Mama paradigm
JF-Expert Member
- Apr 17, 2010
- 393
- 796
Dah kama ulipewa go ahead tushushie vitu kaka..!mimi nimenunua vitano mpaka sasa.. Hiki mikataba ya kishetani alishawahi kuniruhusu nikishushe humu sema muda wangu ndio ulikuwa mdogo kwangu
halafu kuna kitabu kingine...nakumbuka niliwahi kukisoma wakati mdogo, Joram alikuwa ameenda likizo kigoma kumsalimia babu yake...akakutana na balaa...! unafahamu Title yake nikitafute?