Hadithi: Sitaki tena

Hadithi: Sitaki tena

"Niliendelea kuisoma ile barua
huku nikihisi kichwa changu
kizito,ganzi ikinijaa mwilini,kadri
nilivyokuwa naendelea kusoma
ndipo kizunguzungu kikanizidia..,
Ndio maneno ya mwisho ninayoweza kuyakumbuka kwani
nilivyoshikwa na kizunguzungu
wakati naisoma ile barua
iliyokuwa inaelezea kuvunjwa kwa
nyumba za mtaani kwetu huku na
nyumba yetu ikiwemo, ukijumuishwa na upande wa
nyuma kulipokuwa na kaburi la
marehemu Baba ukisisitiziwa
utabomolewa upande wote wiki
hii,ndicho kilichomuumiza na
kumliza sana Mama,na ilinifanya mwili wangu ujae joto
haraka,kuanza kutetemeka na
hapo hapo niliitupa ile barua
huku nikidondoka na kupoteza
fahamu..,
* * * *

"Yuko wapi Gervas..?"
Ndio neno nililoweza kulitoa
baada ya kuzinduka pale hospitali
Juhuku nikishangaa nimetundikiwa
dripu na kujua kuwa kumbe zile
zote zilikuwa ni ndoto na hisia za ajabu eti mpaka napelekwa
mahamakani,Nikakutana na 'Baba
Pendo' na kuanza kumlilia kuwa
sijaua,
"Ooooohhh...! Uuuuuuuuhhh..!
Mungu waaaaangu..! God forbid.....!"
Nilijikuta nalitoa hilo neno la
kiingereza japo sikuwa najua
maana yake kwani nilimsikia mara
nyingi Afande Deus analitumia
anapokabiliwa na matatizo,huku kichomi kikinizidi kuniuma na
kupumua haraka zaidi..
Kucheki pembeni yangu
nikamshuhudia Mama akiwa
amenishikilia dripu tena akiwa
bado machozi yakimlengalenga kuonesha kuwa bado analia huku
akinitazama..
"mwanangu...! nisamehe mimi...!
mwanangu...! Najua mimi ndo
chanzo cha yote hayo...!
"Najuta kukuonesha ile barua....!" "Hapana Mama kwani mbona
mimi mzima tu....!"
Nilimjibu Mama bila ya kuwa na
wasiwasi wowote huku nikijiamini
mimi ni mzima tu,
"Usilie mama...." "Hapana mwanangu....
Daktari amesema kuwa u..."
* * * * *

Juhudi za afande Deus kumtoa
Gervas katika kituo cha Polisi pale
ubungo zilifanikiwa kwani alikuwa
akiheshimika na kufahamika hivyo
alijitahdi kumtetea Gervas kwa kila
njia mpaka akafanikiwa lakini ilikuwa kwa masharti kuwa Gervas
hatakiwi kabisa kuönekana Dar es
salam na Tanzania kwa ujumla
kwani kuonekana kwake
kutamletea matatizo makubwa
Levina ikiwa ni pamoja na kuwekwa Gerezani tena kwa mara
ya pili,hivyo
Afande Deus alichokifanya ni
kumchukuwa Gervas moja kwa
moja mpaka kwa wazazi wake
kisha kuwapa masharti aliyopewa baada ya kuafikiana wazazi wa
Gervas wakahaidi kumtorosha
Gervas na kwenda kuendelea
masomo yake nje ya nchi,
Mwanzoni Gervas hakuliafiki
kabisa na yote hiyo ni kotakana na kumpenda sana Levina kutoka
moyoni,lakini baada ya wazazi
wake kumsema sana ikabidi
wakubaliane tena kishingo
upande kuwa ataondoka tu haina
jinsi, Walienda nyumbani kwa kina
Levina asubuhi asubuhi lakini
waliwakosa hivyo Afande Deus
akampigia simu Mama Levina na
kuambiwa kuwa Levina kalazwa
na wapo hospitali ya 'Ocean Road'..
* * * *

......Kabla Mama hajamalizia
kuongea Mara akaingia Afande
Deus akiwa na Gervas pamoja na
Wazazi wa Gervas..
Nilijihisi nimepona pale kitandani
lakini kila nikitaka kunyanyua mkono niinuke nilishindwa,
"Nesi...! Nesi..! Nesi....!"
Msaada hapa....!, Msaada Nesi...!"
Ilikuwa ni sauti ya Mama
iliyokuwa ikiomba msaada kwa
Nesi aje kwangu kunisaidia.., Nikashuhudia Nesi akija haraka
kunihudumia huku akiniinua
mgongo..,
Kisha akamwambia kitu afande
Deus na Mama..
"Huyu mnyanyueni taratibu,kwani upande huu wote wa kushoto
haufanyi kazi kabisa..,
Hapo hapo Halmashauri yangu ya
kichwa ikagundua moja kwa moja
neno la mwisho alilokuwa
anataka kuniambia Mama kabla afande Deus hajaingia ilikuwa ndo
hilo kuwa nimepooza upande
mmoja.,
Nilijikuta kama mtu asiye na
bahati hapa duniani ikabidi
nikabiliano nayo, "Pole Levina utapona usijali..."
Sauti ya chinichini tulivu
iliyopenyeza kwenye maskio
yangu ikitokea kwa Gervas huku
akionesha kuwa anahuzuni sana
machoni, "Nakupenda Gervas....!"
"Nakupenda pia Levina..!"
Bila kuonesha woga wowote
kutoka kwa wazazi wa Gervas na
kwa kujiamini niliweza kuiona
mikono ya Gervas ikinipapasa katika mkono wangu mmoja kwa
kuteleza nikibaki namtolea jicho
la aibu kisha akashika ile dripu
huku akiugusa kwa kuupapasa
ule mrija wa kupitishia damu na
kuanza kutoa mchozi huku akiniangalia kwa huruma,Haraka
pale nikashtuka kwa msisimko
uliokuwa unaendelea kisha
Nikabadilisha mada kwani afande
Deus alikuwa akinitolea macho
sana... "Vipi mmeshayamaliza huko
Polisi..,
Kabla hajanijibu Gervas
nikamwona Nesi ameshawasili
kwenye wodi niliyolazwa na
kuwafukuza watu lakini sura ya huyu Nesi haikuwa ngeni machoni
mwangu ila sikuweza kuwa na
kumbukumbu vizuri kutokana na
fahamu kutonirudia vizuri na kwa
haraka...
"Jamani wapendwa mda wa kuona wagonjwa umeisha...,
Tunawaomba muondoke sasa ni
zamu ya daktari kuja kumtibia
mgonjwa wenu.."
Iliongea kwa ukali tena mara mbili
mbili ile sauti ya Nesi wa zamu aliokuwa amevalia mavazi rangi ya
machungwa.,
"Levina..,Ugua pole, Jioni tutakuja
tena kukutembelea na kukuletea
chakula..."
"Haya...,Ahsanteni" Nikawajibu wazazi wa Gervas na
afande Deus kwa sauti ya upole
kwani hata na sauti yangu
ilishindwa kabisa kutoka..
kisha hao wakaondoka huku
Mama akiwatoa nje na kuniahidi kuwa kesho asubuhi watakuja
tena kunitembelea..
* * * *

