GPA 2.3 unaweza kusoma masters wapi?

GPA 2.3 unaweza kusoma masters wapi?

You are very wrong

Define what is Masters ?

Huku kwetu majuu kama ukiwa umesoma MD , then masters ukaenda kusoma MBA , wewe Huna masters Bali una added advantage !

Yani usome degree ya ICT , ukasome MBA , ume masters nini hapo

Ndio maaanq hata utumishi siku hizi hawakuiti bingwa kama masters yako ime deviate from your bachelor degree
Maana utumishi ili masters yako waitambue kama mbobezi na ulipwe tofauti na mtu wa bachelor ni lazima uwe umeendeleza field uliyosomea degree
Mbona huko bongo hata Serikali yenu ndio inataka hivyo


Haiwezekani ujiite masters wakati huna muendelezo. Hizo ni added advantage

Mtu aliesomea MARKETING au BCOM akipiga MBA , huyo ndio ame masters

Otherwise unakuwa unesoma kachumbari
Sio lazima bamyogode ndio maana nimekwambia umekremu masters sio lazima uspecialize ulichosomea
 
You are very wrong

Define what is Masters ?

Huku kwetu majuu kama ukiwa umesoma MD , then masters ukaenda kusoma MBA , wewe Huna masters Bali una added advantage !

Yani usome degree ya ICT , ukasome MBA , ume masters nini hapo

Ndio maaanq hata utumishi siku hizi hawakuiti bingwa kama masters yako ime deviate from your bachelor degree
Maana utumishi ili masters yako waitambue kama mbobezi na ulipwe tofauti na mtu wa bachelor ni lazima uwe umeendeleza field uliyosomea degree
Mbona huko bongo hata Serikali yenu ndio inataka hivyo


Haiwezekani ujiite masters wakati huna muendelezo. Hizo ni added advantage

Mtu aliesomea MARKETING au BCOM akipiga MBA , huyo ndio ame masters

Otherwise unakuwa unesoma kachumbari
upo sawa
 
Sio lazima bamyogode ndio maana nimekwambia umekremu masters sio lazima uspecialize ulichosomea
kiutumishi lazima iandane na ulichosoma degree ili kupanda daraja na kutambulika kwamba umekuwa master wa degree yako ya kwanza.
ila kwa mawazo yako wewe upo sawa
 
You are very wrong

Define what is Masters ?

Huku kwetu majuu kama ukiwa umesoma MD , then masters ukaenda kusoma MBA , wewe Huna masters Bali una added advantage !

Yani usome degree ya ICT , ukasome MBA , ume masters nini hapo

Ndio maaanq hata utumishi siku hizi hawakuiti bingwa kama masters yako ime deviate from your bachelor degree
Maana utumishi ili masters yako waitambue kama mbobezi na ulipwe tofauti na mtu wa bachelor ni lazima uwe umeendeleza field uliyosomea degree
Mbona huko bongo hata Serikali yenu ndio inataka hivyo


Haiwezekani ujiite masters wakati huna muendelezo. Hizo ni added advantage

Mtu aliesomea MARKETING au BCOM akipiga MBA , huyo ndio ame masters

Otherwise unakuwa unesoma kachumbari
Utumishi Tz wanalipa mshahara wa masters?
 
Habarini wakuu

kama heading inavouliza hapo, je unaweza kusoma masters wapi kama ulipata gpa ya 2.3 degree?

maaana naona vyuo vyote minimum ni 2.7 GPA, je kuna chuo popote au namna yoyote mtu anaweza kafanya kujiendeleza?
Ndiyo, lakini GPA 2.3 moja kwa moja kwenda Master Tanzania ni ngumu.

Kwa viwango vya TCU, Master kwa kawaida inahitaji GPA 2.7 au B grade. �
Tanzania Commission for Universities
Njia nzuri kwa mwenye 2.3 ni:
Postgraduate Diploma (PGD) — TCU inaruhusu bachelor yenye minimum GPA 2.0 kuingia PGD. �


Tanzania Commission for Universities
Ukimaliza PGD kwa GPA inayotakiwa, unaweza kuomba Master inayohusiana.
Pia baadhi ya vyuo vinaweza kuwa na njia za admission za professional qualifications/work experience, kutegemea programme. �


Tanzania Commission for Universities
Kwa mfano, UDSM yenyewe inaweka 2.7 kama minimum kwa Master's, hivyo 2.3 haiingii moja kwa moja kwenye Master yao ya kawaida. �
 
Eeh mkuu hapo ipo ngumu kweli, ila usikate tamaa kabisa. Kuna vyuo vingi vya kibinafsi vinakubali 2.0 na kuendelea hasa ukichukua course inayohusiana na kazi yako ya sasa. Kizimkazi ndio solution ya mwisho 😂😂 safi sana
 
GPA 2.3 haimaanishi mwisho. Kama Master nyingi zinahitaji 2.7, njia nzuri ni kuanza na Postgraduate Diploma (PGD), kisha ukifaulu vizuri unaendelea na Master. Muhimu ni kuchagua PGD inayohusiana na degree yako na kuthibitisha masharti ya chuo husika.
 
Sio lazima bamyogode ndio maana nimekwambia umekremu masters sio lazima uspecialize ulichosomea
bila shaka we jamaa ni muha maana sio kwa ubishi huo. tangu mwanzo wa thread naona reply zako ni kubisha tu 😂😂😂😂😔
Kareseat yale nasomo yote ulliyokuwa na Makara

Ni Academicians na Madakitari Pekee
Academicians unamaanisha kada zipi?
 
MUHAS kupata GPA ndogo kwa udaktari wa binadamu ilikuwa zamani, sikuhizi nasikia wamelegeza, currently katafute G.PA ya 2.5 UDSM au UDOM uone kama utapata.
Inawezekana, siku hizi vyuo vyote system ipo compromised

Ndio maan siku hizi tunawahudumu wa hovyo sana. Watu wanapewa magonjwa ambayo hawana kwa sababu ya incompetent ya drs and nurses
Nadhan shida inaanzia vyuoni

Yani kama una hela mtoto wako peleka INTERNATIONAL BACCALAUREATE

MFUMO wa NECTA haufai Tena kwa sasa unaazaliaha viazi
 
Tatizo wabongo kichwani kumejaa takataka, wanadhan kusoma masters ni kuwa na GPA kubwa.
Nenda chuo unachotaka kusoma onana na Director of Graduate Studies umuambie unataka kusoma Masters. Hapohapo anakujibu jaza fomu endelea na taratibu nyingine.
Masters ni managerial studies haitaki GPA wala nini
 
Tate Mkuu chuo ulipata GPA ya kibraza meni?
Nilisoma na Mwita Waitara (Mbunge)! Ukimuuliza atakuambia. Nilikuwa mchezaji maarufu wa mpira wa miguu, halafu darasani sijawahi ku sup, ku carry wala ku disco. GPA ya 3.6 si haba kwa miaka ile.
 
Nilisoma na Mwita Waitara (Mbunge)! Ukimuuliza atakuambia. Nilikuwa mchezaji maarufu wa mpira wa miguu, halafu darasani sijawahi ku sup, ku carry wala ku disco. GPA ya 3.6 si haba kwa miaka ile.
Hongera babu! Mimi kuna semister nilipiga sup 4 kati ya masomo 6.
Uzuri sijawahi kucarry au disco
 
Ndiyo, lakini GPA 2.3 moja kwa moja kwenda Master Tanzania ni ngumu.

Kwa viwango vya TCU, Master kwa kawaida inahitaji GPA 2.7 au B grade. �
Tanzania Commission for Universities
Njia nzuri kwa mwenye 2.3 ni:
Postgraduate Diploma (PGD) — TCU inaruhusu bachelor yenye minimum GPA 2.0 kuingia PGD. �


Tanzania Commission for Universities
Ukimaliza PGD kwa GPA inayotakiwa, unaweza kuomba Master inayohusiana.
Pia baadhi ya vyuo vinaweza kuwa na njia za admission za professional qualifications/work experience, kutegemea programme. �


Tanzania Commission for Universities
Kwa mfano, UDSM yenyewe inaweka 2.7 kama minimum kwa Master's, hivyo 2.3 haiingii moja kwa moja kwenye Master yao ya kawaida. �
Average ya grade B unaipataje? How to calculate it?
 
Back
Top Bottom