Guest/Lodge Mwanza

Guest/Lodge Mwanza

Lala Mipa hotel town 50000-70000 wahi na daladaka alfajiri au hapo nyegezi mlango wa kuingia stendi kuna barabara inachepuka kushoto ifate hiyo utakuta Kilimanjaro hotel 20000 lkn wanapenda sana short time au lala buzuruga QS executive lodge 15000 tu ulinzi wa kutosha au nenda mfutakamba 15000.
 
Lala Mipa hotel town 50000-70000 wahi na daladaka alfajiri au hapo nyegezi mlango wa kuingia stendi kuna barabara inachepuka kushoto ifate hiyo utakuta Kilimanjaro hotel 20000 lkn wanapenda sana short time au lala buzuruga QS executive lodge 15000 tu ulinzi wa kutosha au nenda mfutakamba 15000.
Mipa pako poa,kilimanjaro ukikuta kuna promosheni ya bia siku hio au bendi inapiga hulali siku hio kwa makelele ya mziki wao.
 
Mipa pako poa,kilimanjaro ukikuta kuna promosheni ya bia siku hio au bendi inapiga hulali siku hio kwa makelele ya mziki wao.
Mipa pako poa sana huwa naenjoy bufee ya breakfast yao ilivyo full lkn pia vizano nao wako vizuri kwa msosi ila vyumbani hapalipi G&G nao kidogo sana au Kingdom hata hao nao wako vizuri kwa ujumla lodge za nyegezi siyo nzuri kiviile.

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 
Mipa pako poa sana huwa naenjoy bufee ya breakfast yao ilivyo full lkn pia vizano nao wako vizuri kwa msosi ila vyumbani hapalipi G&G nao kidogo sana au Kingdom hata hao nao wako vizuri kwa ujumla lodge za nyegezi siyo nzuri kiviile.

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Nyegezi kule lodge ni kwa ajili ya wasafiri tu nadhani, yani mambo ya luxury huku hakunaga.,Zamani hapo millenium hotel palikua na afadhali ila sa hivi choka mbovu.G&G napendaga tu kunywea bia pale.Kingdom pale pa kistaarabu pako safi sana pale
 
Nyegezi kule lodge ni kwa ajili ya wasafiri tu nadhani, yani mambo ya luxury huku hakunaga.,Zamani hapo millenium hotel palikua na afadhali ila sa hivi choka mbovu.G&G napendaga tu kunywea bia pale.Kingdom pale pa kistaarabu pako safi sana pale
Halooo umenikosha,nahama Mipa kipindi hiki nitafikia kingdom sijawahi lala hapo

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 
Sisi wanaume tunanyenyekea sana kwa wanawake ,ili kusudi tuwezee kufaidi kale ka mchezo cha usiku
 
Kwani maana ya Jf ni nini?
Wenye kuzijua wamejibu, ulitaka nifike pale na mamizigo nianze kutanga tanga kutafuta lodge?
Kwaleo tuishie hapa
Pole kuna wengine wanatoa stress zao humu,nikuwapuuza.Karibu Mwanza.
 
Back
Top Bottom