Hadithi: Malaika wa shetani

Hadithi: Malaika wa shetani

Hahahaaa ni kweli. Mimi ni yule niliyekua nimelazwa hospitali.

hongera sana endeleza kazi ya mzee....nilikuwa mpz wa gazeti la heko na vitabu vyake kwakweli.....ninalo magazeti ya heko yenye hadithi yote ya tutarudi na roho zetu kuanzia sehemu ya kwanza hadi ya mwisho... hahahaha huwa naangalia nacheka wakati ule nilikuwa nahifadhi kila kitu kwa sasa nimekuwa mzembe sana
 
hongera sana endeleza kazi ya mzee....nilikuwa mpz wa gazeti la heko na vitabu vyake kwakweli.....ninalo magazeti ya heko yenye hadithi yote ya tutarudi na roho zetu kuanzia sehemu ya kwanza hadi ya mwisho... hahahaha huwa naangalia nacheka wakati ule nilikuwa nahifadhi kila kitu kwa sasa nimekuwa mzembe sana

Umenikumbusha mbali mama yangu alikuwa mpenzi wa vitabu vya hadithi hasa Ray Sibanda, Willy Gamba na Joram kiango. Alikuwa kavijaza kwenye shelf yake na Magazeti ya heko ukurasa wa hadithi...hii ikanifanya na mimi kuwa mpenzi wa hadithi hizi. Kweli utunzaji wa vitabu ni kumbukumbu nzuri.
 
Umenikumbusha mbali mama yangu alikuwa mpenzi wa vitabu vya hadithi hasa Ray Sibanda, Willy Gamba na Joram kiango. Alikuwa kavijaza kwenye shelf yake na Magazeti ya heko ukurasa wa hadithi...hii ikanifanya na mimi kuwa mpenzi wa hadithi hizi. Kweli utunzaji wa vitabu ni kumbukumbu nzuri.
Nilikuwa na mama yangu mdogo enzi hizo RIP. Ndio aliniingiza kwenye usomaji wa vitabu.....ninataka kuhakikisha vitabu vya enzi zile niwe navyo nimeanza kidogo kidogo
 
Siku hizi ni aghalabu sana kupata waandishi mahiri wa vitabu,na hata usomaji vitabu kwa wakati huu umepungua sana,namkumbuka sana mwandishi Ben R Mtobwa,kwenye andishi lake Tutarudi na Roho zetu?hapo hujamgusa bado Elvis A Musiba na Riwaya zake,Njama,Kikosi cha Kisasi,nk
 
Back
Top Bottom