Vipo chuo unapata but hiyo 2.3 ipo kwenye scale gani ?Habarini wakuu
kama heading inavouliza hapo, je unaweza kusoma masters wapi kama ulipata gpa ya 2.3 degree?
maaana naona vyuo vyote minimum ni 2.7 GPA, je kuna chuo popote au namna yoyote mtu anaweza kafanya kujiendeleza?
Kasome medicine au Pharmacy ujue ni kiasi gani ngumu kupata GPA ya 2.5Labda uende the Amazon College, kwanza utuambie ilikuaje ukapata 2.3 yaan sielewi elewi imekuakuaje ukapata 2.3 yaan umeshindwa hata kufika 3.0?
Tatizo kubwa hata hao wanaosomea masters hawajui maana ya mastersmkuu masters nataka nsome vitu vyepesi vyepesi kidogo kwa online tu kichwa kimechoka
Soma postgraduet diploma upate sifa za kusoma masters! Kila la kheriHabarini wakuu
kama heading inavouliza hapo, je unaweza kusoma masters wapi kama ulipata gpa ya 2.3 degree?
maaana naona vyuo vyote minimum ni 2.7 GPA, je kuna chuo popote au namna yoyote mtu anaweza kafanya kujiendeleza?
MUHAS kupata GPA ndogo kwa udaktari wa binadamu ilikuwa zamani, sikuhizi nasikia wamelegeza, currently katafute G.PA ya 2.5 UDSM au UDOM uone kama utapata.Kasome medicine au Pharmacy ujue ni kiasi gani ngumu kupata GPA ya 2.5
Mfano chuo kama MUHAS watu wanakuwa graduated na GPA za 2.8 ni kawaida sana and they become best professional
GPA ni aina nyingine ya upumbavu
chukua GPA YA 2.7 ya MUHAS na GPA ya 4.5 ya IMTU
HIYO ya IMTU 4.5 unakuta hajui hata kuchukua patient history
Vipo Vyuo hasa vya private wana massage GPA za wanafunzi ili wafanye biashara zaidi
Hapo TZ vipo vingi sana ndio maana tuna proffesioanal makarai wengi
Hata Chalamila na Samia wana masters pia
Get your mind right
Wewe limjamaa la Buza mkorofi sana aisee..Watu wanavyomshukia mleta mada baasi wananikumbusha nilivyokuwa wa mwisho darasa la sita ,mzee aliwaita maunt wote wa buza ,keko na kisiju acha nichambwe na hao ndugu zangu ilihali wengine hata form one hawakufika 😀😀
Anyway wewe lijamaa hata mimi nakuzidi akili wewe fanya issue zingine shule imekukataa mshikaji usiforce mahusiano nayo
Mitoto ya sasa hivi inakuja na GPA kali kama wametengeneza tena vyuo hivyo hivyo ulivyosema na kwa kuonesha hawajabahatisha paper za bodi kama uhasibu wana seat mara mbili tu mnabaki kuangaliana..MUHAS kupata GPA ndogo kwa udaktari wa binadamu ilikuwa zamani, sikuhizi nasikia wamelegeza, currently katafute G.PA ya 2.5 UDSM au UDOM uone kama utapata.
Nazungumzia fani ya udaktari wa binadamu siyo uhasibuMitoto ya sasa hivi inakuja na GPA kali kama wametengeneza tena vyuo hivyo hivyo ulivyosema na kwa kuonesha hawajabahatisha paper za bodi kama uhasibu wana seat mara mbili tu mnabaki kuangaliana..
Jina lako lina uhusiano na gereza la Isanga Dodoma?Nazungumzia fani ya udaktari wa binadamu siyo uhasibu
Mimi wadogo wanafulu kote mpaka tunaonekana tulikua tunacheza zamani ntamuuliza mmoja katoka na ngapi hapo Daslm..Nazungumzia fani ya udaktari wa binadamu siyo uhasibu
Isanga family Mbeya..Jina lako lina uhusiano na gereza la Isanga Dodoma?
Umekremu mkuu masters ni masters haijalishi umesoma kitu ganiTatizo kubwa hata hao wanaosomea masters hawajui maana ya masters
Masters unakwenda ku master nini ?
Unakuta mtu ni IT bachelor ila maaters anaenda kusomea MBA , sasa hapo ume master nini? Hayo ni makolokocho
Hilo ni Tatizo la Afya ya akili kama la yule jamaa anaejiita Kiranga Kiranga
Kwa hii GPA ya 2.3 unataka kusema Lecturers wote walikuchukia kwa sababu una damu ya kunguni? Kha!!Habarini wakuu
kama heading inavouliza hapo, je unaweza kusoma masters wapi kama ulipata gpa ya 2.3 degree?
maaana naona vyuo vyote minimum ni 2.7 GPA, je kuna chuo popote au namna yoyote mtu anaweza kafanya kujiendeleza?
You are very wrongUmekremu mkuu masters ni masters haijalishi umesoma kitu gani