Medical Physics Course

Medical Physics Course

Joined
Nov 30, 2022
Posts
27
Reaction score
18
Wakuu samahani msaada, mwenye uelewa kuhusu hii course ya MEDICAL PHYSICS.. kwasasa naiona inatolewa UDSM kwa level ya master

Hivi mtu ukisoma master unaweza tambulika na serikali hii bila kua na Degree yake...maana nimeona hata kama una bachelor ya physics unaruhusiwa kuisoma

Je, ina impact yoyote kwa mfumo wa ajira wa saiz na maisha yetu..maana naona kama kazi zake nyingi aliesoma radiology na medical imaging anaweza zifanya..

Mwenye uelewa tafadhari naomba anipe chochote..
 
Wakuu samahani msaada, mwenye uelewa kuhusu hii course ya MEDICAL PHYSICS.. kwasasa naiona inatolewa UDSM kwa level ya master

Hivi mtu ukisoma master unaweza tambulika na serikali hii bila kua na Degree yake...maana nimeona hata kama una bachelor ya physics unaruhusiwa kuisoma

Je, ina impact yoyote kwa mfumo wa ajira wa saiz na maisha yetu..maana naona kama kazi zake nyingi aliesoma radiology na medical imaging anaweza zifanya..

Mwenye uelewa tafadhari naomba anipe chochote..
Bora usome Bachelor of Chemistry and Physics utafika mbali. Physics hapana.
 
Ili uweze kuipatia hio kozi, unatakiwa uwe tayari unafanya kazi hospitali kama mtaalamu wa mionzi yaani Medical Physicist, au mhandisi wa mionzi yaani Radiation Engineer.
Lakini pia kama ulisoma Physics, unaweza kabisa kusoma MSc ya Medical Physics ila sijui kwa upande wako ukimaliza
Je kuna uwezekano wa kupata kazi ?

Je, ina impact yoyote kwa mfumo wa ajira wa saiz na maisha yetu..maana naona kama kazi zake nyingi aliesoma radiology na medical imaging anaweza zifanya..
Haihusiana, hao wa Radiography watakuwa wanalazimisha au wana koneksheni ya kazi matokeo yake wanaenda kuua wagonjwa polepole na mionzi
Medical Imaging sijui hata kama bongo wanaijua hii kozi, maana ni viwango vya Phd
 
Back
Top Bottom