Gov. Ndullu na Msajili Mafuru: Tunajifunza nini?

Mkuu, ni vizuri tukajifunza kutenganisha siasa na facts.. tukiendekeza hawa wanasiasa tutalishwa matango pori kila kukicha nao wakipata political mileage zisizokua na msingi, Kwa mfano kuvunjwa kwa ile bodi ya TRA kuna tija gani kama wale wajumbe wanaoingia kwa nafasi zao wako pale pale? Unawezaje kutuaminisha watu wanagawana interest ya fixed deposits wakati transaction za mabenki yote zinaangaliwa na serikali hiyo hiyo kupitia BOT? Kwangu mimi Mafuru ni shujaa
FACT!
 
Kwa ujumla hata mafuru nae kauli yake haikuwa ,kauli ya mtu wenye weledi ktk hili jambo.
 
Na yeye Rais aache tabia yake ya kutoka na kuropoka tu katika mambo yanayohitaji consultation ya washauri wake kabla ya kutoka na kuyasema for the sake of political populism!

Hii inaleta chaos sana ktk utendaji wa watu wake wa kila siku. Angepungukiwa nini kama kabla angekutana kwanza na wataalamu wake wa mambo ya uchumi na fedha na kupata ufafanuzi wa jambo ambalo yeye ameliona siyo sawa?

Labda atuambie kuwa kabla ya kutoka hadharani na kufyatuka kama alivyofyatuka, alikutana nao na wakakubaliana kuwa FDA siyo halafu wao out of collective responsility governance wanatoka tena na kupingana na kauli ya boss wao!
 
Mafuru has a right to say what he said. Lakini kwa kutumia platform ipi? Sijawahi ona mteuliwa anayepingana na aliyemteua. swala si ushujaa wa Mafuru au Ndullu. It is simply miiko ya utumishi. Magufuli ni mwanasiasa. amezunguka Tanzania kapewa ridhaa ya kutuongoza. Sasa wewe kama hukubaliani naye......please jump the ship mkutane kwenye platform nyingine.

Be careful with what you wish. You may get it.
 
Na yeye Rais aache tabia yake ya kutoka na kuropoka tu katika mambo yanayohitaji consultation ya washauri wake kabla ya kutoka na kuyasema for the sake of political populism!

Hii inaleta chaos sana ktk utendaji wa watu wake wa kila siku. Angepungukiwa nini kama kabla angekutana kwanza na wataalamu wake wa mambo ya uchumi na fedha na kupata ufafanuzi wa jambo ambalo yeye ameliona siyo sawa?

Labda atuambie kuwa kabla ya kutoka hadharani na kufyatuka kama alivyofyatuka, alikutana nao na wakakubaliana kuwa FDA siyo halafu wao out of collective responsility governance wanatoka tena na kupingana na kauli ya boss wao!


Mkuu umenifanya nimecheka.....Magufuli kukubali ushauri ni utashi wake halazimiki. Mkuu there is no Co-Presidency (Urais wake hauna ubia). Kuna Rais Mmoja na yeye ni JPM.

Ndo maana anaweza kuwa na many advisers ambao hachukui ushauri wao. Labda jiulize..kama wewe ni adviser na unaona ushauri wako hauzingatiwi..kwanini usiachie ngazi?
 
I like it. But hii ni sacrifice, come what may. Ujumbe ulishafika.
 
even myself I knew it kwamba Mafuru na Gov Ndulu wanaweza tumbuliwa and may be case yao ikawa 1 but najiuliza, hivi gov. Ndullu yeye ni moja kati ya watu walioidhinisha pesa ile kuwekwa kwenye hiyo FDA, rais akagoma and then akiwa na wachumi wenzie Arusha (bankers) mwandishi anakuuliza hilo swali ukiwa na wachumi wenzio, hivi alipaswa ajibuje!?
KwavGavana Mkuu wa Bank,sheria haimpi mamlaka Rais kumtumbua.
 
