Habari hii haijanifurahisha kabisa

Habari hii haijanifurahisha kabisa

Tupende kusoma kwanza, elimu ndio utatufikisha mbali... bila shule ubunifu na uvumbuz wetu utakuwa huu wa kuunga unga vipisi vya skrepa na nondo
Waliobuni ndege ya kwanza walisoma mpaka wapi? Au gari
 
Akiuendeleza Ubunifu wake utapelekea Kiwanda. Na kiwanda kitawanyima "Vigogo" 10% ya uagizaji wa Helicopters.. "Vigogo" watakosa Trips za nje ya nchi kukagua helicopter kabla ya kununua.

"Vigogo" hawawapendi wagunduzi
 
Sisi tumelaaniwa
Mimi ni mtanzania na ninakataa kabisa sijalaaniwa. Hapa hakuna laana bali ni ubinafsi. Kumbuka shida kubwa ni kuwa akitengeneza helicopter hapa bongo kuna watakaokosa 10% ya manunuzi kutoka nje. Je, unakumbuka yule dakitari wa heart institute? Alikufa bila kufanikisha lengo lake kwa sababu ya wakubwa fulani kuogopa watoto wakitibiwa hapa bongo basi like dili la kuwapeleka India lingeota majani. Narudia kama ni wewe sawa lakini Mimi sijalaaniwa kabisa.
 
Nchi hii elimu ya sayansi yoyote haina thamani zaidi ya siasa, wewe uwe mropokaji mzuri popote pale ulipo muda mfupi tuu utatinga sehemu muhimu na utakuwa maarufu. Wenye elimu zao hawajulikani hata walipo, wenye matusi na blabla nyingi ndio wanapeta. Nchii hii imeasisiwa vibaya sana na kama mfumo huu wa siasa kuiweka mbele kila kitu haujabadilishwa iko siku itafika mahali pabaya. Na siasa haihitaji kuizuia kwamba isifanywe ndio tutaendelea wakati mishahara na maposho ya wanasiasa ndio mikubwa kuliko funny nyingine hatuwezi kuiepuka kwa style hiyo.

Helkopta haiwezi kuwasaidia chochote Watz bora angezungumzia hali ya siasa watanzania wengi wangemuunga mkono na ungesikia pengine angepewa hata cheo.

Nchi ya viwanda sijui vitaanza lini na wapi? ukipewa cheo unaanza kufanya siasa ileile ambayo ni muda wa kupanga tuanze wapi tutoke hapa tulipo.
 
Tupende kusoma kwanza, elimu ndio utatufikisha mbali... bila shule ubunifu na uvumbuz wetu utakuwa huu wa kuunga unga vipisi vya skrepa na nondo
Elimu sio darasani tu mkuu...huyp jamaa ni professa kuliko wote unaowajua...fuatilia kina newton,billgate, jobs ndo utaelewa vizur...mavyeti ni upuuzi tu...af hyo ID yako umeipataje?
 
Elimu sio darasani tu mkuu...huyp jamaa ni professa kuliko wote unaowajua...fuatilia kina newton,billgate, jobs ndo utaelewa vizur...mavyeti ni upuuzi tu...af hyo ID yako umeipataje?
Mkuu hebu muulize yeye nahuo usomi wake anaoamini Wa class room aliwahi kuwaza kubuni kutengeneza hata kifungo cha shati? Next time comments zawatu kama hao unazipuuza tu mkuu unapita zako kama mimi. Watakukatisha tamaa maana ndo wengi nchi hii.
 
Watanzania tunapenda kujipa matumaini kwa vitu rahisi rahis.. huyu jamaa alichofanya ni kutengeneza replica ya helicopter ya awali kuundwa, hamna ubunifu wowote alioufanya hapo wala mtu kama huyo huwezi mpongeza kwa kutengeneza kopo linalofanana na helicopter.. alichofanya yeye kinafanywa na watoto wa shule za awali marekani kwenye somo la Arts and Craft
 
Subirini aende huko kwa wenye akiri zao wamdadisi kisha wampe tuzo ndo mtajua zilipo mbongo za viongozi wetu sikuhiyo. 1.Atapokelewa kwa heshima kubwa nawaziri husika airport. 2.Moja kwamoja utaitishwa mkutano wa waandishi wa habari nawaziri husika kuelezea mafanikio ya mtanzania mwenzetu, na nia ya serikali ktk kumuenzi Kwa kuiletea sifa nchi yetu. 3.Kesho yake ataalikwa Ikulu nakupata chakula na rais. 4.Atapelekwa bungeni nakutangazwa na mh.spika kama mtu aliyeiletea sifa Tanzania. 5.Nk....

Sisi niwatu tuliojitanabahisha kupenda vitu vizuuri vilivyothibitishwa nje ya nchi hii. Kuthibitisha sisi hatuwezi mpaka kwanza waseme wa nje. Ndomaana leo tunajivunia Mbwana Samata, Hasheem Thabiti nawengine wengi waliotambuliwa huko nje ndo nasisi tunajitokeza kuwashangilia nakuwania kulanao vyakula nakupiga nao picha bila kujiuliza tuliwekeza nini kwao hadi tuwashobokee hivyo. Na niwangapi waliishia njiani ambao kama tungewatambua huenda wangetuletea sifa kubwa pengine mala dufu kuliko hao?! Tanzania bwana!!
 
Watanzania tunapenda kujipa matumaini kwa vitu rahisi rahis.. huyu jamaa alichofanya ni kutengeneza replica ya helicopter ya awali kuundwa, hamna ubunifu wowote alioufanya hapo wala mtu kama huyo huwezi mpongeza kwa kutengeneza kopo linalofanana na helicopter.. alichofanya yeye kinafanywa na watoto wa shule za awali marekani kwenye somo la Arts and Craft
Wewe ni mtu mweusi halisi,watu weupe wanayajua hayo yote uliyobwabwaja na bado wakaja kuangalia ubunifu yet hawakuridhika na kuishia kuangalia ,wakampa na mwaliko kabisa ,
Swali rahisi :- Kati yako wewe na hawa wazungu waliokufundisha hicho ulichokariri ,nani mwenye akili ...!!???
Hii ni roho mbaya,mijitu kama nyinyi ndio mliojaa huko TCCA,elimu ya kuungaunga,umeiba nafasi za watu lakini hata hiyo 1+1=2 uliojifunza bado huwezi kuitumia maana ungelijua usingelifikia hatua hii.
Kwani nani dunia ya leo anatengeneza ndege mpya kwa maana ya jet system zaidi ya kufanyia marekebisho kile walichobuni. WRIGHT BROTHERS ,
Utakufa kwa roho mbaya,mnfyuuuuuuuuuu....!!!!
Tena ukifa,ukafie mbali usije kuwapa watu shida ya kufukia mzoga wako.
 
Subirini aende huko kwa wenye akiri zao wamdadisi kisha wampe tuzo ndo mtajua zilipo mbongo za viongozi wetu sikuhiyo. 1.Atapokelewa kwa heshima kubwa nawaziri husika airport. 2.Moja kwamoja utaitishwa mkutano wa waandishi wa habari nawaziri husika kuelezea mafanikio ya mtanzania mwenzetu, na nia ya serikali ktk kumuenzi Kwa kuiletea sifa nchi yetu. 3.Kesho yake ataalikwa Ikulu nakupata chakula na rais. 4.Atapelekwa bungeni nakutangazwa na mh.spika kama mtu aliyeiletea sifa Tanzania. 5.Nk....

Sisi niwatu tuliojitanabahisha kupenda vitu vizuuri vilivyothibitishwa nje ya nchi hii. Kuthibitisha sisi hatuwezi mpaka kwanza waseme wa nje. Ndomaana leo tunajivunia Mbwana Samata, Hasheem Thabiti nawengine wengi waliotambuliwa huko nje ndo nasisi tunajitokeza kuwashangilia nakuwania kulanao vyakula nakupiga nao picha bila kujiuliza tuliwekeza nini kwao hadi tuwashobokee hivyo. Na niwangapi waliishia njiani ambao kama tungewatambua huenda wangetuletea sifa kubwa pengine mala dufu kuliko hao?! Tanzania bwana!!
Umenikumbusha ile copa Coca-Cola combination iliyochukua kombe la dunia kule Brazil ,sijui waliitupa wapi...!!??
Tanzania bhana kweli ni Tanzagiza.
 
