GORBACHEV hakuwa pandikizi la marekani kama watu wanavyo sema bali alikuwa mwanamageuzi(reformist) alie fail

Mto Songwe

JF-Expert Member
Jul 17, 2023
6,042
12,369
Yes, kama kichwa cha uzi kinavyosema kuwa "Gorbachev hakuwa pandikizi la marekani kama watu wanavyo sema bali alikuwa mwanamageuzi(reformist) alie fail".

Mimi binafsi naweza kuwepo katika kundi dogo sana linalo mtazama Gorbachev kama mwanamageuzi wa kikomunisti alie fail na sio kama pandikizi la U.S.A kupitia C.I.A lililopewa mission ya kuivunja USSR.

Gorbachev alikumbwa na changamoto za kufanyia mageuzi USSR iliyo kuwa katika hali mbaya baada ya kutwaa madaraka ya chama cha kikomunisti cha Usovieti.

Changamoto alizo kumbana nazo Gorbachev miaka ya 1980s ndizo changamoto walizokumbana nazo wenzake wa vyama vya ukomunisti duniani mfano China, Vietnam hata Tanzania iliyo kuwa ina practice ukomunisti uchwara"ujamaa" nayo ilikuwa na changamoto zile zile za kiuchumi.

Sasa kosa kubwa alilo fanya Gorbachev mpaka kupeleka kuonekana kama pandikizi la U.S.A hadi leo C.IA kupewa ujiko na sifa wasizo stahili kuhusu Gorbachev ni yeye kutaka kufanya " Political na economic reforms" kwa wakati moja.

Mwenzake China naye hali ilikuwa mbaya chini ya Deng Xiaoping miaka ya 1980s hasa kuhusu economic reforms zake ziliweza kuleta faida pia hasara kubwa hasa kwa wakulima na wananchi wengine gharama za maisha zilipanda kwa kasi na kuwa juu sana, rushwa kila kona ya nchi, ufujaji wa mali za umma kitu kilicho pelekea maandamano ya wanafunzi sehemu mbalimbali za nchi.

Wanafunzi walitaka mabadiliko yafanyike haraka katika mueleko wa nchi kiuchumi baada maandamano kuzidi na kupata support ya baadhi ya members wa chama cha kikomunisti ndipo wakaanza na ku demand political reforms jambo lililo mkera sana Deng na kuchukua maamuzi ya ajabu kudhibiti.

Deng alikuwa ana amini kuwa political reforms inabidi zifanywe taratibu taratibu bila haraka yoyote ile.

Sasa yeye Gorbachev akajichanganya na kutaka kuua ndege wawili kwa jiwe moja kwamba afanye economic reforms at the same time afanye political reforms yote yakamshinda USSR ikasambaratika vibaya sana.

Hivyo huo ujiko wanaopewa U.S.A kupitia C.I.A hauna ukweli wowote zaidi ya conspiracy theories tu.
 
... alipofariki Mzee Gorbachev Shetani sio tu hakuhudhuria msiba wa mtu mzito na muhimu kama huyu bali hata salamu za pole hakutoa! Hili jamaa litakufa na kuzikwa kwa aibu sana.
 
CIA iliizika USSR. CIA kitu kingine mzee. Jamaa wako mbali, kwenye kuwasifia tuwasifie tu.
 
Historia ya dunia inasema alikuwa pandikizi ni wewe pekee ndiye unasema alikuwa reformist
Historia gani ya dunia inasema hivyo zaidi ya conspiracy theories tu ? Leta hapa

Tambo za vita baridi una geuza kuwa historia. hata Deng na Nguyen nao waliitwa majina ya namna hiyo baada ya kupindua meza katika miundo ya kiuchumi na kuachana na ile ya mwanzo ya ukomunisti
 
Yes, kama kichwa cha uzi kinavyosema kuwa "Gorbachev hakuwa pandikizi la marekani kama watu wanavyo sema bali alikuwa mwanamageuzi(reformist) alie fail".

Mimi binafsi naweza kuwepo katika kundi dogo sana linalo mtazama Gorbachev kama mwanamageuzi wa kikomunisti alie fail na sio kama pandikizi la U.S.A kupitia C.I.A lililopewa mission ya kuivunja USSR.

Gorbachev alikumbwa na changamoto za kufanyia mageuzi USSR iliyo kuwa katika hali mbaya baada ya kutwaa madaraka ya chama cha kikomunisti cha Usovieti.

Changamoto alizo kumbana nazo Gorbachev miaka ya 1980s ndizo changamoto walizokumbana nazo wenzake wa vyama vya ukomunisti duniani mfano China, Vietnam hata Tanzania iliyo kuwa ina practice ukomunisti uchwara"ujamaa" nayo ilikuwa na changamoto zile zile za kiuchumi.

Sasa kosa kubwa alilo fanya Gorbachev mpaka kupeleka kuonekana kama pandikizi la U.S.A hadi leo C.IA kupewa ujiko na sifa wasizo stahili kuhusu Gorbachev ni yeye kutaka kufanya " Political na economic reforms" kwa wakati moja.

Mwenzake China naye hali ilikuwa mbaya chini ya Deng Xiaoping miaka ya 1980s hasa kuhusu economic reforms zake ziliweza kuleta faida pia hasara kubwa hasa kwa wakulima na wananchi wengine gharama za maisha zilipanda kwa kasi na kuwa juu sana, rushwa kila kona ya nchi, ufujaji wa mali za umma kitu kilicho pelekea maandamano ya wanafunzi sehemu mbalimbali za nchi.

Wanafunzi walitaka mabadiliko yafanyike haraka katika mueleko wa nchi kiuchumi baada maandamano kuzidi na kupata support ya baadhi ya members wa chama cha kikomunisti ndipo wakaanza na ku demand political reforms jambo lililo mkera sana Deng na kuchukua maamuzi ya ajabu kudhibiti.

Deng alikuwa ana amini kuwa political reforms inabidi zifanywe taratibu taratibu bila haraka yoyote ile.

Sasa yeye Gorbachev akajichanganya na kutaka kuua ndege wawili kwa jiwe moja kwamba afanye economic reforms at the same time afanye political reforms yote yakamshinda USSR ikasambaratika vibaya sana.

Hivyo huo ujiko wanaopewa U.S.A kupitia C.I.A hauna ukweli wowote zaidi ya conspiracy theories tu.
Kabisa naunga mkono hoja
 
Historia gani ya dunia inasema hivyo zaidi ya conspiracy theories tu ? Leta hapa

Tambo za vita baridi una geuza kuwa historia. hata Deng na Nguyen nao waliitwa majina ya namna hiyo baada ya kupindua meza katika miundo ya kiuchumi na kuachana na ile ya mwanzo ya ukomunisti
Baki na upuuzi wako
 
Back
Top Bottom