Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,287
- 10,684
Wakitoka hapo kimyaaaaYaleyale ya makamba, kinana , nape
Wakitoka hapo kimyaaaaYaleyale ya makamba, kinana , nape
Watimuliwe tu wahuni hawa,
Kazi kuchanganya diji na siasa
Hawaelewi tu?
Kwani wewe na ukoo wako na uzao wako munafaidikaje wakiwepo?Halafu itasaidia kufufua sera ya viwanda?
Wewe binafsi na ukoo wako mtafaidikaje kwenye hilo?