Not kwa Tanzania hii inayoghushi hadi muhuri wa IKULU!! Vingeghushiwa tu !! tena nafikiri ndio ingekuwa biashara inayolipa kuliko zoteKwa mtindo huu Tanzania bila ukimwi ingewezekana.
Nani alikudanganya guest house ndiyo sehemu pekee watu wanamegana?Kwa mtindo huu Tanzania bila ukimwi ingewezekana.
Do walau ingelipunguza hizi speed tulizo nazo! Duh!
Si umeonae?Dah mkuu hang over hata Bajaj nazo zingekuwa na tinted.
Nakupata mzee wa tinted for privacy
Halafu maskini zao, hivi ni nani atavihakiki hivyo vyeti vya ndoa? Havina picha ya wanandoa. Ni rahisi sana mzee mzima Fidel ukatoa fotokopi cheti cha ndoa cha Geoff ikawa ndiyo kibali chako cha kuwamega wake za watu kwenye guest hiyo hiyo yenye hilo tangazo.................
Hehehehe!Hahahaha nina safari ya Zenji kule bila hilo gamba hulali na kidoshi itabidi jamaa aniazime nitoe fotocopi.
Kwani wanavilinda vyumba? Si mnachukua vyumba viwili, halafu mmoja anahamia kwa mwenzake kinyemela?
Hehehehe!
Akikubania washa tuk tuk ukuje nikuazime cha kwangu!
Kwani wanavilinda vyumba? Si mnachukua vyumba viwili, halafu mmoja anahamia kwa mwenzake kinyemela?