Hadi mwanaume ageuzwe kule BBA ndo tutashtuka?

Hadi mwanaume ageuzwe kule BBA ndo tutashtuka?

Waache tofauti yako na yeye ni kwamba yeye anaonekana na watu wengi lakini wotee mnavunja amri ya sita.
 
Acha kukuza mambo... kama amegegedwa Bhoke wetu, na sisi tumemgegeda Tatiana wao... shida iko wapi? Hao wanaume mbona daily wanagegedwa hapa mjini... tena wanashia kupata hela ya mkorogo; itakuwa hao wana-test zari za ukweli!? By the way, kugongwa agongwe Adam aje kuja juu Ngosha... si ndugu, si jamaa wala rafiki... kisa, Mtanzania mwenzangu...hah!
 
Back
Top Bottom