KATASAN'KAZA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2013
- 3,097
- 1,356
Hapa mjini kila kitu na kila sehemu watu wanatumia kama fursa ya kugegedana, iwe saloon, iwe massage parlours... nk
Vijana wa mujini siku hizi wanagegeda wake zenu kwenye GYM, mke wako anaondoka asubuhi saa kumi na moja anachukua gari anasema anaenda gym kupunguza mwili kumbe anaenda kugegedwa.
Akifika mapemaaaaa, anagegedwa akimaliza anakuwa mwepesiiiiiiiiiiii, anachukua gari anarudi nyumbani. Mda huo bado baba naniu umelala tu kitandani.
Dr. MCHUNGUZI HURU (PhD)
Bwana philosofa huyo anakuwa na lake jambo! Uache rungu kitandani eti unatafuta fimbo mbali kuulia nyoka ata ukikuta nyoka kasepa umetaka mwenyewe. Na ujue ata bila gym angevizia umesafiri.
Last edited by a moderator: