Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,624
Tunajifunza kutumia taaluma baadala ya maagizo.
theROOM, unapokubari kuteuliwa yakupasa ufuate atakayo bosi wako,nje ya hapo usikubari uteuzi,fanya ukiwa independent ndo unaweza kumchallenge bosi.Je, ni kweli ni wale tu waliopigiwa kura ndio pekee wanaojua matatizo na mahitaji ya watanzania???
Kama sio kweli then think twice...