princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 7,553
- 14,381
- Thread starter
- #21
oh ni pasafi japo?Passion,.jirani na Nyegezi stand.
oh ni pasafi japo?Passion,.jirani na Nyegezi stand.
Mmh ukuje inbox kwanzaHabari
Kwa yoyote anaefahamu lodge ya garama ya Tzs 20000/15
anifahamishe ,maeneo ya Nyagezi Mwanza.
Ahsanteni
pole umekutana na mabango,,, siku nyingine kama unasafiri unawahi chumba asubuhi. Jioni vinakuwa vimejaa.nahitaji kukaa kwanzia jioni mpaka alfajiri
maana nna safari
nipo nipo yeye aseme tu anataka hotel au guest yenye hadhi ipi?princess ariana Mtafte Huyu Dada CHIKIRA MTABARI Yuko Mwanza Huko Huko
Kuna ya elfu 15,000 inaitwa Magida Guest House wapigie kwa namba hizi hapa 0757955 901Habari
Kwa yoyote anaefahamu lodge ya garama ya Tzs 20000/15
anifahamishe ,maeneo ya Nyagezi Mwanza.
Ahsanteni
Oooh sawapole umekutana na mabango,,, siku nyingine kama unasafiri unawahi chumba asubuhi. Jioni vinakuwa vimejaa.
Karibu na nini? Hawa wako karibu kabisa na kituo cha mabasi kama unataka kulala hapo kwa ajili ya safari au utakuja umechelewa. Ila kama kweli uko serious inabidi uwapigie mapema kwa ajili ya kufanya "reservation" au kama watakuambia ufanye "booking" kwa empesa watakupa maelekezo. Kumbuka namba za kupiga ni 0757 955 901 MAGIDA GUEST HOUSEsawa ,wako pale karibu? na nyagezi
We njoo tu pm nikupokee ulale kwangu kwa raha zakoHabari
Kwa yoyote anaefahamu lodge ya garama ya Tzs 20000/15
anifahamishe ,maeneo ya Nyagezi Mwanza.
Ahsanteni
Unaonaje mm niwe mwenyeji utakula, utalala na kunywa bure, bado na pocket nitakutoa juu! Ndo raha ya kuwa na marafki!Habari
Kwa yoyote anaefahamu lodge ya garama ya Tzs 20000/15
anifahamishe ,maeneo ya Nyagezi Mwanza.
Ahsanteni
Ni kagorofa ila kunakunguni sema ndoivo rais aghaliPassion,.jirani na Nyegezi stand.
Mkuu hata akiuliza humu sio mbaya naamini anauliza hivyo ili kupunguza cost akifika huko iwe rahisi kupata maelekezoWewe Ndiye Unajishushia Hadhi Kuuliza Guest Ya Kulala Humu Wakati Sehemu Uliyoko Kuna Watu Wengi Wakuwauliza Kama Ni Mgeni
Jamiiforums bwana,watu mna dharauUnalalaje Guest Ya 20k Au 15k. Mwishoni Utaishia Kupigwa Chabo Unavyooga. Hauna Mwenyeji??Pole Lakini Kama Huna Zaidi Ya Hiyo!
we ndio wa kwenye dp? nisubiri nakuja kukupa lift hadi darnahitaji kukaa kwanzia jioni mpaka alfajiri
maana nna safari
Kwani maana ya Jf ni nini?
Wenye kuzijua wamejibu, ulitaka nifike pale na mamizigo nianze kutanga tanga kutafuta lodge?
Kwaleo tuishie hapa