Ndio!..Wakati mnalazimisha kumpa kura za hewa ili awe mbunge hamkujua kuwa anazo elements za kichadema za kumpinga hata Rais ?!. Na jana mama amejibiwa huko Tageta kuwa hawachanji
Hakuitwa kwa kuwa ulikuwa ni mchango ndani ya Bunge . Ujue hawa wameongea nje ya BungeHussein Bashe naye aliitwa mbele ya hiyo Kamati au ilikuwaje?
Kiburi chake kilimfikisha wapi ?! 6ft underNdio!..
Watu wanamuelewa sana rais wao aliepita! Hawachanji!!
Mbatizaji kumbe una macho ya mbali! Hongera. Hao sio wajinga kwenda Chadema walikuwa huko zamani kwa hiyo waijua Chadema vyema labda Jerry Slaa.Najua Chadema mimacho kodo mnasubiri watimuliwe waje kwenu.
Mtasubiri sana!
UONGO!!!! aWatu wote pale Tegeta walijibu WATACHANJA! Acheni uongo wa mchana mchana kila mtu alisikia majibu ya wana Tegeta - kuwa watachanja. Sasa nyie akina TOBO mnataka kuyabadilisha humu JF. Acheni uongo!Wakati mnalazimisha kumpa kura za hewa ili awe mbunge hamkujua kuwa anazo elements za kichadema za kumpinga hata Rais ?!. Na jana mama amejibiwa huko Tageta kuwa hawachanji
Kwamba waliokufa wote ni kiburi?Kiburi chake kilimfikisha wapi ?! 6ft under
acha utotoAskofu Rashid ana watu wajinga.
Polepole hana watu labda misukule
Jerry hana hoja labda viroja
Katika vitu vimenishangaza kwenye siasa za nchi hii ni mbinu zilizotumika kuufunga plasta mdomo wa huyu BintiHalima ametulia tuli
Hakuna mkate mgumu mbele ya chaiKatika vitu vimenishangaza kwenye siasa za nchi hii ni mbinu zilizotumika kuufunga plasta mdomo wa huyu Binti