Black jackal360
Member
- Sep 1, 2018
- 34
- 43
Naombeni mchangie tafadhari
Ninao uwezo wa kuendesha sema nataka kujua kuwa sheria itaniruhusu kuendesha gari hizo kutokana na class yangu na je fuso single ni class D au laaKwani kuwa na leseni ndio kuendesha gari??
Hiyo leseni uliipata kihalali kweli? Yaani hujui class D unaruhusiwa kuendesha gari zipi?Naombeni mchangie tafadhari
Maswali mengine ni ya hovyo sana,hiyo leseni yako wameonyesha magari unayoruhusiwa kuendesha kulingana na mafaraja uliyopewa.Naombeni mchangie tafadhari
Duh!Hii kali!Hivi nawezaje kutazama expiry date ya leseni yangu
Kama ilipotea sinayo kwa sasaDuh!Hii kali!
Mbona inaandikwa hapo kwenye madaraja yako ya leseni au una leseni ya kitu gani Chief?
Mfano
View attachment 3438604
Itakuwa kaletewaa nyumbani uyuHiyo leseni uliipata kihalali kweli? Yaani hujui class D unaruhusiwa kuendesha gari zipi?