Hadithi: Malaika wa shetani

Hadithi: Malaika wa shetani

Mkuu vitabu vya Mtobwa vipo kibao Ubungo bus terminal na kkoo msimbazi road,kuanzia Malaika wa shetani mpaka roho ya paka,Najisikia kuua tena mpaka mtambo wa mauti...na vengine vingi.
Tembelea maeneo hayo.

Asante sana mkuu, nimevisoma kitambo sana isipokuwa Dar es Salaam Usiku na Najisikia kuua tena. Nitavitafuta nivirejee.
 
Back
Top Bottom