Gym si salama tena kwa wake zenu

Gym si salama tena kwa wake zenu

Sijui kwa nini watu wanashinda kuelewa au wanasahau sheria/kanuni za mahusiano. Hivi ni vigumu kujua kuwa kila sehemu yenye kukutanisha jamii moja kwa maja inakuwa ni fursa kwa maovu na yale yaliyo mema?

Na kama hiyo ni kweli, na pia kama tunaogopa wake/dada/mama/ndugu zetu wasitumie hizo fursa basi tuwafungie ndani na tusiweke mlinzi wa aina yoyote zaidi ya kuta za chuma. Hii itasaidia wale wenye maisha ya wasiwasi kuhakikisha wenzi au ndugu zao wa kike hawaendi kazini ua kwenye mkisanyiko ya aina yoyote. Pia wastumie viumbe (mfano mbwa) kwenye ulinzi kwani wanaweza kutumiwa vibaya!

Hayo ndiyo tunayoyataka kwa ajili ya wenzi and ndugu zetu wa kike??
 
Hapa mjini kila kitu na kila sehemu watu wanatumia kama fursa ya kugegedana, iwe saloon, iwe massage parlours... nk

Vijana wa mujini siku hizi wanagegeda wake zenu kwenye GYM, mke wako anaondoka asubuhi saa kumi na moja anachukua gari anasema anaenda gym kupunguza mwili kumbe anaenda kugegedwa.

Akifika mapemaaaaa, anagegedwa akimaliza anakuwa mwepesi, anachukua gari anarudi nyumbani.

Mda huo bado baba naniu umelala tu kitandani.

By: SUPU YA MAWE
Kila mtu anakula ofisini kwake!
 
Utafiti wako huu ndio wa kupatia Phd? No wonder education system is full of jokers! Nani kakwambia kugegedwa ni Gym peke yake? Wengine mnatokea dunia tofauti I guess!

Umekurupuka kabisaa!
 
Unachokichunga anatembea nacho mtu mwingine na wewe umekalia kuchunga.
 
mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:angry::angry::angry::angry::angry::angry:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom