CAPTAIN MORGANI
Member
- Jul 27, 2013
- 29
- 5
Kuna ajali mbaya imetokea asubuhi hii eneo la Segera ambapo gari aina ya GX100 limepinduka na kuuwa watu watatu ambao walikuwa abiria wa gari hilo.
Card ya gari inasemekana ina jina la mmiliki aitwae Grace Aikaeli Mbowe.
Nitawapa taarifa kamili baadaye.
------
Card ya gari inasemekana ina jina la mmiliki aitwae Grace Aikaeli Mbowe.
Nitawapa taarifa kamili baadaye.
------
Grace Mbowe mwanamama aliyedaiwa humu Jamvini kuhamia CCM wilayani Hai Amefariki kwenye ajali mbya iliyotokea Kabuku mkoani Tanga mapema asbuhi hii.
Tutaendelea kuwajuza zaidi.