Masaki
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,463
- 753
Mbona hata zile za kanisa kule uhuru hostel moshi, msimbazi centre, mbagala spiritual na hata TEC Kurasini watu wanamegana kama kawa! Mtu unajiandikisha peke yako, halafu mkitoka dinner mnaingia wawili kunako room, hakuna anayeuliza wala nini. Hiyo geresha tu.
Baelezee bandugu baelewe! Tatizo hapa Tanzania sheria zote huwa zinaleta mianya mipya ya rushwa!