Karibu mkubwa,unajua nini hilo jina lako limenikumbusha nyumbani,sie kwetu tunaita ntolilo.Kwa ninavyoyafahamu matembele ujio wako naamini utakuwa na manufaa makubwa sana kwetu.Karibu tuelimishane.
duh jamani watu wanavisa...jina linakukumbusha home, nadhani we ulikuwa na njaa!!!!