Poleni sana wafiwa.
Baada ya yote, sisi wote ni watanzania. Tofauti zetu kisiasa hazihusiani na misiba kama vile makamanda wa Chadema walivyokuwa wakimuombea kifo Waziri Mbawala jana, leo kwangu kesho kwako.
Kuna ajali mbaya imetokea asubuhi hii eneo la Segera ambapo gari aina ya GX100 limepinduka na kuuwa watu watatu ambao walikuwa abiria wa gari hilo.Card ya gari inasemekana ina jina la mmiliki aitwae Grace aikaeli Mbowe. Nitawapa taarifa kamili baabaye.
Ni Yule aliyejiunga CCM?
Mungu amulaze mahali pema
Poleni sana wafiwa.
Baada ya yote, sisi wote ni watanzania. Tofauti zetu kisiasa hazihusiani na misiba kama vile makamanda wa Chadema walivyokuwa wakimuombea kifo Waziri Mbawala jana, leo kwangu kesho kwako.
umenena!
Wapi walikopatia ajali hebu fafanua hueleweki hata kidogo.
Mimi sio kama makamanda wanaochekelea ajali za wana CCM na kuwaombea wafe.Ndg yangu Criss umebadilika sana. Hongera kaka.
Na mkachekelea sana hapa.Jana usiku Mbarawa, waziri wa Sayansi Mawasiliano na Teknolojia amenusurika kufariki akiwa njiani kuelekea Bukoba kikazi. Wengi wamejeruhiwa akiwepo Mkurugenzi wa TTCL kanda ya Ziwa kamanda Mabula. Ajali haiangalii chama wala wadhifa. Waliofariki Mungu awaweke mahali wanapostahili na walionusurika Mungu awape uponyaji
Segera Tanga akiwa njiani kuelekea Moshi,yeye mume wake na mtoto wadaiwa kupoteza maisha
Point!Plate no ya gari plsss
Ni kweli kabsa, hata hasira zangu dhidi ya ccm zinapungua b'coz taratibu naona wanaanza kujitambua, thanks Lord Jesus Christ! Amen!Ndg yangu Criss umebadilika sana. Hongera kaka.
kuna ajali mbaya imetokea asubuhi hii eneo la segera ambapo gari aina ya gx100 limepinduka na kuuwa watu watatu ambao walikuwa abiria wa gari hilo.
Card ya gari inasemekana ina jina la mmiliki aitwae grace aikaeli mbowe.
Nitawapa taarifa kamili baadaye.
------
![]()
Ndawo! hapana sitaki kuamini hii kitu, so sad indeed! Mungu Mkubwa!Segera Tanga akiwa njiani kuelekea Moshi,yeye mume wake na mtoto wadaiwa kupoteza maisha