Eddy Love
JF-Expert Member
- Jul 25, 2011
- 13,652
- 8,542
Nikija Namie Mwanza Sitapata Tabu KabisaaaKaribu na nini? Hawa wako karibu kabisa na kituo cha mabasi kama unataka kulala hapo kwa ajili ya safari au utakuja umechelewa. Ila kama kweli uko serious inabidi uwapigie mapema kwa ajili ya kufanya "reservation" au kama watakuambia ufanye "booking" kwa empesa watakupa maelekezo. Kumbuka namba za kupiga ni 0757 955 901 MAGIDA GUEST HOUSE