Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,420
- 2,271
Ingependeza kutoa sababu za kufunga bandiko hili.. "kusema funga tu" haitoshi. Toa sababu a, b, c, n.k then wajumbe watajadili sababu zako na iwapo zitakuwa za msingi hapana shaka bandiko litafungwa..Fungeni hii topic,muda tunaotumia hapa ni wa thamani sana,wakuu toeni