Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,151
Nimejaribu kuwaza sanaa
Nimejaribu kufuatilia vifo mbalimbali Tanzania na nchi jirani yaani ukisikia vifo vya guest 💯 ni wanaume
Nimewaza hizi guest zina nini na sisi??
Hivi majuzi tu padre mmoja Kenya kafia guest akila kondoo wake
Huko Kaskazini n balaa wazee wanafia guest inabaki kuwa siri kwa kuwa wachaga hatujazoea umbea
Yaani tujiulize mara mbili mbili wapendwa mnapoenda lodge hakikisheni mna chumvi ya mawe na kivumbazi hata yale majini yakikupitia yanarudi yalipotoka.
Nimejaribu kufuatilia vifo mbalimbali Tanzania na nchi jirani yaani ukisikia vifo vya guest 💯 ni wanaume
Nimewaza hizi guest zina nini na sisi??
Hivi majuzi tu padre mmoja Kenya kafia guest akila kondoo wake
Huko Kaskazini n balaa wazee wanafia guest inabaki kuwa siri kwa kuwa wachaga hatujazoea umbea
Yaani tujiulize mara mbili mbili wapendwa mnapoenda lodge hakikisheni mna chumvi ya mawe na kivumbazi hata yale majini yakikupitia yanarudi yalipotoka.