arab culture vs chaga cultureI don't wanna put more words. Just take a look at the picture and give your comments as far as Tanzanian context is concerned. Naonaga picture ukioa Haika wa Marangu...na ukioa Mwantumu wa Tanga jiandae kupata ladha tofauti jikoni.
Disclaimer: Sipondei wachaga wala wakaazi wa mkoa wa K'njaro wala sina upendeleo na Tanga. Ni mifano hai tu ili tuelewane.
Samahani atakayekwazika.View attachment 1179424
Nimeutamani huo muhindi wa kuchemshwa
Kashindwa kujifunza kwa mama yake miaka nenda rudi kipindi ambacho hakuwa na mambo mengi. Uje umfunze wakati huu anataka fb, whatsapp, jf, insta, twitter, kazi, watoto, mume (ambaye ndio wewe)?Mkuu unaruhusiwa kumfundisha mke wako namna nzuri ya kuandaa chakula unachokipenda...
Ishu inakuja labda kama ni mbishi hataki kujifunza..
Kuna kunguru hata umuwekee nini hatotengeneza chochote.Mkuu, Mfuko wako ndo utakupa unachokitaka. Hata nyama ya mtu utaipikiwa, ya ng'ombe utasagiwa na ya mbwa utarostiwa. Mfuko wako ndo ruksa yako si kabila. Hivyo vyakula vyote hununuliwa sokoni
Watu wanatofautiana malezi, wewe utaona hajui kupika yeye anajiona yuko vizuri kwa hiyo ni suala la kuelekezana mkuu..Kashindwa kujifunza kwa mama yake miaka nenda rudi kipindi ambacho hakuwa na mambo mengi. Uje umfunze wakati huu anataka fb, whatsapp, jf, insta, twitter, kazi, watoto, mume (ambaye ndio wewe)?