Mpaka kufika saa Kumi na Mbili
jioni hakuna mtu yoyote aliyekuja
kututembelea hivyo Mama
alinilazimisha kula chakula (mtori)
kile cha mchana nilichokuwa
nimewekewa katika hotpoti nikala na kupumzika,
Sikuweza kupata usingizi
kabisa,sauti tulivu za ndege kwa
mbaaali na mlio wa maji ya bahari
niliyokuwa naiskia kutoka nje ya
hii hospitali ya 'Ocean Road' ndo kati ya vitu vilivyochochea hisia
zangu za mimi kuanza kupata
usingizi taaaaratibu,
Hata hivyo ilipotimia saa saba za
usiku usingizi ulikuwa tayari
umeshaanza kunipitia huku Mama yangu akiwa amejiegesha
upande wa pembeni yangu
akiniangalia kwa msaada,
Kitanda cha pembeni yangu
kulikuwa na mgonjwa aliyekuwa
analia sana huku akihitaji msaada wa Nesi,Punde yule Nesi aliwasili
na ni yule niliyemwona mchana
na ndiye aliyewaondoa kwa mara
mwisho wakina Gervas hapa
hospitalini,
"Nimeshamkumbuka huyu mshenzi...! Nilishaweka ahadi na
kuapa lazima nimteketeze huyu
mtu...!"
Hasira zilinijaa sana kwani
sikuamini kuwa huyu Mama
atakuwa Nesi? "Ina maana siku zote ni Nesi..?
Mungu wangu nani aliyempa
kazi...?"
Ni kati ya maswali yaliyonishtua
baada ya fahamu kunirudia vizur
na kugundua kuwa huyu alikuwa ni yule Mama aliyenifanya mpaka
nimekuwa hivi,yule ambaye
nilikuwa namuota ovyo kwenye
matukio mojawapo lile la
kumnyonga na mtandio,na hata
juzi nilivyoenda kumpokea Gervas tulipanda naye dalalada japo
sikumgundua vizuri mpaka
alipovua baibui yake tena kwa
mbali ndo nikawa nimemgundua..
Kila nikimwangalia pembeni
yangu ndivyo hasira ilinizidi kuninyemelea akilini mwangu
kwakuwa nilikuwa sina nguvu
tena upande mmoja kwa kupooza
nilijikuta naropoka kwa sauti ya
chinichini bila yeye kusikia..
"Unabahati sana nimepooza...kwani ilikuwa ni
safari yako sa hivi..."
Kisha nikajiegemeza taratibu
kutafuta tena usingizi,
Baada kama ya nusu saa usingizi
ukawa umenipitia na kilichokuja kunishtua ni Mkojo uliokuwa
umenibana ukiambatana na haja
kubwa pia nilikuwa najisikia
kizungu zungu sana huku
kichefuchefu kikinishika niliweza
kumwamsha Mama na kumuelezea ikabidi amuite Nesi....,
Alitoka na kwenda mbio na
kumuita Nesi, Punde akarudi
naye,
"Hata kama naumwa....,lazima
nikumalize..., Mmbeya mkubwa wee...!"
Niliongea taratibu na kuachia
fyonyo kali huku nikimwacha yule
Nesi pamoja na Mama wakishtuka
na kushangaa wasielewe
imekuwaje pale, kilichofuatwa yule Nesi
alichukuwa kibaiskeli cha
kupakizia wagonjwa na
kunichukuwa tukatoka wote kwa
pamoja na Mama lakini tulipofika
mlango wa chooni nilimsikia yule Nesi akimwambia kitu Mama...
"Mama...! Mama....! wewe
usisumbuke huyu wacha niingie
naye nimhudumie mimi tu..!"
"Hapana Mama twende wote...!"
"Levina acha ubishi..! Hata huyo atakusaidia tu kama mimi..!"
Nilimbishia Mama kwani niliamini
kabisa yule Nesi tayari alikuwa ni
adui yangu na anaweza
kunidhuru...
Basi tukaingia chooni kisha yule Nesi akafunga mlango kwa ndani
kwa kutumia ufunguo huku
tukimuacha Mama nje
akitusubiria..
"We muuaji upo..? !...Umetoka
gerezani lini..?" Alianza kuongea kwa dharau
huku akinibenulia mdomo wake
lakini mimi
Nilikaa kimya huku nikimwangalia
yule Nesi akichomoa dripu ili
aweze kuniinamisha choöni niweze kujisaidia..
".....Kama uko gerezani
walikuacha leo mi sikuachi......!"
"....kwani nimefanyaje...?"
"..Ssshhhh...! We si Levina yule
muuaji aliyewekwa gerezani miaka kama sita au saba iliyopita...?"
"Aaaahhh....! Aaaaaahh....!
Si...o..o..o.. mi..m..i.."
Nilimjibu kwa kujiuma uma kisha
nikashangaa kitendo
kilichofanyika pale kwani alichukuwa kichwa changu
akaniinamisha kwenye tundu la
choo tena kile choo cha kuflashi
kwa mda mrefu..,
Nilishindwa kuongea chochote
kwani sura yote ilikuwa imeinama kwenye tundu la choo, sikuwa na
nguvu kwani upande wangu
mmoja ulikuwa umeshapooza,kwa
lile tukio nilijikuta natoa haja
kubwa na ndogo papo hapo...
"Nyoooooo...! Ushajinyea enhh..? Maana harufu ya kinyesi chako
kishaanza kunuka tena
sanaaaaaa.."
Aliongea kwa sauti ya chini chini
ambayo mtu yeyote hawezi
kuisikia kisha akanivua nguo yangu ya ndani ambayo ilikuwa
tayari na kinyesi na kuitupia
kwenye tundu la chooni likawa
limetapakaa kile kinyesi changu
kisha kabla hajaflashi akinikamata
shingo tena kwa nguvu na kuniinamisha tena kwa mara ya
pili chooni, maskini Levina mimi
nilijikuta nakutana na kinyesi
changu,huku nikikosa pumzi
nilijikuta naachia mdomo wazi
hivyo mdomo wangu ukakutana na kinyesi changu
mwenyewe,nilikuwa sina jinsi zaidi
ya kujikuta nikikimeza,
Alinifanya atakavyo kisha akaflashi
kile choo huku kichwa changu
kikiwa bado mule ndani ya choo,nilitapika sana,maskio
yaliziba kwa mda na macho
yakawa kama kipofu kwani
sikuweza tena kuona mbele kwa
mda ule zaidi ya kuhisi bado
nimekabwa shingoni.., ".....Bado hujafa tu....!"
"Utakufa wewe......! sio mimi....!"
Nilimjibu kwa hasira ya hali ya juu
huku nikizidi kumchochea na
kumjaza hasira tena yule Nesi
akiendelea kunitolea mimacho.. "..Unajifanya mbishi
enh...? ...Hapa nakutoa maiti tu
nampa Mama yako akakuzike
muuaji mkubwa wee..."
Ghafla nikamshuhudia yule Nesi
akiingiza mkono kwenye mfuko wa gauni lake na kuchomoa vile
Visu vidogo vikali vya kufanyia
operesheni na kuanza kukata
kata mirija ya ile dripu ikaanza
kuvuja kisha akaniangalia usoni....
"Embu niambie wewe Muuaji nikuanze wapi...? Halafu uanze
kusali sala zako za mwisho
hapahapa...!"
"Tuuuhhh.....! Tuuuuhh...!
Nikamtemea mate usoni mwake
kwani nilikuwa sina nguvu za kumpiga, akakasiria na kunitoa
kwenye kile kigari..
"Haya simama tupigane sasa...!
Simama wewee..!"
Alinitoa kwenye kigari akinitaka
nisimame,sikuweza kusimama kwakuwa nilipooza upande
mmoja hivyo nikadondoka moja
kwa moja mpaka chini huku
nikiwa uchi wa mnyama..
Alichoanza kukifanya ni
kuchukuwa miguu yangu miwili na kuitanua,kisha akiwa kashikilia
viwembe vyake tayari alikuwa
amenishika matiti yangu na
kutaka kuyakatakata..,
Akiwa anataka kunikatakata na
vile viwembe mara Mama akaanza kugongo hodi kwa nje..
"Nesi...! Nesi...! Nesi...!Bado
hamjamaliza tu..! Levina....!
Levina...! Levina....! Mwanangu...!"
Nilitamani niitike lakini tayari vile
viwembe vilikuwa mdomoni mwangu.,
"Ole wako uitike...! Nakuchana
chana sasa hivi..!"
"..Namvalisha Mama tunatoka
sasa hivi...!"
Aliongea kinafki yule Nesi huku akinivalisha haraka haraka kisha
vile viwembe akavitupa kwenye
tundu la choo naku flashi..
Alinitoa pale nikiwa sijielewi ila
ninachoweza ni kutoa macho na
kusikia sauti kwa mbaaali sana, huku yule Nesi akinikokota na
Mama mpaka wodi yangu
wakanilaza,
Baada ya mda kidogo nikaanza
kusikia sauti kwa mbali ya
minong'ono nilihisi tu atakuwa ni Mama na Nesi wakizungumza..
"Yani Mama..Mtoto wako
alinisumbua sana kule chooni..!,
haswa pale alipohtaji kujisaidia
kwani ilikuwa ndo mara yake ya
kwanza ndo mana tukawa tumechelewa kutoka..!"
"Usijali mwanangu...asante kwa
msaada wako Mungu
atakubariki...kaendelee na kazi
tu...!"
Nilitamani niropoke pale pale lakini sikuweza kumuonesha wazi
Mama kama namchukia sana
huyu Nesi pia kwa vitendo
alivyonifanyia..
Sikuweza kupata usingizi kabisa
zaidi ya kutoa macho mpaka alfajiri kulipopambazuka na
kumshuhudia Gervas akiwa mtu
wa kwanza akiingia pale wodini..
"Shikamoo Mama..!"
"Marahaba mwanangu Mama na
Baba umewaacha wazima..?" "Wazima tu Mama"
Taratibu Gervas akaweka ule
mfuko aliokuja nao ukiwa na
chupa ya chai na ki hotpoti
kidogo japo sikujua ndani yake
kunanini..,kisha Gervas akanisogelea kitandani na
kuongea na mimi huku akitokwa
na machozi..
"vipi unajiskiaje Levina toka
tulipokuacha...!"
Sikuweza kumjibu kwani sauti ilikauka nikabaki machozi
yakinichururuzika mithili ya maji
ya sabuni yakiteleza mwilini,
"Levina...! Levina....! Naomba japo
nisikie sauti yako jamani...!"
Nilipenda sana nimuitikie Gervas nakuongea naye lakini
ilishindikana kwani kitendo
alichokuwa amenifanyia yule nesi
kilinifanya nishindwe kufanya
lolote., * * * *
~ NYUMBANI KWA KINA GERVAS
~

Wazazi wa Gervas hawakulala
walifanya juu chini kuhakikisha
Gervas anaondoka, mchana wa
jana yake uleule waliotoka
hospitalini walianza kufanya
mipango na watu wa uhamiaji kwa ajili ya kumhangaikia pasipoti
yeye Gervas na Baba
yake,kwahiyo leo watachukuwa
pasipoti zao na ndani ya siku mbili
watakuwa wameshapata Viza ya
kuingia Marekani.. Gervas alijitahidi sana kufanya kila
liwezekanalo awe amemuweka
Levina wazi lakini haikuwezekana
kutokana na hali aliyomkuta nayo
Levina..

