princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,655
- 19,271
- Thread starter
- #61
Dar si ndo homeAya. Mie Siko Mwanza. Ukija Dar Naomba Na Mimi Kupiga Chabo.
Dar si ndo homeAya. Mie Siko Mwanza. Ukija Dar Naomba Na Mimi Kupiga Chabo.
Mmhhh upo eneo gani kwan!? nije sasa hivi!!bidhaa yoyote utakayoikuta![]()
ndio Roca LodgeUmeshapata pa kujibanza mkuu?
Nakujandio Roca Lodge
ipo mbele kidogo mlimani ukipita Kumalija
hahahahNakuja
Umechelewa Boss. Joseverest ameshakuwahi eneo la tukio.Nakuja
Last tym ilikua 120,000 per dayGolden crest chumba kinaanzia bei gani mkuu?
karibu saana mwanza wala usihangaike na hivyo vi guest vya hapo stand ni pm utafika lini then mengine niachie mimi, hum jf si ndugu bana kwanini upate shida na sisi tupo my dada?Kwani tukiheshimiana kuna ubaya gani?
Nishakuja kujificha hapa Roca, nmepapenda sio pabaya kama homekaribu saana mwanza wala usihangaike na hivyo vi guest vya hapo stand ni pm utafika lini then mengine niachie mimi, hum jf si ndugu bana kwanini upate shida na sisi tupo my dada?

Shabaaaash!! Asante mkuu. Nitajipanga nikija Rock City. Japo nile kawikiendi hapo.Last tym ilikua 120,000 per day
bado upo hapo? mi nipo hapa diamond namalizia mvinyo wangu nikalaleNishakuja kujificha hapa Roca, nmepapenda sio pabaya kama home
ila kahela kananiuma sijui kwanini![]()
Karibu mkuu,bei za mwz hua za kawaida tu lkn cha ajab wanazifaidi ni kamaa nyie watu wa dar/Arusha.Shabaaaash!! Asante mkuu. Nitajipanga nikija Rock City. Japo nile kawikiendi hapo.
Wameshafunga geti la kuingilia wageni mkuu. Ufunguo anao meneja chumba cha uwani.bado upo hapo? mi nipo hapa diamond namalizia mvinyo wangu nikalale
Asante sana mkuu. Hakika nitakutafuta nikiwa huko unionyeshe kamji go.Karibu mkuu,bei za mwz hua za kawaida tu lkn cha ajab wanazifaidi ni kamaa nyie watu wa dar/Arusha.
Pale Malaika hotel kuna kipindi room ilikua mpk ya 170,000 inapatikana
Ukija karibu sana chief.Asante sana mkuu. Hakika nitakutafuta nikiwa huko unionyeshe kamji go.
nimekuja hapo diamond, ni ukitoka nyagezi ipo mkono wa kulia ,mita kadhaa mtaani nmeingia wakasema kumejaabado upo hapo? mi nipo hapa diamond namalizia mvinyo wangu nikalale
Wana lodge nzuriKaribu mkuu,bei za mwz hua za kawaida tu lkn cha ajab wanazifaidi ni kamaa nyie watu wa dar/Arusha.
Pale Malaika hotel kuna kipindi room ilikua mpk ya 170,000 inapatikana

bei cheenimekuja hapo diamond, ni ukitoka nyagezi ipo mkono wa kulia ,mita kadhaa mtaani nmeingia wakasema kumejaa