bwana Good walikuwa wamelala, wamechoka kabisa, na Umslopogaas akawa amekaa mbele ameshika pondo, na mimi, nilikuwa nikiuongoza mtumbwi.
Mara nilimsikia Umslopogaas anatoa sauti, na mara ile nilisikia sauti ya kucharuka kama kwamba kitu kinapenya katika matawi ya miti, nikaona ya kuwa mtumbwi wetu unapenya kwa nguvu katika miti na matawi yanayotambaa.
Kisha, nikaona upepo mzuri unaupepea uso wangu, nikajua kuwa tumetoka tena katika chini ya ardhi na sasa tunaelea juu ya maji wazi.
Sikuweza kuona kitu kwa macho yangu kwa sababu ya giza la usiku, lakini nilifurahi kuona tumekwisha toka katika mto ule wa kutisha. Basi, nilikaa nikivuta hewa nzuri katika mapafu yangu, nikayangoja mapambazuko kwa saburi nilivyoweza.
Yaah mzee allan ndio msimulizi mkuu wa mtunzi kama waonavyo wily gamba na musiba au beny mtobwa na joram kiango. Ukiisoma vyote viwili yaani version ya kiingereza na ya kiswahili utapata ladha tofauti ingawa napenda sana cha kiswahili maana mikwara yake inasomeka uzuri. Pia ukipata audio ya kingereza pia msimuliaje alijitahidi kuelezea kwa kuteka hadhraNa humu msimulizi mkuu ni Makumazahn wakati nasoma hiki kitabu miongo miwili na nusu iliyopita nilikuwa nadhania ni vitu vya uhalisia teh.
Sir Henry Rider Haggard, KBE, Kt (/ˈhæɡərd/; 22 June 1856 – 14 May 1925), known as H. Rider Haggard, was an English writer of adventure novels set in exotic locations, predominantly Africa, and a pioneer of the Lost World literary genreSir Henry (inkubu )yeye ni mshiriki tu mtunzi anaitwa Richard haggard aliandika riwaya hii mwaka wa1885.
Taratiibu naitafuna. Big up sana mkuu blackstarlinetukatambua ya kuwa mto ulikuwa chini ya ardhi, na sasa umetokea tena, nao unapita katikati ya magenge marefu kadiri ya futi elfu mbili kwenda juu.
Juu sana tuliona mbingu ni nyeupe, lakini hapo tulipo ni nusu giza, kama katika chumba kilichofungwa milango na madirisha wakati wa mchana. Inaendelea ilipoishia...
Kando ya maji palikuwa na ukingo upana wa yadi saba au nane wenye mawe yaliyoviringana kwa kusukumwa na maji.
Basi, tulikusudia kuteremka hapa ili tupumzike kidogo baada ya hatari zote zilizotupata, na kuvinyoosha viungo vyetu.
Mahali hapa palikuwa pa kutisha sana, lakini panafaa kupumzikia katika hatari na vitisho vya mto, na kutupa nafasi ya kupanga vizuri vitu vilivyomo mtumbwini.
Basi, tulichagua mahali, tukaupweleza mtumbwi kwa shida, kisha tukateremka katika mawe yale.
Bwana Good alishuka ukingoni kwanza, akasema kwa sauti kubwa, ‘’Lo, ama mahali hapa pabaya mno! Panatosha kumtia mtu kifafa,’’ akacheka.
Mara ile sauti kubwa ilikariri maneno yake, ikayazidisha mara nyingi sana. ‘’Kifafa ho!ho!ho!- Kifafa ho!ho!ho!’’ na sauti nyingine ikaitikia juu sana katika genge, ‘’Kifafa! Kifafa! Kifafa!’’ na sauti ilifuata, sauti ikachanganyika pamoja na sauti ya kucheka, mpaka mahali pote palilia, kisha ikatulia tena ghafla kama ilivyoanza.
Umslopogaas akasema kwa utulivu, ‘’Ah! Naona ya kuwa mashetani wako hapa, na kweli mahali hapa paonekana kama ni mahali pa mashetani.’’ Nilijaribu kueleza ya kuwa sauti zile tulizozisikia ni mwangwi tu, lakini hakusadiki.
Akasema, ‘’La mimi naweza kuutambua mwangwi niusikiapo. Mmoja ulikaa karibu na nyumba yangu huko katika nchi ya Umla na vijana wa kike walizoea kuongea nao. Lakini kama huu ni mwangwi, basi ule wa kwetu ulikuwa mtoto wa mwangwi tu! La, la, ni mashetani.
Lakini hata hivi naona si mashetani kitu,’’ akanusa tumbako, ‘’wanaweza kukariri maneno ya mtu, lakini hawawezi kusema maneno yao wenyewe, tena, hawathubutu kujionyesha’’. Akanyamaza, kama kwamba anawadharau mashetani hao.
Baada ya hayo tuliongea kwa sauti ya kunong’ona, maana tulichukizwa kusikia kila neno tunalolisema linatupwa huko na huko kama mpira katika mchezo.
Lakini hata sauti za kunong’ona zilitambaa katika magenge kama sauti za siri, mpaka zilipofifia kama mivumo ya upepo.
Mara tulipotua juu ya mawe yale, tuliyaosha na kuyaganga majeraha yetu ya kuunguzwa moto kadiri tulivyoweza.
Tulikuwa na mafuta kidogo kwa taa yetu, kwa hivi hatukuweza kuyatumia kuyatibu majeraha yetu, basi, tulimnyonyoa bata mmoja, tukatumia mafuta ya kidari chake, yakatufaa sana.
