Hadi mwanaume ageuzwe kule BBA ndo tutashtuka?

Hadi mwanaume ageuzwe kule BBA ndo tutashtuka?

Deo Corleone

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2011
Posts
17,038
Reaction score
13,466
Kuna haya mashindano ya BBA ambayo Tanzania huwa "tunashiriki " na hao " wawakilishi" huwa wanaenda na bendera kabisa za taifa.
Matendo yanayofanyika huko ni hatari tupu, kwani kuna yule demu wa EATV aliliwa live huku dunia ikishuudia, hatukomi bado mwaka huu kaenda tena mwingine.

Na wakiwa kule wanatambulishwa kama mwakilishi wa Tanzania kabisa kama Taifa stars.

Sasa watanganyika wenzangu tutaendelea kushabikia huo utumbo hadi lini? au mpaka mwanaume agegedwe kule live ndo tutajifanya tunashtuka?

Shtuka na chukua hatua
 
Kuna haya mashindano ya BBA ambayo Tanzania huwa "tunashiriki " na hao " wawakilishi" huwa wanaenda na bendera kabisa za taifa.
Matendo yanayofanyika huko ni hatari tupu, kwani kuna yule demu wa EATV aliliwa live huku dunia ikishuudia, hatukomi bado mwaka huu kaenda tena mwingine.
na wakiwa kule wanatambulishwa kama mwakilishi wa Tanzania kabisa kama Taifa stars!

Sasa watanganyika wenzangu tutaendelea kushabikia huo utumbo hadi lini? au mpaka mwanaume agegedwe kule live ndo tutajifanya tunashtuka?
Shtuka na chukua hatua

maneno matupu hayavunji mfupa....
unaweza ukaweka ushaidi wa huyo binti alivyokuwa analiwa!!!
 
mbona wanagegedwa wengi tu na hatushtuki!!!
maisha mafupi jaman hebu huu muda mfupi uliopo basi hata tuenjoy he!!!!
hao wa BBA ndo tumaind? mbona pilau tunaangalia?
acha burudani iendeleee....
 
Shida hapa ni kugegedwa kwenye kideo au ni kugegedwa enewea?
 
Unafiki umewajaa viongozi wetu Bungeni, utasikia wanapiga vita video za wasanii eti hazina maadili. Sijawahi kusikia hata siku moja wakilaani kitendo cha vijana wetu kubeba bendera ya Tanzania na kwenda kufanyia uchafu ndani ya jengo la BBA.

Hivi kweli mpaka Mungu achukie aje kutoa adhabu kubwa zaidi ya ile ya kulichoma moto jengo la ngono la BBA?
 
mi mwenyewe nimefungua fastaaa nakuta watu wamekaa tu mxyuuuu
eve huoni hapo anavyoshukia kitu kuoga gan hukoo, sema ulitaka uone huko chinii hapo kaukalia msumali na unamchoma haswa huoni kasinziaa ,hiv kutiana kwenye maji si ule mnato utaisha jamanii
 
Last edited by a moderator:
Mambo ya katiba yametushinda kuyasimamia unatuletea ishu za ajabu ajabu.
Sasa unataka nifanyaje?
 
Back
Top Bottom