MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 8,382
- 22,430
Sasa kaGPA kako kanagoma kutueleza uhalisia wa hayo maakili yako kaka😂😂😂mkuu me na akili nyingi ila me mwenyewe sikuamini kilichotokea
Sasa kaGPA kako kanagoma kutueleza uhalisia wa hayo maakili yako kaka😂😂😂mkuu me na akili nyingi ila me mwenyewe sikuamini kilichotokea
mkuu masters nataka nsome vitu vyepesi vyepesi kidogo kwa online tu kichwa kimechokaHela yako tu nenda pale SUA Morogoro.
Online huwezi kwahio GPA yakomkuu masters nataka nsome vitu vyepesi vyepesi kidogo kwa online tu kichwa kimechoka
Vigezo vya vyuo vyote kusoma Masters ni GPA ya 2.7 na kuendelea..Kajaribu Open University aka kimbilio la wanasiasa
Haya mtaalamu.... PHD mpaka Jaffo kapewaVigezo vya vyuo vyote kusoma Masters ni GPA ya 2.7 na kuendelea..
Huyo akasome Open University Postgraduate Diploma Ili aweze kupata sifa za kusoma Masters..
Halafu sio wanasiasa wote wanasoma Open university,acha kuropoka kwenye keyboard,Mimi ni mwanafunzi wa Open na sio mwanasiasa,huku kama husomi kufeli nje nje