Gym si salama tena kwa wake zenu

Gym si salama tena kwa wake zenu

Hapa mjini kila kitu na kila sehemu watu wanatumia kama fursa ya kugegedana, iwe saloon, iwe massage parlours... nk

Vijana wa mujini siku hizi wanagegeda wake zenu kwenye GYM, mke wako anaondoka asubuhi saa kumi na moja anachukua gari anasema anaenda gym kupunguza mwili kumbe anaenda kugegedwa.

Akifika mapemaaaaa, anagegedwa akimaliza anakuwa mwepesi, anachukua gari anarudi nyumbani.

Mda huo bado baba naniu umelala tu kitandani.

Dr. MCHUNGUZI HURU (PhD)
Tunajua kama tunagegedewa hawa watu hawachungiki mkuu MCHUNGUZI HURU,ukimzuia gym wanakula walinzi home,ukizuia home wanakula sokoni,ukizuia sokoni wanakula ofisini tena wengine mpaka wanagegedwa kwenye lifts za magorofa pale town au hata ndani ya magari si unajua magari yetu ya siku hizi yana viti vya kulaza yaani balaa tupu,anyway tunashukuru tu kwa alert.
 
Last edited by a moderator:
Hapa mjini kila kitu na kila sehemu watu wanatumia kama fursa ya kugegedana, iwe saloon, iwe massage parlours... nk

Vijana wa mujini siku hizi wanagegeda wake zenu kwenye GYM, mke wako anaondoka asubuhi saa kumi na moja anachukua gari anasema anaenda gym kupunguza mwili kumbe anaenda kugegedwa.

Akifika mapemaaaaa, anagegedwa akimaliza anakuwa mwepesi, anachukua gari anarudi nyumbani.

Mda huo bado baba naniu umelala tu kitandani.

Dr. MCHUNGUZI HURU (PhD)

mkuu, unachosema ni kweli kabisa. haya magym ndio yamemnyang'anya mbasha mke na kusababisha atimkie kwa gwajima.
 
...mkuu kijana kaleta taarifa tu wanavyo wagegeda wake za watu, so ukiona manyoya mnyonyoe wa kwako kabsaa ili wasimkute na manyoya...

mkuu, umenipa ushauri wa haja. ngoja nikampige ban my wangu.
 
Nyinyi mkigegeda wa wenzenu sawa tu. Mfungie ndani hata dukani siende hiyo ndiyo dawa pekeee....
 
Sio wote wanawake wa mbagala na walokosa elimu.Mtu mwenye elimu yake hawezi kutembea na vinuka mkojo vya gym.Waswahi wanapenda kutiwa ovyo kama kuku

Jidanganye.
Wenye kuelimika ndiyo wanapenda hao mabazazi wenye kunuka Mikojo maana watawanyenyekea hapo upo!
 
Acha tugegedwe Gym na Wanaume wa mazoezi... unawezaje kuvumilia mfuga tumbo ambaye dk 5 yupo hoi???
 
waacheni wapate radha ya jim kiaina,mbona manesi wanapangiwa night shift hawalalamiki,na bado Dr.wanawatafuna,ma ps wa makazini kitumbua chaliwa kama kawa,in fact you are only safe at your own risk.
 
Maisha ya kunguru...akiamka asubuhi sinza kelele kwa sana huku akisogelea gabagge bin, ataokota kipande cha ukoko ukimstua anaruka nacho hadi manzese, pale ataona kifaranga kilichokufa ataachia ukoko na kukiokota..ataruka nacho hadi tandale akiwa akikidonoa tumbo ..kule atoana utumbo ataachia kifaranga na kudaka utumbo, kwa kuwa pale kuna familia nyingi za kunguru watamfukuza na atakimbia na utumbo wake hadi magomeni...katika pitapita ataona mbwa akiyegongwa na gari huku wenzie wakichangamkia minofu..naye atajiunga....yaani mpaka arudi sinza jioni keshapita mitaa yote ya dar

Haa haa...hii theory yako kiboko? Kama nimeelewa, na bado jioni akirudi sinza hajashiba...manake inaonekana kama ametupa kila alichookota.
 
Gym ya mke wangu ipo nyumbani. Atapiga push up,ataruka kichura, ata nyonga kiuno mpaka basi. Hakuna cha gym za mitaani wala nini!
 
haendi gym cas sina uwezo wa kumlipia bt nahisi kuna sehemu analiwa tu...sasa sijui gengeni, sijui akimfuata mtoto shule,,,aaaaah!! acha aliwe tu.
 
Confucius once said "he who makes a wh0re a housewife is a fool". Mwanamke akiwa kicheche atagongwa popote tu iwe gym, beach, kwenye gari etc. Mbona wengine wanagongwa lunch time vizuri tu na maisha yanaendelea. Sometimes it is best not to think about these scenario especially kama na wewe ni kiwembe manake unajua tactics zote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom