Gwiji wa "negotiations" Palamaganda Kabudi kuongoza majadiliano dhidi ya Umoja wa Ulaya mkataba wa EPA

Mkuu Wakudada,
kiukweli kabisa, ingekuwa wale jamaa wanafanya I.Q test kwenye verting kabla ya teuzi mbalimbali za rais, wakiwemo mawaziri na manaibu, naamini kuna watu ambao sasa ni mawaziri na manaibu, wangeishia kuusikia tuu huo uwaziri na unaibu, maana kiukweli kabisa baadhi ya wengine wao, wana ma vyeti makubwa Ila in reality, upstairs ni weupe kabisa.

Kusema economic benefits ni sehemu ya profits, ni uthibitisho hata wewe inahitaji kusaidiwa upande wa lugha. It's the other way around, profits ndio sehemu ya economic benefits, not the other way around.

Pole.

Ili kulimaliza hili, natumaini ulimsikia Prof. akimzungumzia hilo, kama hukubahatika kumsikia, tembelea hapa
Je, wajua kuna uwezekano Barrick wanatuingiza mkenge?!. Hili la kugawana 50/50 ya faida ni kweli au ni changa la macho tu?. - JamiiForums
P.
Tufanye hivi Paskali wewe ungefanyia nini Tanzania katika nafasi ya uwaziri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda wakuchukue wewe. Sikutegemea kama unaweza kuandika upuuzi huu. Hivi wewe na Kabudi nani anayeimudu vyema hiyo lugha?!
Mkuu Gag, hizi ni lugha za watu, na wala sijasema wanichukue mimi, nimeshauri kwenye government negotiating team, kuwepo mtaalamu lugha.

Kunilinganisha mimi na Prof. Kabudi ni sawa na kulinganisha tembo na sisimizi, ila kwenye lugha angalau mimi naelewa kuwa economic benefits sio profits, profits ni inclusive.

Kuwa Professor wa fani fulani, sio lazima uwe proficiency in the English language, sote tunashuhudia jinsi lugha za watu zinavyotatiza baadhi ya viongozi wetu wakiwemo Ph.D holders ambao wamefanya thesis zao kwa kiingezeza.

Kwa kumalizika, nikuulize wewe, baada ya kukubalia tutagawana 50/50 ya economic benefits, lakini sisi tukatangaziwa ni 50/50 ya net profits,
Is it right?.
Tatizo ni nini, jee ni kutokujua tofauti ya economic benefits na profits au ni lugha tuu?.
Je, wajua kuna uwezekano Barrick wanatuingiza mkenge?!. Hili la kugawana 50/50 ya faida ni kweli au ni changa la macho tu?. - JamiiForums
P
 
Mkuu Gag, hizi ni lugha za watu, na wala sijasema wanichukue mimi, nimeshauri kwenye government negotiating team, kuwepo mtaalamu lugha.

Kunilinganisha mimi na Prof. Kabudi ni sawa na kulinganisha tembo na sisimizi, ila kwenye lugha angalau mimi naelewa kuwa economic benefits sio profits, profits ni inclusive.

Kuwa Professor wa fani fulani, sio lazima uwe proficiency in the English language, sote tunashuhudia jinsi lugha za watu zinavyotatiza baadhi ya viongozi wetu wakiwemo Ph.D holders ambao wamefanya thesis zao kwa kiingezeza.

Kwa kumalizika, nikuulize wewe, baada ya kukubalia tutagawana 50/50 ya economic benefits, lakini sisi tukatangaziwa ni 50/50 ya net profits,
Is it right?.
Tatizo ni nini, jee ni kutokujua tofauti ya economic benefits na profits au ni lugha tuu?.
Je, wajua kuna uwezekano Barrick wanatuingiza mkenge?!. Hili la kugawana 50/50 ya faida ni kweli au ni changa la macho tu?. - JamiiForums
P
Paskali usioneshe udhaifu wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuwa Professor wa fani fulani, sio lazima uwe proficiency in the English language, sote tunashuhudia jinsi lugha za watu zinavyotatiza baadhi ya viongozi wetu wakiwemo Ph.D holders ambao wamefanya thesis zao kwa kiingezeza.
P
Nitashangaa sana kama kuna TA, achilia mbali Professor wa sheria UDSM mwenye matatizo na lugha ya kiingereza, unalijua vyema hili.

Hao PhD holders wa fani zingine hizo wala haishangazi, ufaulu wa kiingereza sekondari halikuwa hitaji muhimu sana katika kusoma shahada zao, labda kama mambo yamebadilka siku hizi.
 
To be honest, sijawahi kuwaza kishika nafasi yoyote. Tangu shule, primary secondary, hadi chuo, I have always been a back bencher hata u class monitor sijawahi kushika, hivyo nikipewa nafasi yoyote nitachemsha.
P
Wanasema ulikuwa mtu mnene Ilboru, teh teh teh...
 
Nitashangaa sana kama kuna TA, achilia mbali Professor wa sheria UDSM mwenye matatizo na lugha ya kiingereza, unalijua vyema hili.

Hao PhD holders wa fani zingine hizo wala haishangazi, ufaulu wa kiingereza sekondari halikuwa hitaji muhimu sana katika kusoma shahada zao, labda kama mambo yamebadilka siku hizi.
Dah upo nyuma sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namheshimu sana Pascal lakini kusema kweli kaniudhi sana, sikutegemea comment ya kipuuzi kama ile toka kwake. Kama ni whisky bado iko kichwani basi namsamehe teh teh teh...
Mkuu Gagi, kama unaniheshimu, ninamini ni heshima kutokana na michango yangu humu, JF na principle yangu kuu humu ni tell nothing but the truth.

Tatizo lenu ni kuchagua only the truth you want to hear, ukisikia the truth you don't want to hear, unaudhika, unakereka. Swali ni jee, nilichokisema ni true?, If not niambie niombe msamaha fasta.
Hii comment ya kujumuisha mtaalamu lugha ya Kizungu ina upuuzi gani?, wakati it has been proved beyond reasonable doubt kuwa lugha ni tatizo sana kwenye mediations na negotiations.

Kwako mtu akiwa Ph. D ndio bingwa wa lugha, ubingwa gani wa economic benefits kuita ni profits?.

Au nawe Gagi umejiunga na kundi la waabudu watu, hivyo ikitokea mmoja wa waabudiwa hawa amekosolewa unakasirika as if Mungu amekufuriwa?.
What is the problem na comment yangu hiyo ya lugha?, ili kama ni kweli nimekosea, niombe msamaha.
P
 
Namheshimu sana Pascal lakini kusema kweli kaniudhi sana, sikutegemea comment ya kipuuzi kama ile toka kwake. Kama ni whisky bado iko kichwani basi namsamehe teh teh teh...
Mkuu Gagi, kama unaniheshimu, ninamini ni heshima kutokana na michango yangu humu, JF na principle yangu kuu humu ni tell nothing but the truth.

Tatizo lenu ni kuchagua only the truth you want to hear, ukisikia the truth you don't want to hear, unaudhika, unakereka. Swali ni jee, nilichokisema ni true?, If not niambie niombe msamaha fasta.
Hii comment ya kujumuisha mtaalamu lugha ya Kizungu ina upuuzi gani?, wakati it has been proved beyond reasonable doubt kuwa lugha ni tatizo sana kwenye mediations na negotiations.

Kwako mtu akiwa Ph. D ndio bingwa wa lugha, ubingwa gani wa economic benefits kuita ni profits?.

Au nawe Gagi umejiunga na kundi la waabudu watu, hivyo ikitokea mmoja wa waabudiwa hawa amekosolewa unakasirika as if Mungu amekufuriwa?.
What is the problem na comment yangu hiyo ya lugha?, ili kama ni kweli nimekosea, niombe msamaha.
P
 
Hilo halihitaji kumulika na torch
Asante kwa taarifa, nashauri kwenye our negotiation team pawepo na Mtaalam wa lugha ya English maana...
Kama economic benefits ndio profits, then what next?.
NB. Naomba tusichanganye usomi na ubobevu na English language proficiency, mtu unaweza kuwa a Ph.D holder na umefanya thesis yako in English na kufaulu vizuri, lakini bado lugha ikagomba na ushahidi tunao.
P

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu,

Baada ya Profesa Palamaganda Kabudi kuongoza majadiliano dhidi ya Barrick kwa mafanikio sasa ni zamu ya Umoja wa Ulaya kupata tabu.

Naam mjadala kuhusu mkataba wa EPA sio diplomasia tu kama wengi wanavyofikiri badi ni mitego katika vipengele vya mkatana huo amnavyo usipong'amua vinakukaba.

Wengi wanadhani uanadiplomasia not kutabasamu na kuzidhisha nchi za nje hususani za magharibi la hasha Diplomasia ya sasa ni ujanja na maarifa ndio maana akia Pompeo wanafeli na kuamua kutumia vitisho dhidi ya Korea Kaskazini.

Diplomasia si kubembeleza bali ni kujadiliana na kupata kilichostahili yako hata kama mwenzio atachukia.

Ni matarajio yangu kwamba Prof.Kabudi na timu yake watatuletea ushindi katika hili na mengine mengi.

Mungu ibariki Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
All the best

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnawapa Majina makubwa na Sifa kede wa kede lakini Matokeo yake hayalingani kabisa na mrundikano wa Sifa mnazo wapa hawa Watawala.Ya Makinikia ni mfano mzuri usio na Mswali.
Zzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz
 
Ndugu zangu,

Baada ya Profesa Palamaganda Kabudi kuongoza majadiliano dhidi ya Barrick kwa mafanikio sasa ni zamu ya Umoja wa Ulaya kupata tabu.

Naam mjadala kuhusu mkataba wa EPA sio diplomasia tu kama wengi wanavyofikiri badi ni mitego katika vipengele vya mkatana huo amnavyo usipong'amua vinakukaba.

Wengi wanadhani uanadiplomasia not kutabasamu na kuzidhisha nchi za nje hususani za magharibi la hasha Diplomasia ya sasa ni ujanja na maarifa ndio maana akia Pompeo wanafeli na kuamua kutumia vitisho dhidi ya Korea Kaskazini.

Diplomasia si kubembeleza bali ni kujadiliana na kupata kilichostahili yako hata kama mwenzio atachukia.

Ni matarajio yangu kwamba Prof.Kabudi na timu yake watatuletea ushindi katika hili na mengine mengi.

Mungu ibariki Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
Gwiji wakati ya makinikia yamemshinda??
 
Ushirikiano na nchi E.A bado hatujaafikiana kisawasawa katika biashara je swala la EPA ndio tutafanikiwa?.Je Tanzania kujitoa MIGA je ulioni kuwa laweza kuwa kikwazo wawekezaji wa nje kuja Tanzania kuwekeza katika viwanda,pakitokea disputes wawekezaji wa nje waweza kukubali kusuruhishwa na Mahakama za ndani(Arbitration) badala mahakama za nje
 
Back
Top Bottom