Patra31
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 6,752
- 13,400
Nchi ambazo hazijaendelea tu ndio wanapenda hizo mambo za ruhusu ya kuonyesha baadhi ya taarifa. Ifike mahara tuvipe nguvu vyombo vyetu vya habari na uhuru waandishi wetu kuandika na kutoa habari.
Ningekuwa na uwezo ningependekeza vyombo vya habari viwe ni muhimiri mwingine wa nchi na usiingiliwe
Ningekuwa na uwezo ningependekeza vyombo vya habari viwe ni muhimiri mwingine wa nchi na usiingiliwe