Sisi tumelaaniwa
Siokulaaniwa tu mkuu sema roho mbaya yaviongozi wetu nawatendaji serikalini haina mfano. Naamini angekuwa nimtoto wamkubwa wasingempuuza hivi. Bali kwakuwa nimwenzangu namie ndomaana unaona hiyo mizengwe.

Inanikumbusha hadithi yamtu aliyekuwa anamlilia Mungu miaka mingi amsaidie ili naye awe tajiri katika mji. Sikumoja Mungu akamjia ndotoni akamwambia mwanangu nimesikia maombi yako, niko tayari kukupa utajiri wowote utakao ila kila ntakachokupa, jirani yako nitampa mala2 ya nitakachokupa wewe. Jamaa aliwaza usiku kucha akiri inakataa. Anajiuliza jinsi ambavyo ameomba yeye alafu Jirani yake naye apewe?! Tena apewe mala2 yake!! Inamaana atamzidi!! Jamaa mpk akaamka bado hakuwa najibu. Kesho yake Mungu akamjia tena akamuuliza bado tu hujapata hitaji lako kwangu? Mbona umeniomba miaka mingi nikujaarie utajiri leo nimekubali bado hutaki kusema nikupe nini mwanangu!? Jamaa akatakari sanaaaa.... kisha akamwambia Mungu wangu naomba unitoe jicho moja!! Kwakuwa Mungu uliniahidi utakachonifanyia Mimi Jirani yangu utamfanyia mala2, basi nakuomba unitoe jicho moja[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wewe ni mtu mweusi halisi,watu weupe wanayajua hayo yote uliyobwabwaja na bado wakaja kuangalia ubunifu yet hawakuridhika na kuishia kuangalia ,wakampa na mwaliko kabisa ,
Swali rahisi :- Kati yako wewe na hawa wazungu waliokufundisha hicho ulichokariri ,nani mwenye akili ...!!???
Hii ni roho mbaya,mijitu kama nyinyi ndio mliojaa huko TCCA,elimu ya kuungaunga,umeiba nafasi za watu lakini hata hiyo 1+1=2 uliojifunza bado huwezi kuitumia maana ungelijua usingelifikia hatua hii.
Kwani nani dunia ya leo anatengeneza ndege mpya kwa maana ya jet system zaidi ya kufanyia marekebisho kile walichobuni. WRIGHT BROTHERS ,
Utakufa kwa roho mbaya,mnfyuuuuuuuuuu....!!!!
Tena ukifa,ukafie mbali usije kuwapa watu shida ya kufukia mzoga wako.
Huyo jamaa mpuuze tu mkuu hajui asemalo. Ndo hao waliopita vyuoni kipindi cha Mulugo na Kawambwa.
 
Eti Tanzania ya viwanda labda vya KOROSHO na YEBOYEBO!
 
Tupende kusoma kwanza, elimu ndio utatufikisha mbali... bila shule ubunifu na uvumbuz wetu utakuwa huu wa kuunga unga vipisi vya skrepa na nondo
Hivi chanzo cha elimu ni nini? mtu wa kwanza kuleta maarifa alisomea wapi?
 
Watanzania tunapenda kujipa matumaini kwa vitu rahisi rahis.. huyu jamaa alichofanya ni kutengeneza replica ya helicopter ya awali kuundwa, hamna ubunifu wowote alioufanya hapo wala mtu kama huyo huwezi mpongeza kwa kutengeneza kopo linalofanana na helicopter.. alichofanya yeye kinafanywa na watoto wa shule za awali marekani kwenye somo la Arts and Craft
....umefikia kiwango cha mwisho cha upuuzi wako!
..unaelekea sasa kuwa mpuuzi kuliko upuuzi wenyewe!
.....safari njema!
 
Back
Top Bottom