princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,655
- 19,271
- Thread starter
- #81
Kuja huku ,labda nipate mdhaminiok basi tutafutane next time bana sio vizuri unakuja harakaharaka jamani.
peke yangu siwezi garama laki2


safari hii mdhamini mama
Kuja huku ,labda nipate mdhaminiok basi tutafutane next time bana sio vizuri unakuja harakaharaka jamani.


Aisee huo Ndo uzuri wa Mwz,maisha ni affordabla sana.Wana lodge nzuribei chee
hapa dar unaambiwa25
Mipa pako poa,kilimanjaro ukikuta kuna promosheni ya bia siku hio au bendi inapiga hulali siku hio kwa makelele ya mziki wao.Lala Mipa hotel town 50000-70000 wahi na daladaka alfajiri au hapo nyegezi mlango wa kuingia stendi kuna barabara inachepuka kushoto ifate hiyo utakuta Kilimanjaro hotel 20000 lkn wanapenda sana short time au lala buzuruga QS executive lodge 15000 tu ulinzi wa kutosha au nenda mfutakamba 15000.
Mipa pako poa sana huwa naenjoy bufee ya breakfast yao ilivyo full lkn pia vizano nao wako vizuri kwa msosi ila vyumbani hapalipi G&G nao kidogo sana au Kingdom hata hao nao wako vizuri kwa ujumla lodge za nyegezi siyo nzuri kiviile.Mipa pako poa,kilimanjaro ukikuta kuna promosheni ya bia siku hio au bendi inapiga hulali siku hio kwa makelele ya mziki wao.
Sijapapata, niko zangu RocaAu njoo double A karibu na hom kwangu ili tupige story
Nyegezi kule lodge ni kwa ajili ya wasafiri tu nadhani, yani mambo ya luxury huku hakunaga.,Zamani hapo millenium hotel palikua na afadhali ila sa hivi choka mbovu.G&G napendaga tu kunywea bia pale.Kingdom pale pa kistaarabu pako safi sana paleMipa pako poa sana huwa naenjoy bufee ya breakfast yao ilivyo full lkn pia vizano nao wako vizuri kwa msosi ila vyumbani hapalipi G&G nao kidogo sana au Kingdom hata hao nao wako vizuri kwa ujumla lodge za nyegezi siyo nzuri kiviile.
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Ndo maeneo yapi hayo?Sijapapata, niko zangu Roca
Halooo umenikosha,nahama Mipa kipindi hiki nitafikia kingdom sijawahi lala hapoNyegezi kule lodge ni kwa ajili ya wasafiri tu nadhani, yani mambo ya luxury huku hakunaga.,Zamani hapo millenium hotel palikua na afadhali ila sa hivi choka mbovu.G&G napendaga tu kunywea bia pale.Kingdom pale pa kistaarabu pako safi sana pale
Hahah ukipata Gap karibu mkuu,pa kistaarabu sana pale mkuu.We na inshu zako tu pale mkuuHalooo umenikosha,nahama Mipa kipindi hiki nitafikia kingdom sijawahi lala hapo
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Tarehe 29 June mkuu nitafute hapoHahah ukipata Gap karibu mkuu,pa kistaarabu sana pale mkuu.We na inshu zako tu pale mkuu

Hahah ntaikariri mkuu,nikiwa around tutachekiana tu chief.Tarehe 29 June mkuu nitafute hapo
ID yangu ni hii 1352 utaona kwenye shati![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
asante
Laki mojaPrince inakuaje unalala kwenye basi wewe ??!??
Hebu nenda hata Gold crest bhana siku hizi watu hawana hela utalala hata kwa laki moja.
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
afubasubuhi nipande ngorika...Pole kuna wengine wanatoa stress zao humu,nikuwapuuza.Karibu Mwanza.Kwani maana ya Jf ni nini?
Wenye kuzijua wamejibu, ulitaka nifike pale na mamizigo nianze kutanga tanga kutafuta lodge?
Kwaleo tuishie hapa
sio mjuzi wa rock cuty ,ila ukipta kumalija lodge,(main road) mbele kule kwenye kona ,kushoto kuna sheliNdo maeneo yapi hayo?