wewe tu... mi sio invisible bhana...
karibu tenaAhsante weye bint usie na jina.
next week ntakuja kwenuwewe tu... mi sio invisible bhana...
uje na unga, sufuria, mkaa, sahani na mwiko wako...next week ntakuja kwenu
nitakuja na mwiko wangu lakini unahitaji uusafishe kwanza maana niliutumia huku nilipo.. Angusha kitu basiuje na unga, sufuria, mkaa, sahani na mwiko wako...
na maji uje nayo, we c uko karibu na maji ya bure hayo... tena uhitaji hata kununua chumvinitakuja na mwiko wangu lakini unahitaji uusafishe kwanza maana niliutumia huku nilipo.. Angusha kitu basi
ni kweli sihitaji kununua chumvi lakini nikitumia chumvi kutoka kwako itakuwa bora zaidi.. Nitakachokuja nacho ni samakina maji uje nayo, we c uko karibu na maji ya bure hayo... tena uhitaji hata kununua chumvi
😵😵 UNAMVUA MWENYEWE?ni kweli sihitaji kununua chumvi lakini nikitumia chumvi kutoka kwako itakuwa bora zaidi.. Nitakachokuja nacho ni samaki
ndio nitamvua mwenyewe lakini kwenye kumla tutamla kwa pamoja😵😵 UNAMVUA MWENYEWE?
angalia usije ukajing'ata vidoleda tamuuuu??
MI NAPENDA KULA TU... KAZI AKUUUUUUUndio nitamvua mwenyewe lakini kwenye kumla tutamla kwa pamoja
UCHUME NA NDIMU ETI...angalia usije ukajing'ata vidole
utamu wa chakula ni kukiandaa wote na kukila wote hakika utamu wake hausemekiMI NAPENDA KULA TU... KAZI AKUUUUUUU
mimi na ndimu tofauti kabisaaaUCHUME NA NDIMU ETI...
BASI PILIPILImimi na ndimu tofauti kabisaaa
WE USHAWAHI KUONA MAPISHI YA WATU WAWILI YANAKUA MATAMU!!!!!utamu wa chakula ni kukiandaa wote na kukila wote hakika utamu wake hausemeki