Moldova yaungukia Umoja wa Ulaya(EU) kwa hofu ya Urusi

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
37,564
46,110
Moldova taifa dogo lilo kati ya Ukraine na Romania limeungukia umoja wa ulaya(EU) likiitaka jumuiya hiyo kwa msisitizo mkubwa sana kuharakisha kupokelewa kwa maombi yao ya kujiunga katika umoja huo.

Taifa hilo linaamini kuingia katika Umoja wa Ulaya itakuwa ndio salama yake dhidi ya kitisho cha uvamizi na vurugu za uasi kutoka Urusi. Taifa la Urusi linaunga mkono uasi katika jimbo la Transnistria ambalo lilijitangaza kujitenga na Moldova lakini bado linatambuliwa na jumuiya ya kimataifa kama bado ni sehemu ya Moldova.
 
Maajabu haya duniani,hao anaowaomba msaada washatumbukia kwenye shimo reeeefu.

Dj Putin walete!!!
20230411_222939.jpg
 
nato wanataka kuizunguka kalinngrad ....sasa urusi lazima aidondokee moldovani ili kupata njia ya kuiendea kaliningrad..
 
Kizazi na Historia itakuja mlaamu sala Zelensky...alivyoitumbukiza nchi yake na anavyotumika na USA + west.

Anabaki tu akizurura ulaya ...ni kama Russia ameamua kuharibu infrastructure za Ukraine...
 
Kizazi na Historia itakuja mlaamu sala Zelensky...alivyoitumbukiza nchi yake na anavyotumika na USA + west.

Anabaki tu akizurura ulaya ...ni kama Russia ameamua kuharibu infrastructure za Ukraine...

Well as if russia wana haki ya kuvamia nchi nyingine na kuwachagulia marafiki. Russia si msafi pia kwenye hili
 
Kizazi na Historia itakuja mlaamu sala Zelensky...alivyoitumbukiza nchi yake na anavyotumika na USA + west.

Anabaki tu akizurura ulaya ...ni kama Russia ameamua kuharibu infrastructure za Ukraine...
Zelensky na Ukraine wameingiaje kwenye uzi mbona naona uzi umetaja Moldova na Russia
 
Kizazi na Historia itakuja mlaamu sala Zelensky...alivyoitumbukiza nchi yake na anavyotumika na USA + west.

Anabaki tu akizurura ulaya ...ni kama Russia ameamua kuharibu infrastructure za Ukraine...
Hv una akili timamu wewe ? Ndio maana Afrika hatupig hatua tuna mijitu ina akili za kishoga yaan umevamiwa na unataka ampe na tackle kbs ? Watu weus bure kbs
 
Back
Top Bottom