Gwajima is a whistle blower

Jitoe ufahamu mpaka uwe dc
 
hawa jamaa wana calculation za kijinga sana.

sidhani kumkamata na kumweka ndani gwajima,italeta hofu kwa wanao hoji uhalali wa elimu ya ndg. daudi bashite aka paul makonda,bali itawapa kiburi zaidi cha kuendelea kukazia hoja zao.
Siamini kama kwa askofu hakuna chumba cha spare kuwalaza hao wageni na chakula cha kuwalisha mpaka wamtoe ndani.
 
Tena ndio wanatufanya tuzidi kufuatilia swala hili, tunae tu Daudi Bashite hata akiombewa na sisi tunaomba dua zetu.
Kuna tofauti kati ya mungu bahari ma Mungu wa Elia. Waache waendelee kumdanganya vyeti havitabadilika ng'o
 
Kwani yule ana dhiki kama wewe????mwache atumie pesa zake kwa maslahi ya taifa.anampa sapoti ******** kupambana na vyeti feki
 
Mkuki kwa nguruwe eee. Wakati Bashite anaropoka majina ya watu ovyo hadharani mbona hukuja kutema uji wako hapa. Tunachotaka ni vyeti bla bla hatutaki kusikia.
 
Hawa viongozi wa dini nao wanapelekwa pelekwa kweli na Davido.Au kwa kuwa misikiti na makanisa yao yapo kwenye mkoa wake?
Hao wazee Wa ccm,hata wewe waweza nunua kanzu ukaivaa ukapiganae picha eti mm sheikh namuombea dua.njaaa mbayaaa
Bashite atamshikilia gwiji Gwajima hadi lini?
NBashite anajaribu kizima moto kwa petroli

You have no expertise in recognising the legal evidence, so dont ask for it, or if you can use your brain to atleast 0.5 percent of its capability then every piece of the puzzle is starting to come on its place beautifully!!
 
Mwambieni huwezi kutumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja, Adhana uwe msikitini na kengele zikilia uite Bwana Yesu.
Inawezekana kutumikia mabwana wawili sharti uwe kichaa yani mgonjwa wa akili
 
kama kweli kuna viongozi ngazi ya uwaziri au RC wana vyeti feki, ina maana kukesha usiku kucha kwa mamlaka za uteuzi wakati wa mchakato wa kuwapata kulikuwa ni kiini macho? au huko kukesha hakukuwepo?
 
Makonda weka vyeti vyako hadharani.

Ongezea na cheti cha clinic.
Tunataka majina yawe bayana.
 
Nchi imetekwa nyara watz tunashanga
 


 
Kwani yule ana dhiki kama wewe????mwache atumie pesa zake kwa maslahi ya taifa.anampa sapoti ******** kupambana na vyeti feki
Umeliona suala la Utajiri/Umaskini tu..?
Anyway naona maneno ya Emmanuel Mbasha yanaanza kutimia
 
Watawala wanatumia nguvu nyingi sana kuzima moto wa bashite
 
Hyo whistle ndo akaipigie central sasa, you can't compete with the government
 
Akili zao ni kama za mbuni kuficha kichwa kwenye mchanga kisa kaona hatari,

Kumkamata gwajima sio suluhisho ya kutohoji vyeti feki ya malaika yule

Nina uhakika hakuna yyt hapa Tz kwenye hii serikali atakaejaribu kumgusa mtoto yule mpk bwana yule aamue
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…