Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,728
Nani umefanikiwa kumtongoza huko mwanza hadi ameingia kingi jamani?





Mwanza lodge ya 20000 si ya hadhi ya chini ni zile za kati ... Chumba kizuri ,self contained, Ac na mazaga mengine ....Unalalaje Guest Ya 20k Au 15k. Mwishoni Utaishia Kupigwa Chabo Unavyooga. Hauna Mwenyeji??Pole Lakini Kama Huna Zaidi Ya Hiyo!
Nenda Gold Crest Hotel ipo kati kati ya jiji la mwanza,ni nzuri na yenye mandhari ya kuvutiaHabari
Kwa yoyote anaefahamu lodge ya garama ya Tzs 20000/15
anifahamishe ,maeneo ya Nyagezi Mwanza.
Ahsanteni
ninkweli unakuta lodge safi kabisa ambazo kwa dsm tunapigwa mpaka 35000Mwanza lodge ya 20000 si ya hadhi ya chini ni zile za kati ... Chumba kizuri ,self contained, Ac na mazaga mengine ....
THAMANI ya pesa inategemea na eneo utakapokwenda kuitumia
Kuna keza motel,inano motel na misana motel....keza na inano motel ni 12000 ni self na ina vitanda viwili usafi wa uhakika kabsa....misana ni 20000 huduma zake hazijatofautiana sana na keza+inano motel....zote hz zna parking kama una usafir bnafs na ulinzi ni wa uhakikaHabari
Kwa yoyote anaefahamu lodge ya garama ya Tzs 20000/15
anifahamishe ,maeneo ya Nyagezi Mwanza.
Ahsanteni
Le MutuzNenda Gold Crest Hotel ipo kati kati ya jiji la mwanza,ni nzuri na yenye mandhari ya kuvutia
Mzee wa Ku integrate umetisha1,333.33 sijui kama utapata.
Noma sanaWanawake Bhana Usikute Unataka Guest Ya 6000 Ila Umejikaza Tu Kuropoka Ya Gharama Ili Uonekane Matawi Ya Juu
Ukisikia mwanza maisha ni nafuu bhasi jua hiyo ni moja ya nafuu zake ...ninkweli unakuta lodge safi kabisa ambazo kwa dsm tunapigwa mpaka 35000
niko zangu jiji letu la fujoUkisikia mwanza maisha ni nafuu bhasi jua hiyo ni moja ya nafuu zake ...
lodge ya 20000 mwanza town huwezi kuikuta kwa bei hiyo hiyo dsm
enjoy uwepo wako huko ingawa umeshanikumbusha Rock city..jiji la wastaarabu

nililalia safari tu siku hioPamojaMzee wa Ku integrate umetisha
45,000#Hivi G&G ni bei gani kwa anayeijua
Miguu kumi ipo Nyakato mecco!!!!
Huo mtaa kuna lodge kibao .
Ukiamzia kona ya buzuluga unapita msalala guest house (kwa john nchembi) mwilu , neema , DV8, Bayachamo, unaingia Hanzi guest kwa Mashimba, unaenda mguu kumi . Unatokezea promise kwa kina sarabudi jirani na tekila bar kisha unakuja may day, Balele, ukitoka huko unakuja hapa palm inn unapanda shethemba unakuja bayachamo c, unasonga cheers kuna Ballack kisha Magoti guest jirani na kwao Musa ma used, unatelemkia Nundu shuleni unaikuta Upendo Guest house kisha lilian lodge jirani na Kanisa la RC.
Unarudi Kapama lodge . Bila kuisahau Sunrise jirani na kwa mzee Dumba .
Lala tu stand
Lodge nzuri kwa mitaa hiyo , Napendekeza Nice de, au Idama hapo mitaa ya Mecco South.Duh!
Mshikaji yaelekea we mwenyeji sana Mwanza.
Pendekeza basi loji nzuri karibu [within walking distance] na stendi ya mabasi Buzuruga.....
Natanguliza shukran.