dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Kati ya nn? Mapaja ya kenge?Uchumi wa kati
Mie nilihamia Aljazeera kitaaaaambo media za tz tupa kuleeeeeeNilijua tu hii habari haiwezi kuwaacha salama ITV na huu ndio ujinga unaoendelea awamu hiii.
Mimi ndio maana siku hizi sina muda wa kufuatilia media za hapa nyumbani kwani ni wazi zinadhibitiwa na haziko huru.Wanachotakiwa ni kutangaza habari za kufuruhisha tu watu/mtu fulani!!
Mambo ya hovyo sana haya!!
Kweli hao watakao support huu uzi kuwa vyombo viwe vinaomba ruhusa kwanza ndio wanaotaka kuminya uhuru wa vyombo vya habariITV wametimiza wajibu wao,wao kama chombo cha habari.Haikuhitaji kuomba ruhusa,aliyekosea awajibishwe,tatizo litatuliwe.Mficha uchafu maradhi humuumbua,hizo ndo habari za kuisaidia jamii.Nawapongeza Itv/Radio one kwa hilo.
Nilijua tu hii habari haiwezi kuwaacha salama ITV na huu ndio ujinga unaoendelea awamu hiii.
Mimi ndio maana siku hizi sina muda wa kufuatilia media za hapa nyumbani kwani ni wazi zinadhibitiwa na haziko huru.Wanachotakiwa ni kutangaza habari za kufuruhisha tu watu/mtu fulani!!
Mambo ya hovyo sana haya!!