~ HOSPITALI ~

Kweli hujafa hujaumbika mpaka
leo siku ya pili na sasa hivi jua
linaelekea kuzama hakuna hata
ndugu yeyote aliyekuja
kunitembelea zaidi ya Gervas na
Mke wa Afande Deus kuja kuniletea chakula,Nilijiona tangu
matatizo yangu ya jela ukiongezea
na haya yamenifanya nitengwe na
ndugu mpaka baadhi ya Majirani..
"Kwanini ni mimi na mama yangu
tu....! Kwanini wanatunyanyapaa kama wagonjwa wa ukimwi....?"
Hayo maswali niliojiuliza
yalinifanya hata nishindwe kupata
chakula kwani hasira iliniongezeka
maradufu na kubaki namuangalia
Mama huku mchozi ukinidondoka taratibu..
"Kula basi mwanangu upate
nguvu....!"
Niliitikia kwa kutikisa kichwa
nikimaanisha siwezi kula kwa mda
ule lakini alinielewa... "Kunywa basi angalau uji wa ulezi
umechanganywa na maziwa ni
mtamu sana mwanangu....!"
Nilikubali aninyweshe ule
uji,nilikunywa japo taratibu
sana..,mara nikatapika uji wote..,niliumia sana kwani
Nilimuona yule Nesi mbaya
wangu na ndio aliyenifanya
nitapike,haraka haraka akaja...
"Ooohh...! Pole mgonjwa enhh...!
Mama embu lete huo uji nimmnyweshe mwenyewe...!"
"Chukuwa mwanangu labda
wewe kwakuwa Nesi atakubali
kunywa bila hata kutapika....!"
Kila nilipotingisha kichwa
nikionesha kukataa Mama hakunielewa,akamkabidhi yule
Nesi kibakuli cha uji kikiwa na
kijiko aninyweshe...
"Nesi...! Nesi...! Ngoja niende
uwani nikajisaidie,nakuomba
uendelee kumlisha huyu... "....Usijali Mama....! Haya Levina
kunywa uji basi...!"
Nilijikuta nakunywa ghafla
nikamtapikia yule Nesi kwa
makusudi huku akibaki kakunja
sura yake.... "Unajifanya mjanja siyo....?"
Akaingia kwenye mfuko wa gauni
lake na kuchomoa sindano kisha
nikamuona akiichanganya kwenye
kichupa kidogo...
Nilikuwa niko tayari kwa lolote,sikuweza kufanya chochote
huku nikibaki nguvu zikizidi
kuniishia...
"Haya chagua sasa nikuchome
wapi wewe muuaji...!"
Nilibaki kimya,mara nikasikia sauti...
"Nichome mimi tafadhali..!"
Alidakia yule mgonjwa aliyekuwa
amelazwa pembeni yangu na yeye
hakuwa na msaidizi nadhani
alikuwa katoka au hayupo kabisa, lakini sikujua kwanini amesema
vile...
"Huyo hana hatia...njoo kwangu
unichome nife...! Njoo...! Njoo...!"
Kabla hajamalizia kusema
nilishuhudia yule Nesi akimrukia yule mgonjwa na kumchoma
sindano ya shingoni halafu
akamfunika mpaka usoni...

* * * * *
Haikuchukuwa mda mrefu Mama
akawa amerejea pale huku
akimkuta yule Nesi anajiandaa
kwa ajili ya kuondoka,
"Mgonjwa wako mwenyewe
kagoma kunywa uji...!" Akiwa anageuza na kuondoka
zake yule Nesi mara...
"Nesi...! Nesi..! Nesi...!
...Samahani msaada pale kwenye
kile kitanda yule mgonjwa pale
anaonekana anatapatapa pliz kamsaidie Nesi....!"
Haraka haraka yule Nesi
akamfata na kumshika kifuani
kisha akafunika mwili wote..
"Hatunaye tena...! Mungu ailaze
roho yake mahali pema peponi Amina...!"
Aliongea yule Nesi huku akikimbia
eneo lakutokea na baada ya mda
nikamwona akirejea na wenzake
huku wakibeba kitanda cha
kubebea maiti wakaichukuwa ile maiti na kuondoka nayo...
"Maskini mimi Levina...ilikuwa
mimi ndo nife..!"
Nilijisemea kimoyomoyo huku
nikimwangalia mama yangu
akimwaga mchozi kwa kumlilia yule mtu aliyekufa...
Niliogopa sana ilipofika usiku tena
kila nikijifikiria kuhusiana na yule
Nesi kwa jinsi alivyomkatili,
Hatimaye usiku ukawa,kwa kuhisi
ingeweza kuwa imeshafika kwenye saa Nne kwani mama
alianza kujikunyata kuashiria
ananisubiria nilale naye apate
japo kausingizi...
Nikiwa na mawazo tele huku
nikimuangalia Mama akiwa kachoka sana nami nilijikuta
napitiwa na usingizi.,kitu
kilichokuja tena kunishtua usiku
ule ni kama mtu niliyemhisi kama
ananyata,niliogopa sana na kila
nilipojitahidi kuvuta mkono wangu wa kulia japo Mama ashtuke
haikuwa hivyo kwani Mama
alikuwa amelala fofofo,yule mtu
alipofika karibu yangu
akaninong'oneza karibu na sikio
langu la kulia... "Nimekuja kukuua wewe...!"
"Hivi nimekufanya nini we
Mwanamke...?"
Kwa mara nyingine nilijikuta sauti
yangu imeweza kutoka..
Mara yule Nesi akavuta mto niliokuwa nimejiegemeza nao na
kuuchukuwa kisha akanifunika
usoni kwa nguvu akaniziba usoni
huku akinibana kwa nguvu zake
zote...
Nilijihisi vichomi mwili mzima vilivyoambatana na mafua ya
ghafla kutokana na kukosa
pumzi...Nilitapatapa japo upande
mmoja ndo ulikuwa
mzima,nilitumia upande wa kulia
ambao ulikuwa haujapooza,mpaka nikafanikiwa
kudondosha dripu ndipo Mama
akashtuka..,
"Vipi tena Nesi...!"
"Hapana Mama namsaidia
kumwekea dripu sawa kwani iliachia hivyo ikawa haitembei...!"
"...Ooohh Mungu wangu...!
Ahsante sana Nesi kwani nilipitiwa
na kausingizi kabisa,nisamehe kwa
hilo...!"
"...Usijali Mama na wala usiwe na wasiwasi nipo kwa ajili ya kazi
hiyo...!"
Maneno waliokuwa wanaongea
kati ya Mama na yule Nesi
hayakuniingia akilini hata kidogo
kwani baada ya Nesi tu kuondoka...
"Mama pliz...! Iwe isiwe..! Utake
usitake...! Nakuomba asubuhi
nirudi nyumbani hapa hakunifai
Mama...! Nitakufa Mama si kuzuri
hapa kabisaa Mama...!"

~ SAFARI YA NYUMBANI ~

Alfajiri na Mapema Mama
hakutaka kupoteza mda akafanya
njia zote nikakubaliwa kutoka
pale hospitali lakini ilinibidi nitoke
na kigari cha wagonjwa na
kwenda kumalizia kutibiwa nyumbani kwa kuwa nilikuwa
nimepooza tu pia kuwa na
gharama kubwa ambazo Mama
asingeziweza nazo zilichangia
mimi kutoka pale hospitali
haraka... Mama alikodi taxi yakutupeleka
nyumbani na kabla hatujaingia
maeneo ya nyumbani hofu ilianza
kunitanda na kila nikimwangalia
Mama naye alikuwa anatetemeka
huku akifungua pochi na kumlipa dereva teksi shilingi elfu kumi..,
"Mungu wangu nini tena hiki..."
"Kwani ni nini Mama..?"
"Levina....! Tumekwisha Levina....!
Tumekwisha mwanangu...! Na
hatuna mtetezi kwa hili tena...! .....Levina
Mwananguuuuuuuuuu....!" ************************ * * *

Je.,Levina na Mama yake
wamekutana na nini? * * * Levina anajua juu ya Mauaji
yaliyofanywa na Nesi, nini hatma
yake yule Nesi...?
Itaendelea Usiku
 
Ilipoishia....

