GPA 2.3 unaweza kusoma masters wapi?

GPA 2.3 unaweza kusoma masters wapi?

Kajaribu Open University aka kimbilio la wanasiasa
Vigezo vya vyuo vyote kusoma Masters ni GPA ya 2.7 na kuendelea..
Huyo akasome Open University Postgraduate Diploma Ili aweze kupata sifa za kusoma Masters..
Halafu sio wanasiasa wote wanasoma Open university,acha kuropoka kwenye keyboard,Mimi ni mwanafunzi wa Open na sio mwanasiasa,huku kama husomi kufeli nje nje
 
Vigezo vya vyuo vyote kusoma Masters ni GPA ya 2.7 na kuendelea..
Huyo akasome Open University Postgraduate Diploma Ili aweze kupata sifa za kusoma Masters..
Halafu sio wanasiasa wote wanasoma Open university,acha kuropoka kwenye keyboard,Mimi ni mwanafunzi wa Open na sio mwanasiasa,huku kama husomi kufeli nje nje
Haya mtaalamu.... PHD mpaka Jaffo kapewa
 
Habarini wakuu

kama heading inavouliza hapo, je unaweza kusoma masters wapi kama ulipata gpa ya 2.3 degree?

maaana naona vyuo vyote minimum ni 2.7 GPA, je kuna chuo popote au namna yoyote mtu anaweza kafanya kujiendeleza?
Itabidi usome postgraduate diploma kwanza, upate GPA ya nne, ndo uitumie kusoma masters baadae.
 
ndio mkuu postgraduate haijalishi umesoma kozi gan mfano umesoma ualimu unaweza soma pgd ya law halafu masters ukasoma law kigezo pekee ni uwe na degree halafu uwe genius uwe na gpa above 2.0
Mbona kama umetudanganya mwalimu asome Postagraduate ya law. kwa hiyo engineer nae anaweza kusomea postgraduate ya law? au kuna kitu kimekukakanganya hapa?
 
Back
Top Bottom