GPA 2.3 unaweza kusoma masters wapi?

GPA 2.3 unaweza kusoma masters wapi?

Walimu wa vyuo vikuu ndo academicians, First degree uwe na GPA ya at least 3.8, Masters uwe na GPA at least 4.0, then uwe umeface competition ya kuajiriwa chuo kikuu.
bila shaka we jamaa ni muha maana sio kwa ubishi huo. tangu mwanzo wa thread naona reply zako ni kubisha tu 😂😂😂😂😔

Academicians unamaanisha kada zipi?
L
 
Walimu wa vyuo vikuu ndo academicians, First degree uwe na GPA ya at least 3.8, Masters uwe na GPA at least 4.0, then uwe umeface competition ya kuajiriwa chuo kikuu.

L
sawa sawa.
 
You are very wrong

Define what is Masters ?

Huku kwetu majuu kama ukiwa umesoma MD , then masters ukaenda kusoma MBA , wewe Huna masters Bali una added advantage !

Yani usome degree ya ICT , ukasome MBA , ume masters nini hapo

Ndio maaanq hata utumishi siku hizi hawakuiti bingwa kama masters yako ime deviate from your bachelor degree
Maana utumishi ili masters yako waitambue kama mbobezi na ulipwe tofauti na mtu wa bachelor ni lazima uwe umeendeleza field uliyosomea degree
Mbona huko bongo hata Serikali yenu ndio inataka hivyo


Haiwezekani ujiite masters wakati huna muendelezo. Hizo ni added advantage

Mtu aliesomea MARKETING au BCOM akipiga MBA , huyo ndio ame masters

Otherwise unakuwa unesoma kachumbari
Ni kama unamaanisha kinachosababisha MBA isiwe mwendelezo kwenye degree ya ICT ni hilo neno business kwenye 'MBA'? Mathalani Mtu ni ICT manager au IT human resource, MBA kwake ni muendelezo mzuri kwa sababu inamjenga kwenye budget, planning, strategic management etc, hii inaweza pia kuwahusisha maafisa utumishi. Taasisi pamoja na kuhitaji technical officers lakini pia inahitaji wenye skills za uongozi. Hapa mtaalam haja-deviate kwenye shahada yake ya kwanza.
 
Back
Top Bottom