Kimsingi uko sahii kabisa, si hekima kwa mtumishi wa umma kumkosoa bosi wake kwenye vyombo vya habari. Kwakua yeye ni sehemu ya washauri wa Mh Raisi, alipaswa aende ikulu akamueleze Mh Raisi hizo hoja zake, atumie mbinu zote ili Mh Raisi aweze kuelewa na kufanyia kazi, nahisi huo ndiyo ungekua utaratibu mzuri. Ikiwa kama wewe ni mshauri wa Mh Raisi na ukapingana naye hadharani tafsiri yake ni kuwa wananchi waache kumsikiliza Mh Raisi na wakusikilize wewe.
 
A civil service which has no displine cannot deliver the desired outputs. A millitary service with no displine is a disaster. Even Al Shabah are very displined organizations- orders from superiors must be followed without questions.

Mafuru hastahili hata kupangiwa kazi nyingine. Tatizo letu watanzania kila mtu anataka kufanya siasa. Mafuru akagombee ubunge huko kwao Bunda akapambane na Ester Bulaya na Wasira. Anaweza kuibuka mshindi kwa CV yake hiyo ya MBA.
 
Hivi mumeisha wahi kujiuliza watendaji wengi wa setikali wanaisgije na kufangaje kazi katika mazingira kama haya ya mkuu kutoa matamko ya kisiasa yanayoendana kinyumw na uhalisia na taaluma za watendaji nguli akiwemo prof ndullu na mafuru?
Amini nawaambia wengi wanatamani kukaa pembeni dhoruba hili lipite... Imagine wewe ni mkuu wa mkoa wa mwanza na wakuu wa mikoa wengine... Leo unawatazamaje wamachinga... Kesho utawezaje kuwaondoa bodaboda ili upange vituo... Ni shidaaa. Utawala hausomeki... Mambo mengi hayafuati weledi....
Nakumbyka iliwahi kuvuma kuwa kuna mkurugenzi mmoja aliwahi kuteuliwa akagoma kwenda akaamua kuendelea na ajira yake tigo. Wapo wengi waliyaona haya so wakaamua kujiweka kando na wapo wengi wameamua kusimama bold kwenye taaluma zao na wanatumbuliwa ila wamesimamia ukweli. Hivi dr likwelike alikuwa katibu wizara ya fedha yuko wapi?
 
Na mh ajifunze kwanza kufanya uchunguzi kabla ajasema neno hii itamsaidi kuacha kusema asichojua akubali kujifunza sio kujiona yeye ndio yeye hapa duniani hakuna mkamirifu
 
Inawezekana aliamua kusema ukweli makusudi akijua kitakachofuata ili aondokane na icho kikombe.Sio kazi zote unaweza kujiuzulu nyingine inakubid ufanye makosa yamakusudi ili ufukuzwe ukafanye mambo yako mengine kwa uhuru zaidi.
 
Sasa nazidi kuamini mukulu ni ...... uchwra, haaa?! Too much now nchi ya mtu mmoja?!
 
So all public servants should just lie down and play dead.....

Yeah! According to mtoa post.

No wonder watu kama hawa utakuta kwenye post nyingine analaumu kwanini wataalamu wetu eg. Profs, Phd na wengineo hawatumiki vizuri, hawamshauri rais mara ooh wanatumika kisiasa. Wakijitokeza kuelezea uhalisia tunawazodoa eti they were supposed to Lay low..Kwangu mimi this is rubbish
 
Ukiwa Professional na unajielewa huwezi kuendekeza unafiki kisa tu Yohana mbatizaji kapita akipaza sauti nyikani.... Ndio maana watu kama Ndullu na Mafuru hawawezi kuendeshwa na mihemko na siasa.... Wanajitambua na hawana shida na hizo kazi zenu, they can easily get a job in hours! wote ni maguru katika fani zao. Heko Ndulu na Mafuru kwa kuhoji mahubiri ya yule apazaye sauti nyikani! Siku zote ukweli hujiweka huru.... Na sasa tuna hili la wamachinga kuna watu watafunga maduka na kukabidhi bidhaa kwa wamachinga namgoja watu wenye uthubutu nao waliongelee
Unaongea utafikiri hao jamaa wamelisaidia taifa pakubwaaa.... Ndulu toka awe BOT thamani ya fedha imeendelea kushuka kila siku! Sioni huo usomi wa ndulu!
 
Mleta mada hii mada yako umewapa watu ambao wanaiona hii mada kama mlima kilimanjaro
 
Back
Top Bottom