Mwelewa
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 2,343
- 3,280
Polisi wanapenda sana wakiambiwa kadhibitini raia wanaodai haki maana wanajua hawana silaha, mbona mkiambiwa kuna majambani sehem fulani mnachelewa kwenda?
Kamanda wa polisi arusha alibariki hayo maandamano then IGP anatengua maamuz nn maana yake? Je kamanda wa polisi arusha hajui anachokifanya?
Kamanda wa polisi arusha alibariki hayo maandamano then IGP anatengua maamuz nn maana yake? Je kamanda wa polisi arusha hajui anachokifanya?