OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,344
Salvation shall come from North!!Something is very wrong in Arusha politics.
Don't you feel pooped with samey politics.
Salvation shall come from North!!Something is very wrong in Arusha politics.
Don't you feel pooped with samey politics.
Something is very wrong in Arusha politics.
Don't you feel pooped with samey politics.
Nimemwona Jumanne Mjusi kibaka aliyeshindikana hapa mjini maeneo ya kilombero kwa kazi hiyo pamoja na polisi waaminifu kwa ccm wakifanya uhalifu wa kuwakamata vijana wanaofanya biashara yao.
Hatuandamani ng'o kama mipango yao ndiyo hiyo.
Tutadai haki yetu na kuwatetea wote wanaoonewa kwa njia inayofaa.
Baada ya uchaguzi tutawapekelekea watawala ujumbe muhimu wa haki na utu wa mtanzania
mbona unaongea kama umebanwa na mlango??? lwakatare alikuwa anapanga mipango ya kulisha waandishi sumu, video ipo..lakini pia tume ya wahariri imethibitisha pasipo shaka uhusika wa chadema katika utesaji wa kibanda..acha kuweweseka.
Something is very wrong in Arusha politics.
Don't you feel pooped with samey politics.
Salvation shall come from North!!
Namkubali sana Nanyaro, huyu jamaa ni mfano wa viongozi wa front line sana hapa Arusha.Baada ya mvutano wa kati ya diwani wakata ya Levelosi mhe. Nanyaro Ephata na mkurugezi wa jiji la Arusha watu wote waliokuwa wamekamatwa wameachiwa bila mashariti yoyote na amekubali kuwa toa Green Guard kwenye soko la Kilombero kama wakusanya ushuru...
Hongera Mhe Ephata Nanyaro(CHADEMA) kwa kusimamia haki ya wapiga kura wako na watanzania kwa ujumla
Mkuu unamfahamu Gerald Emanuel?Nimemwona Jumanne Mjusi kibaka aliyeshindikana hapa mjini maeneo ya kilombero kwa kazi hiyo pamoja na polisi waaminifu kwa ccm wakifanya uhalifu wa kuwakamata vijana wanaofanya biashara yao.
Hatuandamani ng'o kama mipango yao ndiyo hiyo.
Tutadai haki yetu na kuwatetea wote wanaoonewa kwa njia inayofaa.
Baada ya uchaguzi tutawapekelekea watawala ujumbe muhimu wa haki na utu wa mtanzania
Namkubali sana Nanyaro, huyu jamaa ni mfano wa viongozi wa front line sana hapa Arusha.
Tunahitaji Ephata Nanyaro kama 500 hivi tuzidi kuongeza speed za kuwafundisha adabu hawa n'gombe.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Baada ya mvutano wa kati ya diwani wakata ya Levelosi mhe. Nanyaro Ephata na mkurugezi wa jiji la Arusha watu wote waliokuwa wamekamatwa wameachiwa bila mashariti yoyote na amekubali kuwa toa Green Guard kwenye soko la Kilombero kama wakusanya ushuru...
Hongera Mhe Ephata Nanyaro(CHADEMA) kwa kusimamia haki ya wapiga kura wako na watanzania kwa ujumla
mbona unaongea kama umebanwa na mlango??? lwakatare alikuwa anapanga mipango ya kulisha waandishi sumu, video ipo..lakini pia tume ya wahariri imethibitisha pasipo shaka uhusika wa chadema katika utesaji wa kibanda..acha kuweweseka.
kawadanganye wajinga wenzako, huu uzushi.
1.green guard sio kazi yao kukamata watu wala kukusanya ushuru
2. green guard hawana ushirikiano wwte na polisi
3. udaku udaku udaku ndio mana uchaguzi ukija mnaangukia pua
kiwewe cha kushindwa uchaguzi na mwendelezo wa ugaidi wa CCM na mbinu za kuhairisha uchaguzi jijini Arusha leo zimeendelea baada ya wafanyabiasha wa malori ya mizigo na baadhi ya wafanyabiashara wa soko la Kilombero leo wamekamatwa na green guard wakishirikiana na jeshi la polisi baada ya kukataa kutozwa ushuru na vijana wa CCM wakitaka waje kampuni iliyopitishwa na halmashauri ya jiji la Arusha kama sheria na kanunu zinavyotaka.2??.ndipo jeshi na vijana wa CCM ambao wengi wao ni majambazi walio samehewa kwenye mazingira ya kutatanisha wakaanza kuwakamata lakini baada ya uchunguzi wa CHADEMA kufanyika inaonekana wamefanya hivyo wakijua kuwa kilombero ni ngome ya CHADEMA na unapowakamata ni ili waandamane fujo zitokee uchaguzi uhahirishwe tena...na sababu nyingine ni kuendelea kuwazoofisha CHADEMA kuelekea uchaguzi mhimu sana kwa jiji la Arusha...
===================
Updates
Baada ya mvutano wa kati ya diwani wa kata ya Levelosi mhe. Nanyaro Ephata ambaye soko la kilombero liko kweye kata yake na mkurugezi wa halimashauri ya jiji la Arusha watu wote waliokuwa wamekamatwa wameachiwa bila mashariti yoyote na amekubali kuwa toa Green Guard kwenye soko la Kilombero ndani ya siku mbili kama wakusanya ushuru...
Hongera Mhe Ephata Nanyaro(CHADEMA) kwa kusimamia haki ya wapiga kura wako na watanzania kwa ujumla
Wewe lazima utakuwa ndio Mwigulu Nchemba!