Kisha, tuliviweka vitu vyetu vizuri katika mtumbwi, tukaanza kula, nasi tulikuwa na njaa sana ya chakula, maana tulikuwa tumezirai kwa muda wa saa nyingi, na sasa ilipata saa sita.
Basi, tulikaa tukaanza kula nyama baridi, lakini tulikuwa dhaifu tukataka tutapika, tena, vichwa vilituuma kwa ajili ya taabu za usiku.
Halafu kidogo. Niligeuka nitazame nyuma yangu, nimevutwaa na sauti niliyosikia kama kwamba kitu kinatambaa juu ya mawe, nikaona kaa mkubwa sana wa maji baridi amekaa juu ya mwamba. Alikuwa mkubwa sana kama bata watano kiasi cha bata wakawaida.
Mnyama huyu wa kuchukiza alikuwa na macho yaliyotokeza, yakawa kama yananiangalia, tena, alikuwa na mikono mirefu na magando makubwa sana.
Basi, hapo wanyama wengi kama huyo walitoka kila upande, labda walivutwa na harufu ya chakula, wakatoka nyuma ya mawe na katika matundu ya mwamba.
Wengine walitukaribia sana. Mara ile mmoja alimuuma Bwana Good kwa nguvu sana, akalia kwa sauti kubwa, kisha kwa mara nyingine tena mwangwi uliirudiarudia sauti ile.
Umslopogaas alilitwaa shoka lake akamvunja Yule kaa, na mara ile Yule kaa alilia kwa sauti kubwa, na mwangwi uliirudisha sauti yake iliyo chukiza sana. Mara akaanza kutoa povu kinywani, na wengi wengine wakaja kutoka kila mahali.
Wale walipoona ya kuwa mwenzao ameumia, walimrukia wakaanza kumraruararua kwa magando yao makubwa, wakavitia vipande vya nyama yake vinywani mwao.
Basi, tulishika vitu vyovyote tulivyoweza kupata, tukaanza kupigana nao. Walizidi kujazana tele, wakatoa harufu mbaya sana.
Kila tulipomuua mmoja, wenziwe walimrukia wakamraruararua na huku akitoa povu kinywani mwake tena kila walipopata nafasi walituuma na sisi pia, wakajaribu kuiba chakula chetu.
Mmoja mkubwa sana alimrukia bata mmoja tuliyemnyonyoa, akajaribu kumchukua, na mara ile wengi sana walijitupa juu yake wakaanza kulialia na kutoa povu vinywani wakaila nyama yake na huku wakiraruana pia.
Basi, hapa Bwana Good akasema, ‘’Haraka tuondoke hapa au kweli tutashikwa na wazimu.’’
Basi, tuliusukuma mtumbwi wetu ambao ulizungukwa na wanyama hao wengi sana, tukaushusha mtoni, tukaingia ndani, tukatoka pale tukawaacha wanyama hao wanalialia na kutoa povu linalo nuka vibaya.
Umslopogaas akasema, ‘’Wale ni mashetani wa mahali hapa.’’ Na sisi tulielekea kuyakubali maneno yake.
Sir Henry akasema, ‘’Na sasa tutafanya nini?’’ Nikajibu, ‘’Tuache mtumbwi uchukuliwe na maji tu.’’ Basi, tukauacha uchukuliwe tangu mchana hata jioni, wala hatuna habari kuwa usiku unaingia kwa sababu ya giza la mahali hapo, mpaka Bwana Good alipoonyesha juu tukaona nyota angani.
Basi, kwa kuwa hatuna la kufanya, tulikaa tukiiangalia ile nyota, na mara ilitoweka, na giza likazidi tena, tukaanza kusikia muungurumo wa maji tena, nikaguna nikasema, ‘’Tumeingia chini ya ardhi tena.’’ Nikaangaza taa.
Ndiyo, bila shaka, tumekwisha ingia chini tena tukaweza kuona mwamba wa juu ya mto. Basi usiku mwingine wa hatari na hofu ukaanza.
Sitaweza kuyaeleza mambo yaliyotokea tutachoshana tu, basi, yatosha kusema ya kuwa ilipopata karibu na saa sita ya usiku, tulipiga mwamba uliotokeza katikati ya mto, tukawa karibu kupinduka na kutoswa majini.
Lakini tuliwahi kuutoa mtumbwi na kuendelea tena. Basi, hivi saa zilipita mpaka karibu na saa tisa.
Sir Henry na Bwana Good walikuwa wamelala, wamechoka kabisa, na Umslopogaas akawa amekaa mbele ameshika pondo, na mimi, nilikuwa nikiuongoza mtumbwi.
Mara nilimsikia Umslopogaas anatoa sauti, na mara ile nilisikia sauti ya kucharuka kama kwamba kitu kinapenya katika matawi ya miti, nikaona ya kuwa mtumbwi wetu unapenya kwa nguvu katika miti na matawi yanayotambaa.
Kisha, nikaona upepo mzuri unaupepea uso wangu, nikajua kuwa tumetoka tena katika chini ya ardhi na sasa tunaelea juu ya maji wazi.
Sikuweza kuona kitu kwa macho yangu kwa sababu ya giza la usiku, lakini nilifurahi kuona tumekwisha toka katika mto ule wa kutisha. Basi, nilikaa nikivuta hewa nzuri katika mapafu yangu, nikayangoja mapambazuko kwa saburi nilivyoweza.