Mzozo wa Mizozo
JF-Expert Member
- May 26, 2008
- 426
- 9
Kuna mtu yoyote ambaye ana taarifa sahihi husiana na hali ya kiafya ya Mh. Mwakyembe maana mtaani kuna habari tata mno.
Naomba tushirikiane.
Naomba tushirikiane.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature currently requires accessing the site using the built-in Safari browser.
Kuna mtu yoyote ambaye ana taarifa sahihi husiana na hali ya kiafya ya Mh. Mwakyembe maana mtaani kuna habari tata mno.
Naomba tushirikiane.
Aliugua jana ghafla wakati wa mwanzo wa siku ya Bunge, akapelekwa kliniki ya Bunge kwa huduma ya kwanza na baadaye akatakiwa apumzike, na sasa anapumzika nyumbani. Anaendelea vizuri na yuko kwenye mipango ya kufanyiwa uchunguzi zaidi na kama kutakuwa na mahitaji ya matibabu au uchunguzi wa kitaalamu zaidi basi atafanya hivyo.
Kuna mtu yoyote ambaye ana taarifa sahihi husiana na hali ya kiafya ya Mh. Mwakyembe maana mtaani kuna habari tata mno.
Naomba tushirikiane.
Hahahahaaa...wewe unakuja Jamiiforum kuuliza habari zenye utata? Hapa ni worse kuliko hata huko mitaani....
Mtanzania hilo la kifo lilianzishwa humu mapema leo, na nikalizima kwa kuzungumza na Dr. mwakyembe mwenyewe.. na kuwaambia watu kuwa ni mzima (kwa maana yuko hai) lakini bado anajiandaa kufanyiwa uchunguzi zaidi.
Hahahahaaa...wewe unakuja Jamiiforum kuuliza habari zenye utata? Hapa ni worse kuliko hata huko mitaani....
Nimecheka sana. Kwa kweli tumezidi kwa ushakupuna na ushambenga duh!
Hahahahaaa...wewe unakuja Jamiiforum kuuliza habari zenye utata? Hapa ni worse kuliko hata huko mitaani....
Jamiiforums watu huwaga wanakufa halafu wanafufuka....'memba me?
..si uwoga, ni ushenzi, tabia mbaya na ukosefu wa adabu!! wanamchulia babu wa watu...kitu kidogo tu, kafa, mara oooh kafa....utafikiri kufa kumeanza leo (yaani ni kitu kipya)!!! waTZ na TZ yenyewe ovyo sana......inakera.
..si uwoga, ni ushenzi, tabia mbaya na ukosefu wa adabu!! wanamchulia babu wa watu...kitu kidogo tu, kafa, mara oooh kafa....utafikiri kufa kumeanza leo (yaani ni kitu kipya)!!! waTZ na TZ yenyewe ovyo sana......inakera.
Uwoga niliousema ni kwamba kuna watu wanaamini Mafisadi wana nguvu sana, wanaogopa mafisadi mno. Mafisadi hawana kitu wala hawawezi kumwua Dr.
...MODS, fungeni hii 'jadala, maana naona huyu "pumba maker" kesha pata sehemu sehemu ya kuvinjali!!. Fungeni hii mada, Mwakyembe ni mzima wa afya tele.....fungeni hii mada, tafadhalini!!
Bunge limetoa taarifa kuwa Mwakyembe hajafa. Alikwenda kwa Spika kumuaga kuwa anakwenda dar na atarejea Jumapili. Sasa kwa wanaoeneza uvumi wakae tayari, Bunge limesema jeshi la Polisi limeanza kuwasaka walioeneza uvumi huo ili wachukuliwe hatua. Aliyesema na naibu Katibu wa Bunge, Dk Thoams Kashilila