That's itTulipomuuliza kama anaumwa?akasema hapana ni bahati mbaya.ikabidi cleaners wafanye usafi,niliwahurumia sana kwa kweli,tukadhani labda mama yule wa kihindi kwa tendo la aibu alilofanya atachukua muda mrefu kurudi,lakini alikuja baada ya siku 2,yuko kawaida kabisa kama hakuna lililotokea.na hadi leo ana locker lake hapa.
Hahahahaaa! Kasie, mwana Kipalapala!Hiko ni choo cha umma au cha mtu binafsi? Au cha ofisi?
Washirikina wabaya sana, na ushirikina huanzia kwenye chuki. Mie mtu yeyote mwenye chuki bila sababu namuona mshirikina. Maana mtu akianza kumchukia mtu bila sababu au sababu zisizo za msingi kama wivu ndo huanza kufikiria. .... ngoja nimkomeshe. ... matokeo yake ndo hayo.... kukulisha mavi. ... kuwachezea familia yenu magonjwa..... usiku kuwachezesha chagulaga
Ukitaabika yeye nafasi yake kwatuu. ....utasikia. ... ndio ngoja nae akome alikuwa anajiskia sana kila siku anakaangiza tuu mitoto yake ina afyaa eeeh aipate na yeye ashinde hospitali kila mwezi.
Ushirikina mwanzo wake ni chuki..... jiepushe sana kuwa na chuki na watu unawezajikuta wewe ni mshirikina bila kujua.
Kasinde.... unyamwezini ndo kwetu. ...
Hv brother@mshana jr huyu mdudu huwa anaanzaje kutengeneza hilo gurudumu? Na je huwa ni chakula ama ni mchezo anafanya maana pamoja na kuwa ameliviringisha namna hiyo, ikifika muda wa kulisafirisha anarudi kinyumenyume. Huwa nawaza sipati jibu.Habari bila picha ni sawa na mboga bila viungo vyote lakini mmh kwa habari hii picha zake zinaweza kuchafua hali ya hewa basi walau ngoja niweke hiiView attachment 359183
Ndio maana ile sehemu ya kutolea kinyesi ni kharamu kubwa kuitumia kama sehemu ya starehe za kingon...ile dhambi ile husimamisha jua na hata shetani akiona hicho kitendo hutimua mbio
Ni kuku pekee ambaye ameruhusiwa kutumia sehemu hiyo kwa mambo yote
Haja kubwa
Haja ndogo
Mapenzi
Uzazi
Naomba nifafanue kidogo hapa kuhusu huo ushirikina
1.kinyesi kinachopakazwa kwenye kuta lengo lake ni kuitia nyumba gundu ujenzi usiendelee
2. Kile cha Kuwekwa getini au mlangoni aidha kinamlenga atakayeanza kutoka au mlengwa aliyetajwa kwa jina kwenye huo ushirikina
Kumbuka mada ya malango na ile ya nafsi katika utambulisho
Hv brother@mshana jr huyu mdudu huwa anaanzaje kutengeneza hilo gurudumu? Na je huwa ni chakula ama ni mchezo anafanya maana pamoja na kuwa ameliviringisha namna hiyo, ikifika muda wa kulisafirisha anarudi kinyumenyume. Huwa nawaza sipati jibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna kipindi niliwahi kukuta kinyesi kwenye makochi ya kukalia na kinyesi chenyewe ni chapaka
nikamwambia ndg yangu paka wa kawaida akinya anafukia iweje huyu kanya kwenye makochi
au ndiyo mapaka ya mjini
cku nyingine nikakuta panya kanya juu ya kitanda na inaonekana Yule panya alikua cjui panya buku
yaani nyumba za kupanga full majanga
Mshana jr naomba njia ya kumkomesha au kum deadisha kabisa mtu ambaye anafanya kitendo hicho maana leo nimekuta mlangoni kabisa af cjakitoa hadi saiz toka asubuhi na sio mara moja hii mara ya tatu
Ckupingi Dactari Mshana, Yaani wanga wanavituko wewe na kama huna kinga wanakuonea balaa, hapo nilipokuwa nimepanga tulipanga mmama wa kigoma na alikuwa wanae wa3Michezo ya wanga hiyo na hivyo vinyesi ni vya BINADAMU
Jr
Ckupingi Dactari Mshana, Yaani wanga wanavituko wewe na kama huna kinga wanakuonea balaa, hapo nilipokuwa nimepanga tulipanga mmama wa kigoma na alikuwa wanae wa3
Yaani ilifika kipindi anawanga mchana kweupe na walikua wanajigeuza paka mara panya kisha wanaingia kwenye vyumba vya watu, huko kufarakanisha ndiyo usiseme yaani mnakaa cku 2 yatatu unakuta hamuelewani na ukiangalia kosa hata halieleweki
Yaani nyumba za kupanga full majanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Vip kwa nyokaNdio maana ile sehemu ya kutolea kinyesi ni kharamu kubwa kuitumia kama sehemu ya starehe za kingon...ile dhambi ile husimamisha jua na hata shetani akiona hicho kitendo hutimua mbio
Ni kuku pekee ambaye ameruhusiwa kutumia sehemu hiyo kwa mambo yote
Haja kubwa
Haja ndogo
Mapenzi
Uzazi
Da...ila kwa sasa unavoshabikia hilo tundu na kuhimiza wanaume walitumie ili wanawake wao wapate shepu umesahau kuwa ni haramu?Ndio maana ile sehemu ya kutolea kinyesi ni kharamu kubwa kuitumia kama sehemu ya starehe za kingon...ile dhambi ile husimamisha jua na hata shetani akiona hicho kitendo hutimua mbio
Ni kuku pekee ambaye ameruhusiwa kutumia sehemu hiyo kwa mambo yote
Haja kubwa
Haja ndogo
Mapenzi
Uzazi