KUCHITIMBO1970
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 482
- 221
Hii nchi ina wapumbavu wengi sana,kanisa lifungwe kwa lipi?.
Yeye ni mchungaji unataka akaongelee mahala gani?.
Unataka akapande majukwaani kama wana siasa?.
Kwa nini hujasema akamatwe ili atoe ushahidi mbele ya mahakama?.
Inasemekana mheshimiwa hana cheti,Wewe unashabikia watu wasio kuwa na vyeti kuendelea na kazi na hali kuna watu wana vyeti wamejaa mitaani?.
Mtoa hoja una roho ya panzi,kuku,chura,mbuzi,paka au binadamu?.
TUNAHITAJI VYETI VYA MHESHIMIWA NA SIYO BLABLA.
Yeye ni mchungaji unataka akaongelee mahala gani?.
Unataka akapande majukwaani kama wana siasa?.
Kwa nini hujasema akamatwe ili atoe ushahidi mbele ya mahakama?.
Inasemekana mheshimiwa hana cheti,Wewe unashabikia watu wasio kuwa na vyeti kuendelea na kazi na hali kuna watu wana vyeti wamejaa mitaani?.
Mtoa hoja una roho ya panzi,kuku,chura,mbuzi,paka au binadamu?.
TUNAHITAJI VYETI VYA MHESHIMIWA NA SIYO BLABLA.