Gwiji wa "negotiations" Palamaganda Kabudi kuongoza majadiliano dhidi ya Umoja wa Ulaya mkataba wa EPA

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Ndugu zangu,

Baada ya Profesa Palamaganda Kabudi kuongoza majadiliano dhidi ya Barrick kwa mafanikio sasa ni zamu ya Umoja wa Ulaya kupata tabu.

Naam mjadala kuhusu mkataba wa EPA sio diplomasia tu kama wengi wanavyofikiri badi ni mitego katika vipengele vya mkatana huo amnavyo usipong'amua vinakukaba.

Wengi wanadhani uanadiplomasia not kutabasamu na kuzidhisha nchi za nje hususani za magharibi la hasha Diplomasia ya sasa ni ujanja na maarifa ndio maana akia Pompeo wanafeli na kuamua kutumia vitisho dhidi ya Korea Kaskazini.

Diplomasia si kubembeleza bali ni kujadiliana na kupata kilichostahili yako hata kama mwenzio atachukia.

Ni matarajio yangu kwamba Prof.Kabudi na timu yake watatuletea ushindi katika hili na mengine mengi.

Mungu ibariki Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu,

Baada ya Profesa Palamaganda Kabudi kuongoza majadiliano dhidi ya Barrick kwa mafanikio sasa ni zamu ya Umoja wa Ulaya kupata tabu.

Naam mjadala kuhusu mkataba wa EPA sio diplomasia tu kama wengi wanavyofikiri badi ni mitego katika vipengele vya mkatana huo amnavyo usipong'amua vinakukaba.

Wengi wanadhani uanadiplomasia not kutabasamu na kuzidhisha nchi za nje hususani za magharibi la hasha Diplomasia ya sasa ni ujanja na maarifa ndio maana akia Pompeo wanafeli na kuamua kutumia vitisho dhidi ya Korea Kaskazini.

Diplomasia si kubembeleza bali ni kujadiliana na kupata kilichostahili yako hata kama mwenzio atachukia.

Ni matarajio yangu kwamba Prof.Kabudi na timu yake watatuletea ushindi katika hili na mengine mengi.

Mungu ibariki Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabudi is a FAILURE.. Acha kusifia upumbavu..
Aliongea huku akirusha mate kwa walio karibu nae kwamba Serikali inalipwa na Barrick.imelipwa??
Weka hapa mifano ya negotiations ambazo Kabudi amezifanya successfully.
 
Prof Kabudi kama Waziri wa Sheria kazalisha sheria mbovu ikiwemo ya vyama siasa na Uhuru wa habari.

Sasa leo ukimpatia sifa ya Gwiji wa majadiliano nabaki nashangaa kama si kusikitika.
Amekuambia ni Gwiji wa Majadiliano, hajasema kua ni Gwiji wa kushinda hiyo Mijadala. So perhaps anamaanisha ni Gwiji wa kuhudhuria majadiliano mbalimbali regardless anashinda hiyo mijadala ama lah
 
Asante kwa taarifa, nashauri kwenye our negotiation team pawepo na Mtaalam wa lugha ya English maana...
Kama economic benefits ndio profits, then what next?.
NB. Naomba tusichanganye usomi na ubobevu na English language proficiency, mtu unaweza kuwa a Ph.D holder na umefanya thesis yako in English na kufaulu vizuri, lakini bado lugha ikagomba na ushahidi tunao.
P
 
@wakudadavua unapoandika jambo, think first hadhira itapata ujumbe gani. Hapa ujumbe unaotaka kutupa sisi wasomaji ni kwamba aliyekuwa waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa EA alikuwa akitabasamu na kuwaridhirisha nchi za magharibi ndo maana akabadilishwa wizara. Hii ni kebehi na kejeli kwa Dr. Mahiga tena kejeli kutoka ndani ya serikali ileile ambapo yeye ni waziri. Mambo ya ajabu haya.

By the way Tanzania haijawahi kutumia masoko ya Agoa na epa ipasavyo si kwa sababu ya masharti magumu bali ni kwa sababu kama taifa hatujajipanga kutumia fursa hizo. Tujipange kuwa taifa la watu wenye vision badala ya watu wahuniwahuni na wenye kejeli kama wewe.
 
Back
Top Bottom