"...Mungu wangu nini tena hiki..."
"Kwani ni nini Mama..?"
"Levina....! Tumekwisha Levina....!
Tumekwisha mwanangu...! Na
hatuna mtetezi kwa hili
tena...! .....Levina Mwananguuuuuuuuuu....!"
'
Endelea...
"Kwani ni nini Mama..?"
"Nyumba yetu imebomolewa
mwanangu...! Ona sasa yani sisi ni
watu wa mikosi tu kila siku...!
Uuuuwii..! Uuuuuuwiii..!Levina
tutaishi wapi tena Mwanangu..! Tutakuwa wageni wanani sisi...!
Uchungu aliokuwa nao Mama
ulinifanya na mimi niweze kutoa
sauti lakini Dereva wa ile teksi
alikuwa ameshatufikisha
nyumbani hivyo kazi kubwa ilikuwa ni kunipakiza kwenye
kibaiskeli cha wagonjwa
alichopewa Mama pale
hospitalini..,
Ndani ya sekunde chache nikawa
tayari mimeshashuswa na Mama ndio alikuwa akinikokota
kuelekea nyumbani ambapo
kulikuwa kumebomolewa vibaya...
Kadri tulivyojuwa tunapasogelea
nyumbani ndivyo akili na nguvu
nikawa sina...tulipofika tu Mama aliniacha ghafla kisha akakimbilia
ile sehemu kulipokuwa na kaburi
la Baba ile marumaru
iliyonakshiwa ikawa hamna
tena,vumbi tupu ndo lilitawala
eneo lile, Mara Mama akajilaza pale na kuanza kutapatapa pale...
"Ni nani aliyefanya hiivi....!
Mamaaa.....! mamaaaa....! jamani
nakufaaaaa....! aiiyaaaa...!
uuuuuh....!
Nilijikuta nadondoka pale kutoka kwenye kibaiskeli na kuanza na
mimi kutapata tapa tena kwa
upande ule uliokuwa
umepooza,sikujihisi maumivu kwa
mda ule... Nililia sana huku
nywele zikinivurugika kwa kuchafuka na vumbi la pale
chini..,Majirani walijitahidi japo
kutuzuia lakini ilishindikana..,
Mama akanivuta mkono kwa
kuniburuza huku tukielekea
sehemu kulipokuwa na kile kibaiskeli lakini kabla hatujafika
pale ghafla
nilishangaa Mama akiniacha na
kukimbia ndani kwenye ile
nyumba yetu iliyokuwa
haitamaniki kwa matofali yaliobaki bila kuwa na mpangilio,nyufa tu
ndo zilikuwa zikionekana huku
paa likiwa kama linataka
kupepea..Akili na macho yangu
yalikuwa kwa Mama nimuone
amekimbilia nini mule.,nilijitahdi japo nitambae upande upande
lakini haikuwezekana hivyo
nikabaki natoa macho,nikamuona
mama alipofika kwenye mlango
akafungua pindo ya kanga yake
haraka haraka na kuchomoa ufunguo kisha akafungua mlango
mara nikashangaa akinikimbilia
eneo nililopo...
"Pole mwanangu kwa kukuacha
Mwenyewe....!"
"Usijali Mama nipo pamoja nawe...!"
"Nimechanganyikiwa mwanangu
usinione hivi...!"
Akanipakiza kwenye kibaiskeli
tayari kwa kuingia
ndani.,nilisikitika hatukuwa na sebule tena zaidi ya vyumba viwili
vilivyokuwa vimesalia,sikuweza
kuona hata kijiko wala sahani
mule ndani kwani hata upande
wa jikoni sikuweza kuutambua
vizuri wala upande wa kutokea na kuingilia.. * * * * Kumbe Kipindi chote ambacho
afande Deus hakuonekana
hospitali alikuwa akitetea nyumba
yetu isiweze kubomolewa,
alijitahidi sana lakini ramani ndo
ilikuwa lazima ibomolewe hivyo wakabomoa vyumba
viwili,choo,jiko na sebule
nakutuachia vyumba viwili
tu..usiku wa siku ile tuliowasili
nyumbani ndiyo Afande Deus
alikuja kutupa taarifa juu ya bomoa bomoa na ilikuwa tena
kilio kwangu na mama.,
Ilipotimia asubuh nayo sikuweza
kumuona tena Gervas zaidi ya
kuja kuletewa taarifa na Mama
yake kuwa ameshasafiri kama ilivyopangwa ili kulinda usalama
wangu..
Nikawa kama mtu aliyepigwa
ganzi nakusubiria iishe mwilini
apate maumivu..
"Kwanini nateseka hivi..?nani wa kulaumiwa...?" Levina mimi
mkosaji nisiye na hatia ndo
nilikuwa nimeketi kwenye
kibaiskeli cha wagonjwa chumbani
huku nikiwa na mawazo
yaliochanganyikana na maswali yasiyo na majibu.,
"Lakiiiini...! Kwanini Gervas
hakuniaga.....?"
Niliumia moyo sana lakini haikuwa
na jinsi zaidi ya kuwa na subira na
kuamini iko siku nitamwona tena japokuwa sikupata kabisa nafasi
ya kukaa na Gervas.. ~ BAADA YA MIEZI 4 ~ Maisha kwetu yakawa ni ya
kimaskini sana huku msaada
mkubwa kwetu tukiuelekeza kwa
Afande Deus,na mara moja moja
tulikuwa tukipata msaada kwa
wazazi wa Gervas kwani Mama hakuwa na kazi yeyote
yakumuingizia kipato,Mazoezi ya
kusimama peke yangu ambayo
nilikuwa napewa na Mama
yalionesha matumaini makubwa
kwangu kwani niliamini mda si mrefu nami nitaanza kutembea
kama wengine..,nilipungua sana
hata na Mama pia.
"Levina mwanangu..!"
"Abee Mama..!"
"Leo nimechoka embu jaribu kutembea na kibaiskeli
mwenyewe..., Utaweza tu
mwanangu.....!"
Ni kweli ilifika kipindi Mama
akawa anachoka lakini kwa sasa
nilikuwa ninauwezo wa kusimama peke yangu huku nikitembea kwa
mtindo wa kukikokota kile
kibaiskeli taratibu huku
nikitembea kwa mwendo mrefu
kidogo na kurudi nyumbani.,
Ilipofika usiku wa kama saa tano nikiwa na kauchovu kidogo kwa
kuzunguka mda mrefu,Mama
alikuwa ameshalala ghafla
nikasikia sauti za watu nje zikipiga
kelele,mwanzoni nilipuuzia lakini
kadri nilivyotulia bado ile sauti ilizidi kupaza kwenye masikio
yangu ikitokea kule nje..,
Nikafungua pazia na kutoa jicho
taaratibu kujua ni kitu
gani..,sikuweza kuambulia kitu
zaidi ya kuona watu wa mtaani wakiwa wake kwa waume
wakimshambulia mtu kwa matusi
na wengine wakimpiga kwa mawe
na fimbo..,nilipuuzia kwani sikuwa
nawafahamu pale mtaani zaidi ya
jirani yetu tu ambaye ni wazazi wa Gervas..
Nikiwa bado naangaza vizuri mara
nikaliona gari la Afande deus
lakini nilishangaa kuliona limepaki
pale..
"Mmmhh.....! Atakuwa ni yeye kweli..?"
Nilijikuta naguna mwenyewe na
kujiuliza bila ya majibu., haraka
haraka bila hata ya kumwamsha
Mama nikafungua mlango
taaratibu huku nikiwa na kibaiskeli changu nikajikokota
mpaka nje kushuhudia ni nini..
"Samahani anti...!"
"bila samahani..!"
"Eti pale kuna nini usiku huu...!"
"kuna kijiaskari kimoja huwa kinajifanya kimbeya na pia huwa
kinatabia za kuchukuwa wake za
watu..,sasa leo wamekikomesha
na lazima kife pale...!"
"samahani tena...! ......unaweza
labda ukawa unamjua jina lake....?"
"Heee....! We dada vipi au na we
alikuwa mpenzi wako....? Haya
gari yake anayoendeshaga ile
palee wanaiponda ponda...!
Nenda kamsaidie..!" Alinijibu kwa nyodo mpaka
nikajuta kwanini nilimuuliza...
Nikaondoka na kumwacha pale
akiendelea kubwatuka..,
"Looo..! Kamezidi sana kwa wake
za watu leo atakoma lazima aisome namba...!
Sikuwa na hamu tena ya
kumsikiliza yule dada
niliyomuuliza,hapohapo
halmashauri yangu ya kichwa
ikafanya kazi fasta na kugundua lile ni gari la Afande Deus lakini
nani atakuwa alikuwa
anaendesha..?
Nikaanza kukaribia lile eneo
latukio huku nikiendesha
kibaiskeli changu kwa kutumia mkono mmoja ule wa kulia
uliokuwa mzima..,kadri
nilivyokaribia moyo ulizidi
kunipasuka na kwenda mbio.,kila
nikilitazama gari lililokuwa
likipondwa linafanana kabisa na la Afande Deus..,
"Nilipolisogelea lile gari kweli
lilikuwa la Afande Deus nilianza
kuhisi ugonjwa unaanza tena
kwani kwa sasa mwili wote
ulikuwa haufanyi kazi.. "Mamaaa...mama uko wapi
mamaa....! Afande Deus
wanamuua huku..!
Nililia kwa uchungu na kwa sauti
kali iliyowafanya wale watu
waache kumpiga yule mtu na kuniangalia..kuangalia nyuma
yangu mama alikuwa anakuja kwa
kunikimbilia nikatumia mwanya
huohuo wa mimi na kibaiskeli
changu kuudondokea ule mwili
wa yule mtu aliyekuwa akipigwa pale chini..
"Niueni mimi..! Kwanini
mnampiga...? Kawafanya nini..?"
Yale maneno yalichochea hisia za
wale watu waliokuwa na hasira
kali, wakaendeleza kipigo kwangu bila ya kujali naumwa..
"nakufaaa....! nakufaaa..!
uuuhh...! uuuh...! niueni..!
niueni...! Nimalizieni nife..!"
~HOSPITALI TENA~ Mwili wangu ulikuwa tayari
umeshajaa plasta kwa kipigo
nilichokipata, ni wazazi wa Gervas
ndo walionileta wakisaidiana na
Mama, nilivimba sana haswaa
maeneo ya usoni, sasa idadi ya dawa za kumeza zilizokuwa
zinatuliza maumivu zilizidi mara
tatu yake..,
"Mama kwani Afande Deus
alikufa..?"
"....Mwanangu...!ntakuelezea tukifika nyumbani..!"
Japokuwa niliumia siyo
sana,wazazi wa Gervas
wakishilikiana na Mama
walipendekeza niendelee kutibiwa
nyumbani tu.. Akili na hofu kubwa ilikuwa ni
kwa afande Deus.,
"Jamani hivi ninamikosi
gani..? .....Isikute naenda
kushuhudia kaburi..?"
Nilijiuliza kimoyo moyo huku nikiwa sijui nini kinachoendelea
kuhusiana na Afande Deus, * * * * Ndani ya lisaa nikiwa mimi na
wazazi wa Gervas tayari tulikuwa
nyumbani kwetu wakitushusha na
kuelekea kwao huku nikiona
Mama wakimpatia pesa kidogo..
"Levina..! Ugua pole na kuwa mwangalifu mama eenh....!"
"Haya..!,Ahsanteni sana..!"
Niliwaitikia tu ilimradi waondoke
kwani alichoongea kilipitia upande
huu nakutokea upande ule..,hao
tukaingia ndani huku nikikokotwa kwenye kibaiskeli cha wagonjwa
nikiwa na shauku kubwa ya
kutaka kujua kilichotokea jana
yake..
"Enhee Mama niambie basi
imekuwaje..? Au..nayeye Afande Deus mlimkimbiza hospitali..?"
"Hapana mwanangu yule hakuwa
Afande Deusi tunayemjua...?"
"...Niiiini..? Alikuwa nani sasa...?
Mama acha kunificha mi namjua
Afande Deus ni yeye mwenyewe alikuwa...?"
"Hapana Levina.....!"
"Ni yeye Mama....!"
"Hapaaaaaaaaaana....!"
Kwa mara ya kwanza
nilimshuhudia Mama akikasirika na kunijia juu kwani baadaye
alikuja kuniweka wazi nikaamini.,
Aliniambia kuwa lile gari la usiku
lililokuwa likipondwa pondwa ni
kweli la Afande Deus na kwa
usiku ule Afande Deus alikuwa amekamatwa na kutekwa na
majambazi na hajulikani aliko
mpaka sasa na inasemekana
kuwa hata wakati Mama
alipompigia simu Afande Deus
jana usiku hakuipokea yeye bali walipokea polisi wa zamu
waliofanikiwa kumkamata Mama
mmoja akiwa na mtoto mmoja
aliyetambulika kama 'Mama Ali'
pamoja na simu ya Afande
Deus..,na uchunguzi unaendelea juu ya kumpata Afande Deus
aliko..,
"Umesikia Mwanangu..? Hata
kama unajifanyia vijizoezi vyako
vya kutembea uwe makini
sana....!" "........Sawa Mama
nimekuelewa..!"
Nilimwitikia tu Mama huku
nikiamini kabisa kuwa akili yangu
haikuwa pale kwani nilijiuliza sana
huyo Mama Ali lazima atakuwa amenitaja tu.,halafu wakinipata na
sina cha shahidi wala mtetezi
itakuwaje..?
Kila nikimfikiria Afande Deus kwa
jinsi anavyotusaidia hapa
nyumbani ndo kwanza nachanganyikiwa kabisaa.., * * * * Taarifa juu ya kuokotwa
Kwa maiti kwenye daraja la
sarenda ziliwafikia polisi haraka
wakaenda kulithibitisha hilo na
kuliwakilisha panapohusika, maiti
iliweza kutambulika kirahisi kutokana na kufahamika kwake
kwa mapolisi wenzake..
Vilio vingi vilitawala nyumbani kwa
Afande Deus.,Tukiwa kama watu
wakaribu na marehemu kwa
kushirikiana na Mama Deus tulikuwa tayari tumetinga mavazi
yetu meusi na sasa ilikuwa mda
wa kutupia mchanga...Nikiwa
kwenye kibaiskeli changu huku
nikishikwa na watu niliweza
kuvumilia kwa mda kidogo tu... "Baaaaba...! Kweli umeniacha...?
Ntaenda tena wapi Baaaba....?"
Nikachotewa mchanga tayari kwa
kuuchukua kidogo na kuutupia
kwenye kaburi...
"Baaaaba..! Kweli umekwendaaaa....? Baba Deus....!
kwanini....? Nani aliyekuuuua....?" ~ BAADA YA MIEZI 3 ~ Siku zilizidi kukatika nilianza
kumsahau Afande Deus maishani
mwangu, ila kitu ambacho
kinaniuma mpaka leo hii ni
Gervas.,Hakuna hata siku
niliyoambiwa na Mama yake kama amepiga simu au
amenisalimia...!
"Yani kweli miezi saba yote hiyo
hata barua..? Au alikuwa
hanipendi kuniona na sasa yuko
mbali na mimi ndo kanyamaza kabisaaa...?
Laaaaaakini asije akawa na demu
mwingine anayemchanganya..?"
Nilikuwa najiuliza peke yangu na
kujijibu huku nikimpikia Mama
chakula kwani Levina mimi si Levina yule uliokuwa ukimjua
tena.., Mazoezi yalinisaidia saana
japokuwa sikuwa nimepooza
upande mkubwa,
Tofauti n kipindi kile sasa nikawa
levina mpya asiyetembea na kibaiskeli cha wagonjwa..,
Kupitia vyama vyao vya kusaidiana
sasa Mama akapata kamkopo
kalichomfanya afungue kagenge
kadogo kwa ajili ya mimi na yeye
kujikimu na maisha kwani hakukuwa na msaada mwingine
tena maishan..,
Inaendelea
 
***********
Sikuwahi kutembea na
mwanaume yoyote maishani
mwangu zaidi ya kuambulia
kubakwa mara mbili,Moja nikiwa
kule gerezani na mara nyingine
nikiwa Morogoro nyumbani kwa marehemu 'Baba Ali'..
Nilipenda sana siku moja Gervas
aje kuwa Mme wangu wa ndoa
kutokana na yeye kuwa kimya
nikawa tayari nimeshakata tamaa..
Kunakipindi Mama aliugua sana kwani alikuwa akisumbuliwa na
kisukari nilipata shida sana
kumuuguza kwani hela ya
kumtibia ilikuwa shida na sikuwa
na elimu yoyote zaidi ya kuishia
kidato cha kwanza tena Mwanzoni kabisa na ndicho
kipindi nilichowekwa gerezani,
kutokana na ugumu wa maisha
na kuugua sana kwa Mama,
genge likafilisika kutokana na
kutokuwa na sehemu nyingine ya kutuingizia kipato,
Tangu Mama alipoanza kuugua
wazazi wa Gervas wakatutenga
hakuna cha msaada tena.. * * * * "....Sema kaka....?"
"....Unaniambiaje sasa...?"
"...wewe tu...,Kulala elfu kumi cha
fasta fasta buku tano...!"
Ndiyo ilikuwa lugha yangu ya
kazini, kwani ukinikuta mawindoni mida ya usiku huwezi amini.,
Kwanza kabisa jina la Levina
nilikuwa nikilitumia mchana tu,na
usiku naitwa 'Vina', Mwili ulikuwa
umenirudi japo si sana,ila makalio
yangu bado yalikuwa ni makubwa na chuchu zilikuwa ndogo sana..
"...Sikulazimishi kakaaa kama
umeshindwa hapa...! Nenda kwa
wengine wasiojua kukatikia
sawa....?"
Ni kati ya maneno yaliokuwa yakiwachanganya sana
wanaume..,na kujikuta
wakining'ang'ania, kutokana na
kuanza kuishi kwa uafadhali
kulimfanya Mama asifanye jambo
lolote na kutokana na kuniunga mkono juu ya kujiuza mwili
kulinifanya nitembee na wanaume
huku wengine waume za watu
haijalishi ni mchana au usiku we
twende tu..
Ndani ya Mwezi tu mtaa mzima ukawa umeshajua kazi
yangu,kutembea na wanaume sita
hadi nane kwa siku lilikuwa ni
jambo dogo sana kwangu..
Siku moja nikiwa mawindoni
usiku.. "...Oyaaa...Sista vipi
kinaeleweka..?"
"Vipi fasta fasta au kulala..?"
"Aaaah Vina..... Leo unataka
kunibania enhh...? Mi wa kulala
bhanaa vipi..!" Aliongea kijana Mmoja mnene hivi
japo sikumtambua kwani nina
wateja wengi ila nilijikuta
namkubalia kwenda kulala kwa
tamaa ya pesa...
"Tulipane kabisaa.., nipe changu mapemaaaaa....!"
Hakuwa mtata hata kidogo yule
jamaa akatoa burungutu la pesa
na kuchomoa noti ya shilingi elfu
kumi na kunipatia..
"Jammy...Nishkie kesho ntakuja kuchukuwa kwako.."
Kwa kawaida huwa nikipata
wateja wa kulala nao sipendi
kutembea na hela hivyo Jamila
alikuwa rafiki yangu
anayenichukulia pesa na mara nyingi...
Nikiwa nimevalia kimini kifupi
kilichoachia mapaja yangu wazi
huku ndani nikiwa mtupu kabisa
kutokana na biashara zetu
zinavyoruhusu..Tayari tukawa tumeshaelewana na yule
Jamaa,nikawa ndani ya gari lake
kuelekea hotelini au gesti yeyote
kwa ajili ya kumpatia anachotaka
huku akiendesha gari pia simu
yake ikiita mara kwa mara naye akikata..
Hapakuwa mbali sana kwani
ndani ya mda mfupi tayari
alikuwa akiipaki gari kwenye hotel
niliyokuwa sihifahamu
vizuri..akacheki simu yake pale.. Kama kawaida yangu huwa
sipendi kuchelewesha mda
tulipoingia chumbani tu..
"....Chooni wapi....?"
"Ingia humo....!"
Nikachukuwa taulo la pale hotelini, nikachukuwa na pochi
kisha nikaingia bafuni.,
Nilijisafisha vizuri kwani tayari
mteja nilimuona ana hela ya
kutosha tangu alipochomoa
burungutu la hela na kunipa elfu kumi kwahiyo ni kumpa mavitu
mpaka mwenyewe aniongezee
hela zaidi..
Nikajifungia mule chooni na
kuchomoa sabuni yangu ya
'DETTOIL' nikachanganya na cream ya 'SPOT' ni kati ya vitu
vinavyonifanya maumbile yangu
ya ndani yanakuwa madogo
(samahani sana msomaji kama
utakerwa na mimi,nisameheni
sana kwa hapa.) Nikatoka huku sina hata lile taulo
na kujitupa kitandani..
"Vipi unaenda kuoga au.."
"....Hapana nipe kwanza cha fasta
nikaoge....!"
Tukaingia pale kitandani na kumpatia
anachokihitaji,nilimchanganya
sana kwa viuno nilivyomkatikia
"....Inaatoshaa....! Inaatoshaaa....!
Wacha nikaoge kwanza..."
Akatoka spidi na kwenda kujimwagia maji huku akiniacha
nimeduwaa pale
kitandani...Nikainuka kwenda
kuzima taa lakini kabla sijaifikia
kibonyezeo cha kuzimia taa
suruali ya yule mtu ikadondoka kutoka pale karibu na kakabati
spesho kwa kuweka nguo,
ikanibidi niikote nakuirudishia
ndipo nizime taa..
Ile nainua tu suruali nakutana na
picha imedondoka ikimuonesha Afande Deus akiwa enzi zake
akiwa hai.,
Hofu ikanitanda nikaona ntakuwa
nimemfananisha wazo likanijia
kutafuta mifukoni,kwa haraka
zaidi kabla hajatoka nikakutana na nyingine Nne zikiwa
zinamuonesha Afande Deus akiwa
ametekwa na kufungwa mdomo
kwa plasta huku macho yakiwa
yamejaa damu nilihisi watakuwa
walimtoboa macho.., "Mungu wangu...! Kumbe niko na
muuaji..?"
Kwa haraka zaidi nikazichukuwa
zile picha na kuzifungasha pamoja
na nguo yangu ya ndani
niliokuwa nimeibadilisha mda ule.. Nikiwa namalizia kuweka zile
picha mara simu ya yule mtu
ikaingia ujumbe mfupi
(meseji) ,haraka haraka kabla
hajatoka bafuni nikaichukuwa na
kuisoma.. "UMESEMA JINA LAKE ANAITWA
LEVINA? NAKUAMINIA FANYA
JUU CHINI TUMUWEKE
HATIANI,SI UNAJUA NI MDA
MREFU TUMEMSAKA?"
Ile namalizia kusoma nikaiweka ile simu haraka haraka na yule
jamaa akawa ndo anatoka bafuni
hivyo nikabaki sina tena ujanja
wowote wa kukimbia zaidi ya
kukubali kulala,
Nikawa namtaimu apate usingizi tu nisepe,haijapita mda akawa
amepitiwa na usingizi japo sidhani
kama ulikuwa ni usingizi sana
kwani alinikumbatia huku
akikohoa mara kwa mara
kuashiria yuko macho na hata simu yake inapoingia meseji
alikuwa fasta kuipokea na
kurudisha majibu kisha kujilaza
tena.,
"Nimekwisha Levina
mimi..? ....lazima nijikatae mbele yake kwanza mi siitwi Levina
naitwa 'Vina'.. Hata kina jammy
wanalijua hilo...!"
Nilijipa moyo huku nikiamini
asilimia kubwa sitaweza kushikwa
pale., Taaratibu bila kupoteza mda
nikamnyemelea akiwa kashapitiwa
na usingizi nikamsogeza mikono
yake aliokuwa
amenikumbatia,nikavuta simu
yake na funguo za gari,na lile burungutu lote ile simu nikaizima
na kuitumbukiza kwenye pochi
yangu kisha nikavaa nguo zangu
fasta fasta tayari kwa
kuondoka.,ile nafungua kitasa tu
nikamsikia akikohoa kuashiria kama mtu aliyeshtuka... Sikutaka
kuchelewesha mda kabisa
nikatoka spidi mpaka kwenye gari
yake na kuingia,sikuwa najua
kuendesha gari na nakubali hilo
ni kosa kubwa sana kwangu, kwani nia kubwa ya kuchukuwa
huu ufunguo ilikuwa ni kutafuta
undani wa huyu mtu hivyo nikawa
ndani gari yake nikipekua
makaratasi yake.,ndani ya
sekunde chache nikawa nimeshayapata baadhi pamoja na
pingu alizokuwa kaweka kwenye
gari,nikazichukuwa na kutaka
kugeuza kwenda kumfunga
pingu..,
"Aaaaah..,lakini acha tu niende nyumbani..!"
Nilijikuta naghairi kurudi,hivyo
nikazichukuwa zile pingu na
makaratasi na funguo niliziacha
palepale kwenye gari lake
nikaondoka zangu na kuelekea nje huku nikitafuta taksi niweze
kwenda nyumbani usiku ule..,
Pale getini hapakuwa na
wakunizuia kwa jinsi nilivyokuwa
nimevaa dhahiri walishajua tu mi
ni malaya hivyo mda wowote natoka na kuingia.. * * * * * Nikiwa nyumbani nimejipumzikia
nyumbani huku nikipekuwa zile
karatasi,
"Aaah...! Sasa nimeshaanza
kuzielewa kumbe yule alikuwa ni
askari mpelelezi...! Lakiini kwanini alikuwa ananitafuta mimi..?"
Ni kati ya maswali yaliyokuwa
yananichanganya juu ya yule mtu
niliyomtoroka hotelini, ikanibidi
nimkabidhi Mama zile picha pia
nimuelezee kilichonikuta..,Mama hakuwa na la zaidi ya kuniambia
niachane na hiyo biashara kwa
mda wa usiku...
Sasa nikawa Levina kamili na siyo
Vina tena kutokana na Biashara
yangu kuifanya mchana Na siyo usiku tena.,
Mawindo yangu ni kwa waume za
watu kwani niliamini ndo
walikuwa wakinilipa
vizuri..Nilitokea kuchukiwa na kila
mtu hapa mtaani lakini hilo sikulijali.., * * * * Hali ya Mama ikazidi kubadilika
kwani hakuwa anaumwa kisukari
peke yake pia alikuwa na presha
ya kupanda jambo lililoniwia
vigumu maishani mwangu kwani
msaada mkubwa ulijuwa ukitoka kwangu..
"...Niongeze elfu kumi tena
nikupe na nyuma kabisa...!"
Ilinibidi wakati mwingine nikubali
tu kuingiliwa kinyume na
maumbile hii yote ni kuhakikisha Mama yangu anapona.,
Ilifika kipindi Mama alishikwa na
kisukari mpaka miguu ikamvimba
na vidonda vikamtoka miguuni
sana,hali hiyo ililichanganya sana
lakini sikukata tamaa ya maisha nilichokifanya kwangu
nikuendelea kufanya kazi yangu
ya kujiuza mwili mpaka hapo
Mama yangu atakapopona, kuna
mda mwingine nilikuwa
nikidhulumiwa na wanaume niliokuwa nikitembea nao,kipindi
kingine nawakubali kufanya nao
mapenzi hadi wanaume wawili
mpaka watatu kwa mara
moja,Nilijihisi kama mtu
aliyechanganyikiwa na maisha.. "..Leo twende tukalale kwangu..!
Ntakuongeza pesa..!"
"..Sawa tu..!"
Nilikuwa radhi nikalale na
mwanaume kisha mama
nimuache akijiuguza nyumbani peke yake... * * * * "..Leo nakuongeza dau..! Kamata
kwanza elfu ishirini kisha
ukimaliza kazi nakupa na ishirini.."
"...Levina.. levina..
levina...,nasikitika kuwa bado
naipenda kazi yangu..,na kila mara nilikuwa nikikutoa mimba
hata kwa buku kumi na tano
nakukubalia..."
"..Ndio Dokta..,ni kweli..?"
"...sasa basi.! leo nasema NO..!"
"...Dokta pliz.. Dokta.. nitoe Dokta...Ntakupa chochote Dokta
nitoe...!"
"...Nimesema NOOOOO..!"
"Endapo nitakutoa hii mimba
lazima uhatarishe maisha
yako,kwani nitaharibu kizazi chako pengine usiweze kuzaa
tena Maishani
mwako...! ...umeshawahi kuskia
wanawake wagumba Levina..?"
"..Ndio.."
"...kwahiyo unapenda kuwa mgumba..?"
"Hapana...!"
"...Haya potea fasta..."
Nilinywea nakujihisi nimekuwa
mdogo kama kidonge cha
piliton.,Nikabaki nalia huku Nisielewe mimba ni ya nani..,
"..Nitamlea hata kama atakuwa
hana Baba.."
Nilijisemea kwa sauti ya chini chini
huku nikitafuta njia ya kutokea
pale zahanati.. * * * * Umati wa watu uliokuwa
umefurika pale nyumbani kwetu
ndo ulikuwa umenishtua asubuh
asubuh nikiwa nimetoka kwenye
biashara zangu..
"..mbona kunanitisha hivi... kweli kutakuwa na Msiba pale..?"
Nilijikuta nikijiuliza mwenyewe
huku nimejibanza kwenye
kona,nguo nilizokuwa nimevaa
zilikuwa fupi sana na nilikuwa
nimechelewa kurudi nyumbani kwani kawaida yangu nikurudi
alfajiri kwenye mida ya saa kumi
usiku..
"..Daah leo Levina mi
nimeumbuka...?
Lakini mbona kumetundikwa maturubai na Mapolisi
wanazunguka zunguka..?"
Nilishindwa kujitambua kabisa
mpaka alipopita mpita njia..
"Samahani kaka..! Pale kuna
nini..?" "..kuna Msiba..!"
"Maaamaa siamini...Mama yangu
amekufaa..!"
"..dada kwani vipi.?"
"...Hapana.. hapana.. Mama
yangu ndo nimeshampotezaaa..!" "..lakini Dada..!"
"...Hakuna chanini...Embu
niache..Nenda zako tu
kaka...oooh Mama..! mama..!
mama..! mamaaa..!"
"...Sista Msiba haupo nyumba ile pale..!"
"..uko wapi sasa..?
"Uko nyumba ya tatu kutoka
pale,kwani yule mzee alikuwa mtu
Maarufu sana na watu wanazidi
kumiminika ndo Mana wameweka turubai refu kiasi kile..!"
"...Inamaana aliyekufa ni Baba
Gervas..?"
"...yeah...! ndo huyo huyo na mi
niko njia moja kuelekea pale...
*************** * * *
Nani aliyempa Levina
Mimba..?
* * *
Levina ataingiaje pale
kwao,na Mama yake atakuwa
katika hali gani?
 
***********
Sikuwahi kutembea na
mwanaume yoyote maishani
mwangu zaidi ya kuambulia
kubakwa mara mbili,Moja nikiwa
kule gerezani na mara nyingine
nikiwa Morogoro nyumbani kwa marehemu 'Baba Ali'..
Nilipenda sana siku moja Gervas
aje kuwa Mme wangu wa ndoa
kutokana na yeye kuwa kimya
nikawa tayari nimeshakata tamaa..
Kunakipindi Mama aliugua sana kwani alikuwa akisumbuliwa na
kisukari nilipata shida sana
kumuuguza kwani hela ya
kumtibia ilikuwa shida na sikuwa
na elimu yoyote zaidi ya kuishia
kidato cha kwanza tena Mwanzoni kabisa na ndicho
kipindi nilichowekwa gerezani,
kutokana na ugumu wa maisha
na kuugua sana kwa Mama,
genge likafilisika kutokana na
kutokuwa na sehemu nyingine ya kutuingizia kipato,
Tangu Mama alipoanza kuugua
wazazi wa Gervas wakatutenga
hakuna cha msaada tena.. * * * * "....Sema kaka....?"
"....Unaniambiaje sasa...?"
"...wewe tu...,Kulala elfu kumi cha
fasta fasta buku tano...!"
Ndiyo ilikuwa lugha yangu ya
kazini, kwani ukinikuta mawindoni mida ya usiku huwezi amini.,
Kwanza kabisa jina la Levina
nilikuwa nikilitumia mchana tu,na
usiku naitwa 'Vina', Mwili ulikuwa
umenirudi japo si sana,ila makalio
yangu bado yalikuwa ni makubwa na chuchu zilikuwa ndogo sana..
"...Sikulazimishi kakaaa kama
umeshindwa hapa...! Nenda kwa
wengine wasiojua kukatikia
sawa....?"
Ni kati ya maneno yaliokuwa yakiwachanganya sana
wanaume..,na kujikuta
wakining'ang'ania, kutokana na
kuanza kuishi kwa uafadhali
kulimfanya Mama asifanye jambo
lolote na kutokana na kuniunga mkono juu ya kujiuza mwili
kulinifanya nitembee na wanaume
huku wengine waume za watu
haijalishi ni mchana au usiku we
twende tu..
Ndani ya Mwezi tu mtaa mzima ukawa umeshajua kazi
yangu,kutembea na wanaume sita
hadi nane kwa siku lilikuwa ni
jambo dogo sana kwangu..
Siku moja nikiwa mawindoni
usiku.. "...Oyaaa...Sista vipi
kinaeleweka..?"
"Vipi fasta fasta au kulala..?"
"Aaaah Vina..... Leo unataka
kunibania enhh...? Mi wa kulala
bhanaa vipi..!" Aliongea kijana Mmoja mnene hivi
japo sikumtambua kwani nina
wateja wengi ila nilijikuta
namkubalia kwenda kulala kwa
tamaa ya pesa...
"Tulipane kabisaa.., nipe changu mapemaaaaa....!"
Hakuwa mtata hata kidogo yule
jamaa akatoa burungutu la pesa
na kuchomoa noti ya shilingi elfu
kumi na kunipatia..
"Jammy...Nishkie kesho ntakuja kuchukuwa kwako.."
Kwa kawaida huwa nikipata
wateja wa kulala nao sipendi
kutembea na hela hivyo Jamila
alikuwa rafiki yangu
anayenichukulia pesa na mara nyingi...
Nikiwa nimevalia kimini kifupi
kilichoachia mapaja yangu wazi
huku ndani nikiwa mtupu kabisa
kutokana na biashara zetu
zinavyoruhusu..Tayari tukawa tumeshaelewana na yule
Jamaa,nikawa ndani ya gari lake
kuelekea hotelini au gesti yeyote
kwa ajili ya kumpatia anachotaka
huku akiendesha gari pia simu
yake ikiita mara kwa mara naye akikata..
Hapakuwa mbali sana kwani
ndani ya mda mfupi tayari
alikuwa akiipaki gari kwenye hotel
niliyokuwa sihifahamu
vizuri..akacheki simu yake pale.. Kama kawaida yangu huwa
sipendi kuchelewesha mda
tulipoingia chumbani tu..
"....Chooni wapi....?"
"Ingia humo....!"
Nikachukuwa taulo la pale hotelini, nikachukuwa na pochi
kisha nikaingia bafuni.,
Nilijisafisha vizuri kwani tayari
mteja nilimuona ana hela ya
kutosha tangu alipochomoa
burungutu la hela na kunipa elfu kumi kwahiyo ni kumpa mavitu
mpaka mwenyewe aniongezee
hela zaidi..
Nikajifungia mule chooni na
kuchomoa sabuni yangu ya
'DETTOIL' nikachanganya na cream ya 'SPOT' ni kati ya vitu
vinavyonifanya maumbile yangu
ya ndani yanakuwa madogo
(samahani sana msomaji kama
utakerwa na mimi,nisameheni
sana kwa hapa.) Nikatoka huku sina hata lile taulo
na kujitupa kitandani..
"Vipi unaenda kuoga au.."
"....Hapana nipe kwanza cha fasta
nikaoge....!"
Tukaingia pale kitandani na kumpatia
anachokihitaji,nilimchanganya
sana kwa viuno nilivyomkatikia
"....Inaatoshaa....! Inaatoshaaa....!
Wacha nikaoge kwanza..."
Akatoka spidi na kwenda kujimwagia maji huku akiniacha
nimeduwaa pale
kitandani...Nikainuka kwenda
kuzima taa lakini kabla sijaifikia
kibonyezeo cha kuzimia taa
suruali ya yule mtu ikadondoka kutoka pale karibu na kakabati
spesho kwa kuweka nguo,
ikanibidi niikote nakuirudishia
ndipo nizime taa..
Ile nainua tu suruali nakutana na
picha imedondoka ikimuonesha Afande Deus akiwa enzi zake
akiwa hai.,
Hofu ikanitanda nikaona ntakuwa
nimemfananisha wazo likanijia
kutafuta mifukoni,kwa haraka
zaidi kabla hajatoka nikakutana na nyingine Nne zikiwa
zinamuonesha Afande Deus akiwa
ametekwa na kufungwa mdomo
kwa plasta huku macho yakiwa
yamejaa damu nilihisi watakuwa
walimtoboa macho.., "Mungu wangu...! Kumbe niko na
muuaji..?"
Kwa haraka zaidi nikazichukuwa
zile picha na kuzifungasha pamoja
na nguo yangu ya ndani
niliokuwa nimeibadilisha mda ule.. Nikiwa namalizia kuweka zile
picha mara simu ya yule mtu
ikaingia ujumbe mfupi
(meseji) ,haraka haraka kabla
hajatoka bafuni nikaichukuwa na
kuisoma.. "UMESEMA JINA LAKE ANAITWA
LEVINA? NAKUAMINIA FANYA
JUU CHINI TUMUWEKE
HATIANI,SI UNAJUA NI MDA
MREFU TUMEMSAKA?"
Ile namalizia kusoma nikaiweka ile simu haraka haraka na yule
jamaa akawa ndo anatoka bafuni
hivyo nikabaki sina tena ujanja
wowote wa kukimbia zaidi ya
kukubali kulala,
Nikawa namtaimu apate usingizi tu nisepe,haijapita mda akawa
amepitiwa na usingizi japo sidhani
kama ulikuwa ni usingizi sana
kwani alinikumbatia huku
akikohoa mara kwa mara
kuashiria yuko macho na hata simu yake inapoingia meseji
alikuwa fasta kuipokea na
kurudisha majibu kisha kujilaza
tena.,
"Nimekwisha Levina
mimi..? ....lazima nijikatae mbele yake kwanza mi siitwi Levina
naitwa 'Vina'.. Hata kina jammy
wanalijua hilo...!"
Nilijipa moyo huku nikiamini
asilimia kubwa sitaweza kushikwa
