Guest/Lodge Mwanza

Guest/Lodge Mwanza

Watu wanapenda sifa tu ukiona hivo nimara yakwanza kusafiri huyo
vibao vpo kibao tu vyote vimeandikwa majina ya Lodge
 
Mforo ipo njia ya kuelekea malimbe, ni elfu nane chumba selfu na asubuhi unapewa supu ya kongoro
 
Gest nying kutoka stend nyegez kama unateremka bonden,bei zao kuanzia 10000-20000 sema kuna moja mkono wa kushoto siikumbuki jina vizur gharama yake ni 25-40. Ila nyingi 15000 safiiii kbsa
 
Huku kwetu tushazoea ,tushapigwa chabo hakuna kilichobaki.... nifanyie booking la 200k boss
Mtanzania mwema

MAAJABU, hivi bado kuna watu wastaarabu namna hii hapa duniani? Nimesoma thread hii yote, nikairudia si kwa sababu nina majibu ya kukuelekeza Guest House nzuri huko Mwanza, hapana. Nimeshangazwa sana kwa jinsi ambavyo unawajibu watu kwa upole, hekima na unyenyekevu hata wale wanaoandika majibu ya ovyo. Sikujui bali ninaamini kwamba utafanikiwa sana katika maisha yako kama hujafanikiwa bado. Watu wa aina yako MWENYEZI MUNGU HAWAACHI WATAABIKE. UBARIKIWE SANA.
 
MAAJABU, hivi bado kuna watu wastaarabu namna hii hapa duniani? Nimesoma thread hii yote, nikairudia si kwa sababu nina majibu ya kukuelekeza Guest House nzuri huko Mwanza, hapana. Nimeshangazwa sana kwa jinsi ambavyo unawajibu watu kwa upole, hekima na unyenyekevu hata wale wanaoandika majibu ya ovyo. Sikujui bali ninaamini kwamba utafanikiwa sana katika maisha yako kama hujafanikiwa bado. Watu wa aina yako MWENYEZI MUNGU HAWAACHI WATAABIKE. UBARIKIWE SANA.
Asantee
 
Back
Top Bottom