pale., Taaratibu bila kupoteza mda
nikamnyemelea akiwa kashapitiwa
na usingizi nikamsogeza mikono
yake aliokuwa
amenikumbatia,nikavuta simu
yake na funguo za gari,na lile burungutu lote ile simu nikaizima
na kuitumbukiza kwenye pochi
yangu kisha nikavaa nguo zangu
fasta fasta tayari kwa
kuondoka.,ile nafungua kitasa tu
nikamsikia akikohoa kuashiria kama mtu aliyeshtuka... Sikutaka
kuchelewesha mda kabisa
nikatoka spidi mpaka kwenye gari
yake na kuingia,sikuwa najua
kuendesha gari na nakubali hilo
ni kosa kubwa sana kwangu, kwani nia kubwa ya kuchukuwa
huu ufunguo ilikuwa ni kutafuta
undani wa huyu mtu hivyo nikawa
ndani gari yake nikipekua
makaratasi yake.,ndani ya
sekunde chache nikawa nimeshayapata baadhi pamoja na
pingu alizokuwa kaweka kwenye
gari,nikazichukuwa na kutaka
kugeuza kwenda kumfunga
pingu..,
"Aaaaah..,lakini acha tu niende nyumbani..!"
Nilijikuta naghairi kurudi,hivyo
nikazichukuwa zile pingu na
makaratasi na funguo niliziacha
palepale kwenye gari lake
nikaondoka zangu na kuelekea nje huku nikitafuta taksi niweze
kwenda nyumbani usiku ule..,
Pale getini hapakuwa na
wakunizuia kwa jinsi nilivyokuwa
nimevaa dhahiri walishajua tu mi
ni malaya hivyo mda wowote natoka na kuingia.. * * * * * Nikiwa nyumbani nimejipumzikia
nyumbani huku nikipekuwa zile
karatasi,
"Aaah...! Sasa nimeshaanza
kuzielewa kumbe yule alikuwa ni
askari mpelelezi...! Lakiini kwanini alikuwa ananitafuta mimi..?"
Ni kati ya maswali yaliyokuwa
yananichanganya juu ya yule mtu
niliyomtoroka hotelini, ikanibidi
nimkabidhi Mama zile picha pia
nimuelezee kilichonikuta..,Mama hakuwa na la zaidi ya kuniambia
niachane na hiyo biashara kwa
mda wa usiku...
Sasa nikawa Levina kamili na siyo
Vina tena kutokana na Biashara
yangu kuifanya mchana Na siyo usiku tena.,
Mawindo yangu ni kwa waume za
watu kwani niliamini ndo
walikuwa wakinilipa
vizuri..Nilitokea kuchukiwa na kila
mtu hapa mtaani lakini hilo sikulijali.., * * * * Hali ya Mama ikazidi kubadilika
kwani hakuwa anaumwa kisukari
peke yake pia alikuwa na presha
ya kupanda jambo lililoniwia
vigumu maishani mwangu kwani
msaada mkubwa ulijuwa ukitoka kwangu..
"...Niongeze elfu kumi tena
nikupe na nyuma kabisa...!"
Ilinibidi wakati mwingine nikubali
tu kuingiliwa kinyume na
maumbile hii yote ni kuhakikisha Mama yangu anapona.,
Ilifika kipindi Mama alishikwa na
kisukari mpaka miguu ikamvimba
na vidonda vikamtoka miguuni
sana,hali hiyo ililichanganya sana
lakini sikukata tamaa ya maisha nilichokifanya kwangu
nikuendelea kufanya kazi yangu
ya kujiuza mwili mpaka hapo
Mama yangu atakapopona, kuna
mda mwingine nilikuwa
nikidhulumiwa na wanaume niliokuwa nikitembea nao,kipindi
kingine nawakubali kufanya nao
mapenzi hadi wanaume wawili
mpaka watatu kwa mara
moja,Nilijihisi kama mtu
aliyechanganyikiwa na maisha.. "..Leo twende tukalale kwangu..!
Ntakuongeza pesa..!"
"..Sawa tu..!"
Nilikuwa radhi nikalale na
mwanaume kisha mama
nimuache akijiuguza nyumbani peke yake... * * * * "..Leo nakuongeza dau..! Kamata
kwanza elfu ishirini kisha
ukimaliza kazi nakupa na ishirini.."
"...Levina.. levina..
levina...,nasikitika kuwa bado
naipenda kazi yangu..,na kila mara nilikuwa nikikutoa mimba
hata kwa buku kumi na tano
nakukubalia..."
"..Ndio Dokta..,ni kweli..?"
"...sasa basi.! leo nasema NO..!"
"...Dokta pliz.. Dokta.. nitoe Dokta...Ntakupa chochote Dokta
nitoe...!"
"...Nimesema NOOOOO..!"
"Endapo nitakutoa hii mimba
lazima uhatarishe maisha
yako,kwani nitaharibu kizazi chako pengine usiweze kuzaa
tena Maishani
mwako...! ...umeshawahi kuskia
wanawake wagumba Levina..?"
"..Ndio.."
"...kwahiyo unapenda kuwa mgumba..?"
"Hapana...!"
"...Haya potea fasta..."
Nilinywea nakujihisi nimekuwa
mdogo kama kidonge cha
piliton.,Nikabaki nalia huku Nisielewe mimba ni ya nani..,
"..Nitamlea hata kama atakuwa
hana Baba.."
Nilijisemea kwa sauti ya chini chini
huku nikitafuta njia ya kutokea
pale zahanati.. * * * * Umati wa watu uliokuwa
umefurika pale nyumbani kwetu
ndo ulikuwa umenishtua asubuh
asubuh nikiwa nimetoka kwenye
biashara zangu..
"..mbona kunanitisha hivi... kweli kutakuwa na Msiba pale..?"
Nilijikuta nikijiuliza mwenyewe
huku nimejibanza kwenye
kona,nguo nilizokuwa nimevaa
zilikuwa fupi sana na nilikuwa
nimechelewa kurudi nyumbani kwani kawaida yangu nikurudi
alfajiri kwenye mida ya saa kumi
usiku..
"..Daah leo Levina mi
nimeumbuka...?
Lakini mbona kumetundikwa maturubai na Mapolisi
wanazunguka zunguka..?"
Nilishindwa kujitambua kabisa
mpaka alipopita mpita njia..
"Samahani kaka..! Pale kuna
nini..?" "..kuna Msiba..!"
"Maaamaa siamini...Mama yangu
amekufaa..!"
"..dada kwani vipi.?"
"...Hapana.. hapana.. Mama
yangu ndo nimeshampotezaaa..!" "..lakini Dada..!"
"...Hakuna chanini...Embu
niache..Nenda zako tu
kaka...oooh Mama..! mama..!
mama..! mamaaa..!"
"...Sista Msiba haupo nyumba ile pale..!"
"..uko wapi sasa..?
"Uko nyumba ya tatu kutoka
pale,kwani yule mzee alikuwa mtu
Maarufu sana na watu wanazidi
kumiminika ndo Mana wameweka turubai refu kiasi kile..!"
"...Inamaana aliyekufa ni Baba
Gervas..?"
"...yeah...! ndo huyo huyo na mi
niko njia moja kuelekea pale...
*************** * * *
Nani aliyempa Levina
Mimba..?
* * *
Levina ataingiaje pale
kwao,na Mama yake atakuwa
katika hali gani?
 
Kwa kuwa hadithi hii imepata wasomaji wachache basi naomba nisitishe rasmi kuiendeleza, na tutaendelea na hadithi yetu ya Play Gal.
Naomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza
 
Kwa kuwa hadithi hii imepata wasomaji wachache basi naomba nisitishe rasmi kuiendeleza, na tutaendelea na hadithi yetu ya Play Gal.
Naomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza
jaman jaman jaman naipenda sana hii hadithi
 
Back
Top Bottom